Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Habari za leo ninyi nyote Bibi/Bwn? Nina mtoto wa kiume ana miaka 2 sasa ameanza kuongea lakini nimegundua ana kigugumizi cha hatari. Binafsi mimi mwenyewe nina kigugumizi cha kuzaliwa sio...
3 Reactions
33 Replies
957 Views
Mimi ni mmoja wa Wasafiri wa Treni ya SGR, nilikata tiketi ya kuondoka asubuhi ya Saa 12:00 leo Januari 8, 2025 lakini ulipofika muda huo safari ikasogezwa mbele kwa nusu saa. Safari yangu ni...
24 Reactions
155 Replies
6K Views
Kesi za mirathi na kesi zote za umiliki wa ardhi na majengo zimepata suluhu baada ya Mh Jerry Silaa kuongeza kasi ya kukomesha wale wote wanaosababisha mtafaruko ndani ya jamii Mh raisi Samia...
0 Reactions
8 Replies
525 Views
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila katika ukurasa wake wa Instagram ame-share video fupi ikimuonyesha akifanya mazoezi na Simba wanaofugwa katika pori la akiba la Mabwepande jijini...
9 Reactions
43 Replies
1K Views
SANAA YA VITA XII: KUSHAMBULIA KWA MOTO 1. Su Tzu alisema: Kuna njia tano za kushambulia kwa kutumia moto. Ya kwanza ni kuunguza jeshi kwenye kambi yao. Njia ya pili ni kuchoma maghala ya...
1 Reactions
4 Replies
219 Views
Habari wakuu,natumaini mko poa.. Nina ishu ktk kumalizia kibanda changu, nahitaji frame za milango na milango/top kwa ajili ya milango ya nje miwili mkubwa (double) na mdogo wa kawaida. Kwa...
0 Reactions
25 Replies
23K Views
Kupitia jukwaa hili, mimi mwananchi wa Kata ya Kabondo Wilaya ya Meatu Mkoani Simiyu. Kwa niaba ya Wananchi wa kata hii, naomba kuleta malalamiko yetu kwa viongozi hasa Mheshimiwa Rais na Waziri...
3 Reactions
35 Replies
1K Views
Mnaojua kutafsiri ndoto, hii ndoto ina maana gani?.
5 Reactions
41 Replies
1K Views
Hili Soko la China linalojengwa pale Ubungo Msilichukulie poa kabisa mchina atauwa Biashara nyingi sana kuanzia za hawa Niagize china hadi Hawa Silent ocean ambao wanasafirisha mizigo ya watz...
20 Reactions
74 Replies
5K Views
Habari wadau. Binafsi ni mkristo. Ila nimependa sana utaratibu uliowekwa kwenye makaburi ya waislamu Tabata segerea. Kanuni yao namba moja ambayo inakataza kujengea kaburi ni nzuri sana.
2 Reactions
24 Replies
995 Views
Imeelezwa kuwa kundi la vijana kati ya umri wa miaka 15 mpaka 24 wanaongoza kwa kuchangia maambikizi mapya ya VVU – UKIMWI ambayo ni sawa na Asilimia 40 (40%). Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu...
3 Reactions
20 Replies
1K Views
NIKIENDA SOKONI NAMUUNGISHA MFANYABIASHARA MWANAUME NA KUMUACHA MFANYABIASHARA MWANAMKE KWA SABABU ZIFUATAZO: Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Íwe ni Mabibo SOKONI, iwe ni Kariakoo, íwe ni...
57 Reactions
149 Replies
8K Views
Hebu vuta picha, umetembelea mahali ambapo hujawahi kufika lakini unagundua kwamba kuna kitu cha ajabu, unatazama kushoto unamuona mtu mmoja lakini ukigeuka upande mwingine, unamuona mtu mwingine...
12 Reactions
20 Replies
5K Views
Nimeona Habari hii ITV, nikasema ngoja nishare na wanajukwaa. Inatoka uko Kijiji cha Nyangunge kilichopo katika Wilaya ya Bariadi Mkoani Simiyu, wananchi wa Kijiji hicho wanasema wamekosa huduma...
0 Reactions
0 Replies
163 Views
Niende moja kwa moja kwenye mada. Nimeshuhudia mimi mwenyewe. Nilikuwa na mgonjwa aliyehitaji huduma ya dharura katika hospitali moja ya Wilaya ya Ilala. Tena tumemkimbiza usiku wa saa sita...
8 Reactions
57 Replies
1K Views
Mada hii ni zao la mada hii ya kumbukumbu za ulimwengu https://www.jamiiforums.com/threads/kumbukumbu-za-ulimwengu-world-archives.1995367/ Kumbukumbu za ulimwengu (World Archives) Ni wazi dunia...
11 Reactions
38 Replies
2K Views
I. 道 The Way 1. The Way that can be told of is not an Unvarying Way. 2. Because every one recognizes beauty as beauty, ugliness exists. 3. Cease to set store by products that are hard to get...
3 Reactions
42 Replies
3K Views
Ni tafsiri isiyo rasmi ya mduara/ mzunguko wa milele Tunaambiwa na kuaminishwa kwamba hakuna kinachodumu milele lakini ni sahihi kabisa... Lakini kuna mwendelezo katika hilo kuna maelezo ya ziada...
27 Reactions
71 Replies
9K Views
ZIJUE NYAKATI VIZURI (1) Imeandaliwa na kuandikwa na Dr Dogoli kinyamkela 🗣️Kila kiumbe ambacho kinaishi katika dunia hii kina nyakati zake, majira yake ya kuwa hivi ama vile Kulingana na...
3 Reactions
10 Replies
389 Views
Nikiwa chini ya miaka 20 nilikuwa nawaza sana mambo makubwa makubwa umasikini na shida niliona kama vitu vya kupita. Nilikuwa najiuliza na kushangaa sana inakuwaje mtu anaishi mpaka anafika miaka...
12 Reactions
10 Replies
471 Views
Back
Top Bottom