HUU NI ULIMWENGU WA UDANGANYIFU
✍️Kuweza kuelewa kuhusu ulimwengu asili lazima ujiunge na wakushi yaani watu wa asili,huko utaweza kutumia mimea,mafuta ya mimea ,wanyama na ndege ,mawe ya kiroho...
Wakuu mpo?
Kwa wale mlio na familia namaanisha mke na watoto nadhani mtanielewa kwa haraka,
Mtu aliyeoa mwenye majukumu, mwenye afya njema ni nadra sana kumkuta kalala ndani bila kujishughulisha...
Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan inaendelea kuonyesha dhamira yake ya kuboresha huduma kwa wananchi. Moja ya mafanikio makubwa ni uboreshaji wa mfumo wa...
💠💠💠💠Namna ya kuona aura yako💠💠💠💠
✍️Kama ilivyo katika aina nyingi za uwezo wa kiakili, kuona aura kunaweza kutokea kwa hiari au kwa mapenzi.
✍️Wakati mwingine watu huripoti kuona aura ya rafiki...
Fanya kazi au biashara ambayo unaweza kukuinua, kuna kazi ukifanya automatically umejiandaa kuwa masikini.
Kazi zenye asili za kimasikini ni zile kazi ngumu ngumu zenye malipo madogo.
HUWEZI...
Niliona kwenye luninga kwamba kuna meli la kivita la Chaina ripo hapa Tanzania kutoa huduma za afya na matibabu bure.Hivi bado wapo?mlokwenda jee ipo kwa wapi nafikaje mfano mtu ninayeishi Tabata...
Nisaidie hiyo meli ipo sehemu gani na napanda gari hadi wapi
Niliona kwenye luninga kwamba kuna meli la kivita la Chaina lipo hapa Tanzania kutoa huduma za afya na matibabu bure. Hivi bado wapo...
Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa? Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.
Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa...
Habar wakuu nna mdogo wangu kasoma civil engineering anataka kwenda Norway kuhangaika kwa kazi yoyote. Nauliza wadau yoyote mwenye uzoefu wa viwango vya mishahara zakazi za aina zote uko norway
#HABARI Mfanyabiashara wa madini Marwa Masese Festo (55) pamoja na mtoto wake John Marwa (30) wakazi wa Kunduchi Mtongani jijini Dar es Salaam, wameuawa baada ya kupigwa na vitu vizito kichwani na...
Je, pesa zako ni baraka au mzigo unaobeba harufu ya maumivu ya wengine?.
NB:Picha kwa hisani ya gazeti la mwananchi mwakajana.
Katika jamii ambayo utajiri hutafsiriwa kama nguvu, pesa mara...
Nashangazwa na Wazanzibar kushindwa kuifahamu historia ya juzijuzi tu hapa ,yaani miaka 61 iliyopita.
Hawa watu wataweza kweli kuwa na historia miaka 100 ijayo.
Siku ya mapinduzi bwana Karume...
Wagonjwa wa Kipindupindu Wafikia 22 Mbeya: Mamalishe na Vilabu vya Pombe Hatarini
Katika mji wa Mbeya, Tanzania, hali ya afya imekuwa ya wasiwasi kufuatia ripoti za wagonjwa 22 walioathirika na...
Nilipewa barua kwamba watoto walio darasa la sita wanaosoma day inabidi waanze kwenda boarding kujiandaa mapema na darasa la saba, nilistushwa sana kwasababu shule ipo karibu na mtoto ana uwezo...
I will be short
Humanity is hard work
We do a lot of mistakes , bila kuwa na mganga wako wa kureverse some things . Stress na mistakes zitakuua . It’s no joke
Mimi ni pure Christian . Ila...
Niliwahi kuwa na matatizo yangu na kama mnavyojua desturi ya hapa bongo, matatizo yakituandama huwa tunaenda kwa siri kambi za wataalam wa tiba asili.
Niliambiwa tiba inabidi nifukizwe miti...
RC CHALAMILA ATEMBELEWA NA UGENI KUTOKA JESHI LA UKOMBOZI LA WATU WA CHINA
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila leo Julai 17, 2024 ametembelewa na ugeni ofisini kwake kutoka Jeshi...
TANESCO Wilaya Bariadi Simiyu wanatukosea sana, umeme unakatika katika mara kwa mara. Kwa saa unakatika si chini ya mara 5. Tunahofia vifaa vyetu vya umeme na nyumba zetu watatuunguzia. Waseme...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.