Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Serikali zinapaswa kutoa elimu yenye ubora na kuhakikisha kuwa watoto wote wanaipata bila ubaguzi wowote. Hili ni jukumu la kisheria kimataifa, na serikali zinaweza kuwajibishwa kwa kushindwa...
0 Reactions
1 Replies
317 Views
Trump amekuwa akituonea sana Waafrika akidhani hatuwezi kumpangia masharti, tunauwezo wa kumnyima malighafi tuamue kuwapa Japan, China au Germany Trump amekuwa akituchukulia Waafrika kama wajinga...
7 Reactions
87 Replies
1K Views
Tanzania imetangazwa kuwa nchi bora zaidi ya kutembelea barani Afrika kwa mwaka 2025, kulingana na ripoti ya U.S. News, ushindi huu mkubwa unaonesha wazi matunda ya uongozi mahiri wa Rais Samia...
3 Reactions
23 Replies
556 Views
Choma nyama wakuu Tanzania bado tupo vizuri bei bado very friendly Tanzania shilling 10000 unapata kilo ya nyama sawa na us dollar 4 wakati Switzerland anatumia takribani dollar 44 kwa kilo sawa...
5 Reactions
69 Replies
1K Views
Maisha ni pamoja na ku-enjoy. Hapa mjomba akifurahia Jambo.
9 Reactions
41 Replies
2K Views
Kunguni wanakera sana, unakosa usingizi wakati mwingine unadhalilika! Basi bwana kuna hii dawa inaitwa diazinone, niliitumia mwaka 2015 na nikafanikiwa kuwaangamiza hawa wadudu korofi. Ghafla...
14 Reactions
122 Replies
24K Views
hata kama binti awe na mwili mkubwa bado miaka 9 ni midogo sana kuolewa. Mwenye elimu anifafanulie unless otherwise natafuta upande mwingine ambao ntaona Sahihi kwa hili hapana wafuasi wa waarabu...
50 Reactions
553 Replies
8K Views
Siku ya kuapishwa Trump alitangaza uwepo wa gender mbili tu, yaani mwanaume na mwanamke. Suala hili lilitafsiriwa kama Trump anapinga mapenzi ya jinsia moja hali iliyomfanya apate umaarufu kwa...
1 Reactions
3 Replies
352 Views
A man used to give a beggar $1000 every month. The man continued in this state for a period of time. One day, he gave the beggar only $750. The beggar was surprised by that, but he said to...
3 Reactions
10 Replies
203 Views
Hellow wakuu, Leo niliona uzi humu mdau mmoja akiomba msaada wa dawa asili za kuondoa tatizo la kukosa usingizi Anayejua dawa za asili kutibu tatizo la kukosa usingizi (insomnia) anisaidie...
4 Reactions
9 Replies
447 Views
Kwa wanaume ni;- 1. Kumiliko nyumba kali kuliko watu wa mtaani kwako. 2. Kuwa na mke mzuri kuliko wanaume wa mtaani kwako. 3. Kumiliki gari kali kuliko marafiki zako na watu wote wa mtaani kwako...
13 Reactions
48 Replies
1K Views
Tanzania ni mshiriki wa jumuia kadhaa za kimataifa na kikanda. Hivyo tumesaini mikataba kadhaa wa kadhaa kwa shinikizo la mabwana zetu. Hao mabwana zetu ambao hugharamia Kila kitu tunapokwenda...
2 Reactions
17 Replies
448 Views
Haya yameandikwa katika kitabu Zamani Mpaka Siku Hizi. Inadaiwa Wahima(Watutsi ni Wahima walioelekea magharibi kwenye vilima vilivyoitwa Tutsi) Walipotoka kaskazini kwenye karne ya 14 walikuwa na...
3 Reactions
8 Replies
400 Views
Hii imekuwa kero sana baadhi ya wanajeshi wamekuwa wakikopa madukani na hawarudishi vitu na pengine hutumia ubabe wao kutokulipa hata unakuta ukimpeleka polisi ana achiwa tu maana hutumia kazi yao...
20 Reactions
219 Replies
17K Views
Habari ndugu zangu, mwenye mawasiliano ya malisa ,naomba anisaidie ,Kuna mtoto anachangamoto kubwa anahitaji msaada wa haraka,ni mlemavu
2 Reactions
8 Replies
308 Views
Today's Decision are tomorrow Realities..., Nadhani hawa ndugu zetu ni kama Petroli inafuka inahitaji Spark (cheche) kidogo tu ili moto kuwaka...; Sasa kwa faida ya vitukuu vyao kwanini...
1 Reactions
10 Replies
260 Views
Ni kifaa Cha matumizi ofisini kwangu kina thamani ya 200,000 tu
3 Reactions
6 Replies
130 Views
Back
Top Bottom