Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Jiamini na Jitambue; Fahamu thamani yako na tambua uwezo ulionao. Kujiamini kunakuwezesha kuchukua hatua kubwa kuelekea malengo yako. Tambua kile unachokipenda na kilicho na maana kwako. Mfano: Mo...
3 Reactions
6 Replies
301 Views
Wazazi wa watoto waliosoma na wanaosoma hizi shule za EMS si vizuri kukubali au kuona mwanao hakiangaika baada ya kumaliza chuo na kuja kugombana hizi ajira za ajabu mshahara wake usiofika hata...
18 Reactions
91 Replies
2K Views
UKITAKA UFANIKIWE KWA JAMBO LOLOTE, TUMIA KANUNI YA KUSHAMBULIA SANA KULIKO KUZUIA SANA/KUPAKI BASI. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Ninafuraha nimerudi tena baada ya kupumzika kidogo katika...
15 Reactions
47 Replies
1K Views
Wakuu mpo vizuri? Huyu jamaa aliyejirekodi akioga na kuvunja nazi katikati ya barabara aliona hii ndio njia sahihi ya kuchekesha? Hapana, huu ni ujinga na hatari. Kwanza, anachafua barabara kwa...
3 Reactions
29 Replies
776 Views
Big up kwa wale wanandoa wote ambao hata kama walikutana ofisi moja lakini wakaamua kujiongeza na mmojawapo kuhama ili kuondoa madhara jumuishi...! Na ni afadhali mkawa wote level moja kuliko...
35 Reactions
202 Replies
5K Views
Mtoto mmoja anayekadiliwa kuwa na umri wa Miaka 15 Ally Amani mkazi wa kijiji cha Igoko ameuawa na kufukiwa porini na watu wasiojulikana kando ya barabara ya Nzega kuelekea Tabora katika kijiji...
1 Reactions
8 Replies
423 Views
Nadhani IGP alikuwa Omary Mahita aliyekuwa na kashfa nyingi za kushirikiana na na baadhi ya Majambazi Kuna lile tukio la 2006 la uvamizi wa gari la NMB lililokuwa limebeba pesa.. Hili si la...
29 Reactions
104 Replies
3K Views
Waajiriwa mumefikiwa tena na ujumbe wenu hapa 😆😆👇👇 https://www.instagram.com/reel/DE8CAiqixaL/?igsh=MWtrcWZrbmMzbzQxcg==
5 Reactions
3 Replies
273 Views
Wadau hamjamboni nyote? Kinachotakiwa ni AYA na si maelezo Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu Jumapili njema
0 Reactions
0 Replies
92 Views
Moderator naomba huu uzi msiufute maana umekusudia kumsaidia huyu bwana kuingia kwenye orodha ya watu wenye mafanikio kiuchumi. Pascal Mayalla wewe sio mtu wa kusubiri uteuzi, ulianza vizuri sana...
32 Reactions
90 Replies
5K Views
Wana familia ya Jf, Naomba kujuzwa kampuni yenye mabasi mazuri yanayosafiri kuanzia Dodoma mjini kuelekea Mwanza mjini anifahamishe. Sijawahi kufika Mwanza, ndio mara yangu ya kwanza na safari...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Kuna tofauti gani kati ya degree holder aliye pitia diploma na degree holder aliye pitia form 5&6?
9 Reactions
134 Replies
8K Views
Wadau mwaka jana mwanajf Suley2019 alileta habari hapa jf kuhusu mgogoro wa ardhi katika kijiji cha nyambogo wilaya ya rorya iliyopelekea mwili wa marehemu kutozikwa zaidi ya miezi 8. - Rorya...
0 Reactions
1 Replies
111 Views
Jamaa anataka 900k kwa mwaka kwa kunifanyia mentorship ya commercialization of talent and passion Sasa mkiwa kumi SI utajiri kabisa
3 Reactions
3 Replies
124 Views
Naomba kujuzwa iwapo mabasi ya kutoka Dar kwenda Masasi yapo nyakati zote usiku na mchana. Iwapo hayapo nyakati zote, naomba kujuzwa ratiba zake.
1 Reactions
10 Replies
379 Views
Je, mafanikio ya elimu hutegemea ada kubwa ya shule au mshikamano wa familia katika kukuza juhudi binafsi za mtoto? Swali hili linaibuka mara nyingi, hasa tunapojadili tofauti kati ya shule za...
1 Reactions
2 Replies
161 Views
Unapohisi kum miss mtu aliye mbali nawe, ukumbuke mwezi. Licha ya kuwa umbali wa maelfu ya maili, Lakini uko karibu zaidi kuliko vile unavyofikiria, maana unautazama mwezi huo mmoja Kula usiku...
12 Reactions
18 Replies
459 Views
Wadau wasalaam.Toka nizaliwe sijawahi kulala Police ila tarehe 2 nililala. wadau pale nilivua viatu na nikakaguliwa nikawakuta jamaa wawili wakituhumiwa kuiba ndizi na kuku. Wadau pale sakafuni...
13 Reactions
27 Replies
800 Views
Wadau, Kuna huu mwongozo ulitolewa na Katibu Mkuu TAMISEMI mwaka 2021. Bati mbaya haupo kwenye tovuti ya wizara. Nitaupata wapi? Kama mtu ana nakala yake tafadhali nitumie. Shukrani sana.
0 Reactions
0 Replies
126 Views
Hali imeanza kuwa tete baada ya sekretarieti ya ajira katika utumishi wa umma kuanza kuajiri walimu Kwa kuwafanyia usaili " mchujo". Wasailiwa waonyesha Hali ya kukata tamaa na kuamua kulala...
8 Reactions
31 Replies
3K Views
Back
Top Bottom