Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Naombeni Ushahuri, Nina mdogo wangu kapata fursa ya Kusomea Locomotive Driver (Dereva wa Treni) uko Tazara ambapo wataenda somea Huko Zambia kwa muda wa miaka Miwili cheti kilichotumika ni cha...
0 Reactions
0 Replies
90 Views
Wadau hamjamboni nyote? Huu ni ushauri wa kiroho na kumbusho la msingi kwa Wasabato ulimwenguni kote kuzingatia majukumu na maelekezo ya msingi ya Bwana wetu Yesu Kristo. Nimezingatia...
2 Reactions
5 Replies
174 Views
Kila sehem wapo, Magerage wapo, maduka, karikoo wanaanza kuishika, mitaani wamejaa, kwenye viwanja vya ndege wapo, Mabondo ndo wamewekana kila level, yani humuuzii mchina wa juu bila kuwauzia...
2 Reactions
20 Replies
482 Views
Nimeshangaa sana kuna hadi iphone za laki moja na sabini. Bora zingepigwa marufuku Tanzania. Pia soma: Huu utitiri wa iPhone 13 copy zinazouzwa laki 3 Dar zinatoka wapi? Zingetolewa simu za...
6 Reactions
25 Replies
1K Views
Nianze kwa shukrani , nimshukuru Rabuka, Yeye ni mwenye auni, tena mwingi wa baraka, Nguvuze zapita kani, haziwezi elezeka, HONGERA MAMA SAMIA 63 KUTIMIZA. Mengi alikujalia , wete...
3 Reactions
28 Replies
1K Views
Watu wanaojiita watumishi wa Mungu walio wengi kwa sasa sio wa kuwaamini asilimia 100 Hata kama mtu anajua kufundisha na anaonekana kama ana Nguvu za Mungu sana usiwe mwepesi kuamini hadi pale...
1 Reactions
2 Replies
149 Views
Nilimuuliza rafiki yangu ambaye amevuka miaka 70 na sasa anakwenda kuelekea miaka 80, ni mabadiliko gani amehisi ndani yake? Alinitumia yafuatayo: 1. Baada ya kuwapenda wazazi wangu, ndugu zangu...
4 Reactions
18 Replies
644 Views
1. Nilikuwa maeneo ya parking ya Magari pale kitengo cha mifupa MOI mwaka 2014, nikiwa ninamsubiria mgonjwa ndugu yangu, jamaa alikuwa ofisini kwake, akaja akakagua kama mlango wa gari lake...
46 Reactions
126 Replies
3K Views
Nilijua wageni wanapokuja ni fursa kwa wenyeji, nilidhani watanzania watafundishwa namna nzuri ya kufanya biashara zao na kunufaika na wageni wanapokuja badala yake sisi hatujui kujiweka smart na...
22 Reactions
72 Replies
2K Views
Uwezo tunao ingawa sina uhakika kama tuna Nia.., Nilishasema kitambo kwa Kutumia Tanesco tuna uwezo wa kufanya mwananchi akatumia Umeme kwa bei ndogo (mfano kupikia kwa gharama ya chini ya Tshs...
0 Reactions
4 Replies
195 Views
Lucas Mwashambwa una la kusema mkuu?😁😁😁😁
30 Reactions
64 Replies
3K Views
Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma, imewahukumu kifungo cha maisha gerezani washtakiwa wanne maarufu ‘waliotumwa na afande’, baada ya kuwatia hatiani kwa kosa la kubaka kwa kundi na kumwingilia...
49 Reactions
416 Replies
19K Views
Maandiko yafuatayo yanaonyesha wazi kwamba Biblia inatuhadharisha kuhusu hatari ya kupenda fedha na mali, ikisisitiza umuhimu wa kuweka kipaumbele kwa mambo ya kiroho na uhusiano wetu na Mungu...
0 Reactions
0 Replies
124 Views
Mhamasishaji wenu: https://www.jamiiforums.com/threads/nasimama-na-bunge-la-iraqwi.2301833/ Kumtapeli mbongo ni raha sana, we mpatie vimaneno vimaneno vya hamasa ghafla ulimbukeni wake utaanza...
2 Reactions
5 Replies
246 Views
Hellow wakuu mpo? Hakuna asiyeyafahamu maziwa, kila mtu anayajua maziwa ni lishe muhimu kwa binadamu sababu yana virutibisho vyote muhimu. Yanaponya maradhi mbali mbali na kuua sumu yeyote...
5 Reactions
20 Replies
456 Views
Hii mihimili miwili ipo juu zaidi katika list ya vitu vya kitapeli kuwahi kutokea hapa duniani. Kama mnataka watoto wenu kufundishwa elimu ya ushoga ya awali, kubadirishwa jinsia, wake zenu...
1 Reactions
1 Replies
188 Views
Kufuatia hoja iliyoibuliwa na Mdau wa JamiiForums.com kuwa Chuo Kukuu Huria cha Tanzania (OUT) kimekuwa na kawaida ya kuchelewesha matokeo ya mitihani, ufafanuzi umetolewa kutoka chuo. Kusoma...
0 Reactions
0 Replies
175 Views
Nimekuwa nikisema mara nyingi kuwa sikubaliani na fundisho la Dini hizi( Abrahamic religion/ ukristu, uislamu, na Judaism) kuhusu sababu kwanini binadamu tumeumbwa duniani Mafundisho ya Dini hizi...
11 Reactions
73 Replies
1K Views
Kwenye video jamaa kafunguka vitu vingi Sana muhimu. Mwenye kusikia na asikie na mwenye kujifanya kipofu aendelee kujifanya kipofu hivyo. Video Yake inapatikana You Tube. Kwenye video jamaa...
4 Reactions
18 Replies
504 Views
MAKAGA ( Making Kayumba Schools Great Again ) Campaign ni kampeni maalumu ya kitaifa iliyo lenga kuwafungua ufahamu wazazi wenye vipato vya chini wanao jistress kusomesha watoto wao kwenye shule...
3 Reactions
26 Replies
398 Views
Back
Top Bottom