Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Mwalimu ni mwanafunzi wa kudumu Mwalimu Akiipenda kazi anajituma sana. Na huwa ANAUMIA mwanafunzi wake Wakifeli. Sema hurudishwa nyuma na maneno ya kashifa kutoka kwa viongozi wa juu yake...
2 Reactions
0 Replies
96 Views
Nimezaliwa miaka ya 90 mwanzoni, jijini Dar es salaam katika kata ya Sinza. Baba alifariki kipindi nina mwaka mmoja hata sura yake siikumbuki nimeziona picha zake tu na mama alifariki wakati nipo...
6 Reactions
9 Replies
722 Views
Mwalimu Mpwayungu Village amepotelea wapi Trending thread kama 1.Najuta kuzaliwa mwanaume😂✋ Huyu mwalimu yupo wapi amepotelea wapi ndugu mwalimu wa kiswahili.
7 Reactions
39 Replies
641 Views
Hii barabara sasa hivi ujenzi wake umekuwa kero maana hatuwezi kwenda kwenye majumba yetu, kumezibwa kote sehemu zote za kuingia
2 Reactions
5 Replies
190 Views
Dunia imekwisha. Vijana hawafanyi chochote zaidi ya kushinda kubet Jijini Dar es salaam ndio kazi anakula analiwa jioni anarejea na unga na dagaa
12 Reactions
46 Replies
2K Views
Ikumbukwe kuwa huyu mshtakiwa tu (mtuhumiwa Maana yake anaweza akawa amefanya makosa kweli au Lah, wenye maamuzi ya mwisho huwa ni Mahakama. Nimeona katika mitandao mbalimbali mtuhumiwa...
0 Reactions
2 Replies
179 Views
Mama mzazi wa nabii mkuu Geordavie akitoa ushuuda kanisani kwa mwanae alisema; "Mwanangu sio mtu wa kawaida, nakumbuka kipindi akiwa mtoto aliwai kupiga kelele huku macho yake akiwa ameelekeza...
6 Reactions
29 Replies
531 Views
Picha linaanza una familia ya watoto wanne na kuendelea 👉Umepanga chumba na sebule 70k-100k kwa mwezi 👉Usafiri wa kazini 3000 Kila siku 👉Chakula 200k (angalau ili upate mlo standard) kwa mwezi...
7 Reactions
11 Replies
350 Views
Wewe kama una sherehe yako peleka kijijini kwenu huko siyo unazuia barabara kwa kuweka miturubai kisa una sherehe si ungenunua eneo kubwa ili ujitosheleze hii tabia imekithiri kwenye hili jiji la...
4 Reactions
20 Replies
549 Views
Habari za uzima wenu ndg zangu hongereni sana kwa mapambano.Na wapenda sana. Nimeona nianzishe huu uzi uwe wa General kwa kutuma changamoto zetu zote tunazopitia katika mifugo yote. Hii namanisha...
10 Reactions
135 Replies
2K Views
Quokkas (Setonix brachyurus) ni wanyama wadogo wenye mifuko ya kuzalisha (marsupial), wanaopatikana kusini-magharibi mwa Australia, na wanajulikana kwa sura yao ya kirafiki na "kutabasamu" kila...
2 Reactions
3 Replies
271 Views
Katika muendelezo wa Makala zangu za Nishati safi ya kupikia; kumekuwa na sintofahamu kuhusu gharama za umeme kwamba ni kubwa sana hivyo kwa kumuwezesha mwananchi ni bora kumpa gesi. Nimeona bora...
5 Reactions
15 Replies
2K Views
Nimekutana na video moja kwenye mtandao wa Facebook, inaonesha watoto bila shaka ni watoto wa chekechea kwa hakika sidhani kama hii imekaa sawa. Ni jambo zuri watoto kupata muda wa kufurahi na...
10 Reactions
65 Replies
1K Views
Wakati Majirani zetu Kenya wakishika namba 2 sisi Tanzania hatupo kwenye list kabisa. Wakina Kiranga, Bufa na wengine vipi vyuma vimekaza huko sio 😅🤣😂
5 Reactions
41 Replies
684 Views
Ni historia inayojirudia ambapo mkoloni ni kama ameona njia ya kuwapumbaza Waafrika na kuwatawala kiurahisi ni kuwataka wapigane wenyewe, waonane wabaya wao kwa wao. Nchi ya DRC inakadiriwa kuwa...
1 Reactions
6 Replies
305 Views
Heshima kwenu brothers and sisters, Nimeona sio mbaya niki share na watanzania wenzangu experience niliyokutana nayo katika harakati zangu za kutaka mama yangu apone ili wengine ambao wanapanga...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Mzuka Wanajamvi Nikusaidiana katika mbinu mbali mbali za kuutafuta utajiri ili tuendeshe maisha yetu kiurahisi na kuleta maendeleo yetu binafsi, kwa waliotuzunguka na taifa kwa jumla. Kumbukeni...
7 Reactions
29 Replies
1K Views
Chasimba ni eneo lililopo Boko, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Huko ndiyo kisa kizima kinakoanzia, kuendelea na kumalizikia. Ilikuwa hivi, mwaka Jana mwezi August kijana wangu alikuwa na...
20 Reactions
61 Replies
2K Views
Back
Top Bottom