Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Hii ni historia ya maisha aliyopitia David tangu 2007 alipopata changamoto na namna alivyopambana mpaka kufika alipofika leo hii. Stori hii David anasema ina nia ya kuwapa nguvu wote ambao leo hii...
185 Reactions
182 Replies
35K Views
Naendelea kuwakumbusha tuu Tajiri Bill Gate alishindwana na Mke Wake. Putin alishindwana na Mke wake Na huu mwaka huenda kishindo kikawa Kwa bwana Obama. Na vile hana Watoto hata wa...
3 Reactions
19 Replies
826 Views
Katika pitapita humu nakutana na thread nzuri sana ila ilikosa wachangiaji wa kutosha.. Tuzungumze kiuhalisia umejikuta una kiasi cha Bilioni kadhaa kama 3 ama 4..utakifanyia nini kikuletee...
7 Reactions
38 Replies
843 Views
Wadogo zangu ambao ni fresh graduates mnaokaribia kuanza kazi au mpo kazini ila ni wachanga hapo ofisini, kamwe usimuibie boss wako. Hiyo ni laana. Kama unaona mshahara pamoja na bonuses zingine...
16 Reactions
29 Replies
992 Views
Wakuu, Hivi mnaona hii pattern ya watu kutekwa sasa hivi pamoja na reporting yake? Wote (uliondoa wanasiasa mashuhuri) ni wafanyabiashara au wanahusishwa na biashara, na zote bwana Ayo amekuwa...
5 Reactions
63 Replies
3K Views
Mwili wa Mfanyabiashara aliyeripotiwa kupotea tangu December 11,2024 Jijini Dar es salaaam, Daisle Simon Ulomi, umekutwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwanyamala huku Uongozi wa Hospitali hiyo...
1 Reactions
9 Replies
903 Views
Elizabeth Munisi ambaye ni Mke wa Mfanyabiashara aliyepotea tangu December 11,2024 Jijini Dar es salaaam, Daisle Simon Ulomi, ameiomba Serikali kupitia Vyombo vya Ulinzi na Usalama kuendelea na...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Salaam Wakuu, Sakata la Ulomi linazidi kuleta taswira mpya kila siku, leo Kituo cha Afya Makuburi wanasema Ulomi aliletwa kituoni kwao na Askari, tushie lipi? Someni wenyewe hapa chini sakata...
9 Reactions
52 Replies
3K Views
Tarehe 06.10.2024 saa 10:00 (usiku) maeneo ya bar inayojulikana Kitambaa Cheupe, njia panda Nzasa, askari namba J.3297 PC. Barnaba Andrea Mhonya (30 yrs) mkazi wa Chamazi na askari wa Jeshi la...
23 Reactions
176 Replies
16K Views
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry William Silaa (Mb), amesema kuwa uwepo wa Kituo cha Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano katika eneo la Horohoro, kinachounganisha Tanzania na...
1 Reactions
0 Replies
118 Views
Tulikua watu makini kama wa 4-5 ama 6 sikumbuki vizuri... (waandamizi wa jambo flani, sijui ni jambo gani ila ni kama jambo la maana sana) Tulikua tunakatiza mitaa fulani usiku huko kijijini...
0 Reactions
1 Replies
130 Views
Parable 02|15-16/24| Katika mazingira yakudadisi au kulichambua jambo fulani( ni kama tulikua tuna fuatilia kanuni/taratibu/sheria/sera flani flani) . Sehemu ile tulikua watu zaidi ya wawili...
0 Reactions
2 Replies
135 Views
awali ya yote niwapongeze Sana TRC kwa kukarabati treni zile za zamani hasa kwa upande wa mabehewa. Mimi nasafiri Sana na hizi treni zote ,yaani deluxe na ordinary. Treni ya ordinary ambayo ndiyo...
1 Reactions
0 Replies
154 Views
Nimeamua tu kuwashirikisha baada ya kuombwa ushauri, kwa upande wangu ni sahihi kabisa na wala sina hofu kabisa juu ya hilo. Jamaa mambo yamembana sana hana kazi kwa sasa, kifupi ameyumba sana...
1 Reactions
37 Replies
4K Views
Niliona ninaingia kwenye jengo likiwa na watu wengi, ni kama ukumbi watu walikua wakisubili au wametoka kupata burudani. Nikiwa naingia kupitia moja ya milango tukiwa watu kadhaa mimi nilipita...
1 Reactions
6 Replies
462 Views
Kama watumishi wote wa ummah na wafanya biashara watarudisha watoto wao kwenye shule za Ummah I will be the last to do so.... licha ya kujifunza lugha ya kiingereza, ila mimi kama mzazi msomi...
10 Reactions
52 Replies
1K Views
Shamrashamra za sikukuu ya krismas mwaka huu 2018 zimekuwa za mfano na kuwaacha Chadema mdomo wazi. Viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao walikuwa wamejiandaa kutumia sikukuu za mwisho wa mwaka huu...
9 Reactions
68 Replies
6K Views
Wazee kuna jamaa yetu huku mtaani kaokota simu na amekamatwa juzi. Mwenye simu kasema aliporwa million 250 kwenye begi lililokuwa na simu Aisee sijui itakuaje hapo wakuu maana polisi...
8 Reactions
27 Replies
978 Views
Gaborone πŸ‘‡πŸ‘‡ https://youtu.be/VSCmUZdJ6C0?si=OwFn1C-MczQ1aAw0 Vs Dodoma https://youtu.be/L9lJR3lUd-Y?si=m64jjh-H0WLNm_x_ https://youtu.be/uaDakLskdB4?si=R948peqHbjJj6U5U My Take Advantage ya...
4 Reactions
22 Replies
697 Views
Wakuu hii bank ilikuwa inasifika kwa huduma bora na za haraka hasa kwa miamala ya nje (Swift). Sasa kilichotokea sasa kwa miezi ya karibuni watu wanalipwa ila hela haziingii kwa wakati kwenye...
2 Reactions
5 Replies
230 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…