Baadhi ya Kampuni za simu Tanzania nadhani hazina akili timamu, tabia ya kuzuia simu za wateja na kuwachatisha WhatsApp kupitia BOT ni ulimbukeni
Hii tabia ya baadhi ya kampuni za simu kuzuia...
Shirika la Reli Tanzania (TRC), linapenda kutoa pole kwa abiria waliokuwa wakisafiri kati ya Dar es Salaam, Morogoro na Dodoma Januari 8, 2025 kufuatia usumbufu uliojitokeza kutokana na hitilafu...
Wakuu,
Katika mji wa kale wa Hierapolis nchini Syria, picha ya ajabu ya uso wa Yesu Kristo imefunuliwa, inayojulikana kama "Keramion."
Kipande hiki cha kipekee cha sanaa kinatokea katika enzi...
Dunia imebadilika sana Wenzetu wa nchi Jirani hasa Rwanda na Kenya wanaexport huduma za kiulinzi
Sisi bado tuko na kuexport Maua, maparachichi na nanasi
Kutokana na moto unaoendelea kuweka huku miundombinu likiendelea kuharibika
Zipo taarifa kadhaa ikiwamo moto huo kuhusishwa na ugaid
Na kama itakuwa ndivyo basi marekan atakuwa amevuliwa nguo...
Wakuu, naaamini humu kutakuwa na wajuzi watakaoweza kujibu swali langu hili.
Kama umegonga Twiga kama inavyoonekana hapo pichani, faini yake huwa ni shingapi?
Hii picha nimekutana nayo huko X na...
Waziri wa Michezo wa Kenya amedai kwamba Kenya ndio imechaguliwa kuwa Mwenyeji wa mechi za Ufunguzi na Fainali za AFCON ya mwaka 2027 pamoja na mechi zingine.
Sasa naomba ieleweke kwamba mechi za...
Jamani kwema?
Nisiwachoshe.
Wiki ilopita nilikuwa kitaa na Binti mmoja ni Binti ambaye kiukweli nimekuwa nampigia hesabu za kumtongoza toka kitambo.
Sasa nikaanza zile hatua za mwanzo zikiwemo...
Wakuu,
Akiwa anatoa "zawadi" ya bodaboda hivi karibuni kwa mchekeshaji Asha Boko, Steve Nyerere amesema kuwa kuna kipindi alikuwa na Rais Samia na kwamba Rais Samia alimuuliza yeye kuhusu wapi...
Imeelezwa kuwa Serikali ya Awamu ya sita, inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa ushirikiano wa ufadhili wa Benki ya Dunia kupitia mpango dharura ( CERC PROJECTS), imetoa kiasi cha...
Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma linawashikilia mume na mke, wakazi wa mtaa wa Mji Mwema manispaa ya Songea kwa tuhuma za kuiba mtoto mwenye umri wa miezi 11 (jina limehifadhiwa).
Akizungumzia tukio...
Wanachuo wanatumika zaidi ya madada poa ni wajuaji, wabishi na wajeuri now days wanajiita feminist ni uchafu mtupu.
Ona Binti wa kidato Cha nne au aliemaliza darasa la Saba inatosha.
Utapata...
Mwaka 2018, Shirika la Reli Tanzania (TRC) chini ya usimamizi wa Mkurugenzi wake, Masanja Kadogosa lilifanya bomoabomoa kubwa katika maeneo mbalimbali kando ya Reli ya Kati, likiwa na lengo la...
Nimeshituka sana tangu Jana kuaona ajira za walimu na idadi ya walioomba , kumbuka anayesoma ualimu ni either 1. Mtoto wa maskini 2. Uwezo mdogo shuleni 3. Kama hayo mawili hayapo Basi alikumbwa...
Kati ya mwaka 1968 na 1970, mtafiti wa tabia za wanyama, John B. Calhoun, alifanya jaribio maarufu liitwalo "Universe 25", ambapo alichunguza maisha ya panya waliowekwa kwenye mazingira ya anasa...
Wakuu, hii ni seriously nahitaji mkopo laki 600,000 marejesho ni ndani ya mwezi mmoja riba nitayoomba nitoe isizidi 25% nipo dar es salaam.
Dhamana naweza kuweka vifaa vyangu vya bakery km mxer...
Ni jambo la kushanga ila ni tukio halisi, Rais Daniel Arab Moi wa Kenya mwaka 1994 aliwahi kuunda tume maalum ya Rais kuchunguza imani za waabudu shetani Kenya. Hata hivyo baada ya ripoti kutoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.