Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Hii hali inashsngaza sana. Toka sa11 alfajiri simba yanga simba yanga. Hizi radio zetu haziwezi kualika wataalsmu na wakatwangwa maswali directly ili watoe ufafanuzi wa kununua umeme Ethiopia...
4 Reactions
11 Replies
202 Views
Hii haikuhusu wewe mlokole ambaye hauna ushirika yaani mchungaji wako akifa na kanisa linakufa wala wewe msabato ambaye tumaini lako katika wokovu linategemea mahubiri ya mabaya ya kanisa...
63 Reactions
502 Replies
24K Views
Wana Arusha wanasema mama mi 5 tena Ili kazi Iendelee. Ahadi imetekelezwa Arusha: Serikalini kuanza Ujenzi wa Ukumbi Mkubwa wa Mikutano wa MK-ICC Uliokwama Kwa miaka 18. Wadau, Hii renders...
1 Reactions
11 Replies
244 Views
Moja kwa moja kwenye mada; Wenyewe wanaita green city, hii sio kweli . Jina linatakiwa liwe Dusty City. Hivi pamoja na Hali ya hewa nzuri kitu gani kinazuia halmashauri ya mji kuwa na mipango ya...
71 Reactions
1K Replies
45K Views
Bandari ya Mtwara mkoani Mtwara, imepokea meli ya kwanza kati ya nne ambazo zinatarajiwa kuleta viuatilifu kwa ajili ya kukuza uzalishaji wa zao la korosho nchini, kwa msimu wa mwaka 2025/2026...
0 Reactions
0 Replies
56 Views
Makamu Wa Rais Chama Cha Walimu Tanzania ( CWT ) Ndugu Suleiman Mathew Ikomba Amewataka Walimu Nchini Kujiunga Na Benki Ya Walimu 'MCB BANK' Kwa Lengo La Kuendelea Kukuza Kipato Cha CWT Aneyasema...
1 Reactions
0 Replies
86 Views
Serikali Imesema Inapanga Kuifanya Tanzania Kitovu Cha Utalii wa Mikutano Duniani ambapo Miji ya Arusha,Dar, Zanzibar na Dodoma itajengwa kumbi za Kisasa Ili kutimiza Azam hiyo. Aidha Inatarajia...
1 Reactions
110 Replies
7K Views
WAJUMBE wa Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Dodoma mjini wameigomea taarifa ya mradi wa ujenzi wa Soko la Zayoni lililopo Kata ya Nkuhungu mkoani Dodoma kwa kudai ina mapungufu...
0 Reactions
0 Replies
70 Views
Imani za watu, huvunjika na kupotea baada ya kupatwa na mtihani wa mauti. Hapo hata wapendwa, mashehk, mapadri, wachungaji hulia kwa huzuni ya kuondokewa na mpendwa wake. Ni ngumu kukabiliana na...
1 Reactions
1 Replies
79 Views
Zaidi ya wananchi 300 wa Kijiji cha Ikungugazi kilichopo Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita wamekabidhiwa Hati za Ardhi za Kimila. Wananchi hao wameeleza kuwa hati hizo ni urithi kwa...
0 Reactions
0 Replies
31 Views
Tanzania bado tuna changamoto ya kuona watu weupe ni wawekezaji wakubwa. Mfano mtu anatoka nje anakuja na hapa na maneno mengi anapewa eneo kisha ilo eneo na yeye anaenda kuliombea mkopo nchini...
5 Reactions
13 Replies
181 Views
Karibu binti na mwana wa Afrika. Nyota ni nini?. Lugha za dini, huita bahati, Neema, upako, n.k Kinyume chake ni mikosi, laana, gundu, nguvu za mapepo wabaya, bahati mbaya. Lugha za kidunia, Ni...
5 Reactions
21 Replies
559 Views
Kwanza niwape pole Watanzania wote Mashabiki na wapenda mpira kwa kadhia ya kunyimwa burudani ya soka kati ya watani wa jadi. Jambo lile limeleta hathari si kwa Azam tv Pekee Bali kwa watanzania...
1 Reactions
7 Replies
189 Views
Naomba kuulza jinsi ya kusoma advanced diploma ukitokea kidato Cha sita unatakiwa uwe credit gani au vigezo gani ukitokea form six
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Lawama hazijawahi kuondoa tatizo, Kila jambo lina faida na hasara! Moja ya faida ya mizengwe iliyotokea katika mpira wetu ituamshe ili tuboreshe kanuni na sheria ili kulinda hadhi ya ligi! Pasipo...
2 Reactions
31 Replies
311 Views
Mtu ambaye amekutesa maisha ya utotoni Mwako hata hela ya Shule hakukupa akiamini huwez fika kokote Chumba nilichokua nakaa alikipingasha akisema maisha magumu hivyo chumba chake kingemsaidia...
11 Reactions
33 Replies
488 Views
1.France -89.4 mln 2.Spain-83.7Mln 3.USA-79.3mln. 4.China -65.7mln. 5.Italy -64.5Mln 6.Turkiye-51.2 mln 7.Mexico -45mln 8.Thailand-39.8mln 9.Germany-39.6 10.United Kingdom -39.4mln. My Take...
3 Reactions
43 Replies
1K Views
Katika haya MAISHA kuna mystery (siri nyingi) Katika Familia ya mzee wangu (Baba) watoto wote wamefanikiwa wapo jumla nane Ila hakuna hata mmoja ambaye ameishia darasa la Saba Wote Elimu zao ni...
16 Reactions
96 Replies
2K Views
Back
Top Bottom