Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Ikiwa mtu kapata passport ya nchi ,kwa mfano Amerika au Uingereza,kwa kujifanya ni mkimbizi,amekimbia vita anakotoka,akaenda moja kati ya nchi zunazopokea wakimbizi,na akasema amezaliwa katika...
2 Reactions
26 Replies
1K Views
Kwa ufupi mwaka wangu mpya umeanza rasimi tarehe moja ya February, ule mwezi wa kwanza ulikua ni mwezi wa majaribio. Leo nawapeni hizi codes ambazo utumiwa na mjambazi Ku survive mtaani Kanuni...
0 Reactions
0 Replies
107 Views
Mbunge wa Viti Maalum, Sylvia Sigula amesema shirika la ndege nchini (ATCL) linakabiliwa na changamoto ambazo zinakwambisha kufikia malengo yake akiitaja changamoto kubwa ni matatizo ya usanifu wa...
0 Reactions
4 Replies
381 Views
Baada ya Mwananchi ambaye ni Member wa JamiiForums.com aliyejitambulisha kuwa Mhitimu wa Igabiro Training Institute of Agriculture Wilayani Muleba kueleza kuwa Wahitimu wa awamu mbili chuoni...
1 Reactions
3 Replies
318 Views
Mbunge wa Jimbo la Mbagala, Abdallah Chaurembo amesema Shirika la Posta kwasasa linadaiwa TSh. Bilioni 54.7 hivyo kushindwa kujiendeleza na pia shirika limeshindwa kukopesheka, tuimbe sana...
1 Reactions
13 Replies
457 Views
min -me Oil money fc a.k.a tuhuma 130 za utapeli anapigwa na villa huko Safi sana.. Ahssante "fraudiola"
9 Reactions
46 Replies
853 Views
Mashambulizi ni makali mno nchini Congo kati ya Jeshi la wananchi wa Tanzania eneo la goma jeshi la wananchi JWTZ limepoteza Askari wawili huku M23 wakishindwa kusonga mbele kutokana na...
25 Reactions
96 Replies
5K Views
habari za leo wadau, Nawezaje kukata TIKETI ya basi mtandaoni??? Na vipi kuhusu usalama wa malipo ya kifedha?
3 Reactions
27 Replies
2K Views
Wakuu Hii ndio sahihi ya Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kwenye noti mpya zilizoanza kutumika Februari 2025 kama ilivyotangazwa wiki kadhaa zilizopita. Soma: Tanzania yazindua Noti Mpya toleo...
6 Reactions
20 Replies
889 Views
Mwili wa mmiliki wa mabasi ya Super Sami, Samson Josiah unaodaiwa kukutwa mtoni ukiwa umefungwa kwenye mfuko. Mwili wa Mmiliki wa mabasi ya Super Sami Samson Josiah umekutwa katika mto Ndabaka...
19 Reactions
350 Replies
73K Views
Njia nyepesi ya kuwafurusha waasi ni kuwahamisha wakazi kwa muda eneo salama atakayekaidi atahesabika ni muasi ahera Inamuhusu. Ifanyike operation kama IDF ilivyofanya Gaza kuwashughulikia Hamasi...
0 Reactions
5 Replies
109 Views
Anonymous
Habari Wanajamii, Ninaandika kwa uchungu kielezea changamoto ninayoipiia sasa ya KUTOHAMISHIWA TAARIFA ZANGU ZA KIUTUMISHI KATIKA HALMASHAURI YANGU MPYA pamoja na ukweli kwamba nilihama kutoka...
0 Reactions
0 Replies
46 Views
Watu watatu wamefariki dunia papo hapo baada ya gari aina ya Toyota Rav4 waliokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na basi la abiria la Kampuni ya Ester Kuxury, mkoani Kilimanjaro leo Jumamosi...
11 Reactions
92 Replies
4K Views
"This heart of mine was made to travel this world" "Travel is my therapy" "To travel is to live" Wasalam, Kama title ya uzi huu inavyoeleza, lengo la uzi huu ni kutoa dondoo kadhaa kwa wadau...
18 Reactions
165 Replies
17K Views
Polisi inawashikilia watu wawili Kwa kupanga njama za kumdhuru Rais wa Zambia, Haikande Hichilema Kwa njia za ushirikina. Watuhumiwa hao ni Jasten Mabulesse Candunde na Leonard Phiri wanaodaiwa...
4 Reactions
31 Replies
672 Views
Alhamisi na Ijumaa ya wiki iliyopita, tarehe 30 na 31 Januari walimu wa halmashauri ya Meru walipatiwa semina ya utekelezaji wa mtaala mpya. Vituo vya utoaji wa semina vilikuwa kadhaa. Kituo...
1 Reactions
12 Replies
271 Views
Wakuu za sasa hivi hapo, Ni siku nyingine tena kutoka kwa bwana nikasema ngoja niwasabahi na kutoa baadhi ya mawazo niliyonayo. Kuhusu msemo wa Tanzania masikini ni wengi, personally napingana...
7 Reactions
40 Replies
3K Views
Hadithi mbili za kuanzia: 1. Nokia ilikataa Android. 2. Yahoo ilikataa Google. Somo: 1. Chukua hatari. 2. Kubali mabadiliko. 3. Usipobadilika na wakati, unaweza kupotea. Hadithi nyingine...
7 Reactions
2 Replies
138 Views
Siku chache baada ya Mwanachama wa JamiiForums.com kueleza kuwa Wakazi wa Mtaa wa Ginery maeneo ya Singida Sekondari wamekuwa wakiteseka kwa kuwa na Barabara mbovu, Barabara hiyo imeanza kufanyiwa...
0 Reactions
0 Replies
247 Views
Tanzania imetajwa kushika nafasi ya tatu ndani ya Bara la Afrika kwa kuingiza nguo za mitumba katika mwaka 2022, ripoti ya tovuti inayojihusisha na masuala ya biashara Observatory of Economic...
2 Reactions
13 Replies
607 Views
Back
Top Bottom