Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Kuna ongezeko kubwa sana la wenye maduka ya spea za magari na pikipiki kuwa gereji bubu huku mitaani. Sijui NEMC hawaoni hili kuwa tatizo sugu mbeleni. Uchafu wa oil na mafuta ya motokaa umekuwa...
2 Reactions
12 Replies
370 Views
Nikiwa mmoja wa Wakazi wa hapa Mwanza naishauri Serikali Serikali hasa kuanzia ngazi ya Mkoa kulitazama kwa kina hili suala la Watoto wanaoonekana Mitaani. Kumekuwa na kusitasita jinsi ya...
0 Reactions
12 Replies
550 Views
Kaya kumi na nane za eneo la Kisaki Kijiji cha Mbuyuni Minepa, Wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro hazina mahali pa kuishi baada ya nyumba zao vyakula pamoja na vitandea kazi kudaiwa kuchomwa moto na...
0 Reactions
9 Replies
314 Views
Hili limenitokea jana tu! Kama mnavyojua msimu wa sikukuu watu tunakuwa busy na shopping za hapa na pale. Jana nikaingia super market moja hapa down town .Kusanya mazaga kama yote kwa mbwembwe...
11 Reactions
8 Replies
490 Views
Hapo mwanzoni kulikuwa na athari kubwa zinazotokanana uvuvi haramu, watu walipata ulemavu wengine wakipoteza maisha, kemikali zilitumika kuulia samaki kisha watu kutumia kemikali hizo zinazobaki...
0 Reactions
1 Replies
157 Views
Prevalence of Belief: Witchcraft beliefs are widespread in Tanzania. According to various surveys, a significant portion of the population, with some estimates suggesting up to 93% of Tanzanians...
2 Reactions
4 Replies
159 Views
Hili limenitokea mimi kwenye akaunti yangu ya lipa ya mtandao wa YAS nmesahau pin na kupelekea akaunti kufungwa sasa nikaenda yas shop na documents zote zilizotumika kufungulia hiyo akaunti ya...
0 Reactions
0 Replies
146 Views
Wadau hamjamboni nyote? Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu ya theolojia Mfalme Suleimani
1 Reactions
1 Replies
110 Views
Soko la Vitunguu Mkoani Singida lililopo maeneo ya Misuna ni moja ya vitega uchumi vikubwa mkoani humo. Ni soko ambalo kipindi cha msimu linahusisha wafanyabiashara kutoka mataifa mengine...
1 Reactions
2 Replies
347 Views
Cc: SwahiliTimes 𝗡𝗯 : 𝗪𝗲𝘄𝗲 𝗻𝗶 𝗠𝗽𝗲𝗻𝘇𝗶 𝗺𝘀𝗼𝗺𝗮𝗷𝗶 𝘄𝗮 𝗴𝗮𝘇𝗲𝘁𝗶 𝗹𝗶𝗽𝗶?
1 Reactions
30 Replies
1K Views
Leo tena katika kuperuzi YouTube nakutana na video za wanaharakati wa kupinga mradi wa EACOP. Hizi vidéo ni za karibuni kama wiki tu imepita na inaonekana hiyo Channel iliyoziposti kuanzia mwezi...
1 Reactions
0 Replies
88 Views
Habari za asubuhi. Mi huwa naweka mada hapo ili mradi ujumbe ufike. Kusomwa tu inatosha, hivyo wahusika wakiupata, wataufanyia kazi. Sitakuwa specific ila nawaongelea hawa waswahili wanaotukuza...
3 Reactions
14 Replies
286 Views
Wataalamu wa masuala ya gesi na mafuta, ninaomba kupata uelewa zaidi wa hii taarifa niliyoiona Worldometers inayosema kuwa imebaki miaka miwili ili gesi ambayo imegundulika nchini Tanzania kuisha...
0 Reactions
0 Replies
74 Views
Nauli ni kiasi gani na ni kituo gani nishuke zilipo ofisi za boti za Azam nikitokea kituo cha mabasi cha Magufuli au kwa bodaboda ni kiasi gani kutoka stand ya Magufuli mpaka zilipo Hizo ofisi...
7 Reactions
96 Replies
2K Views
Mwandishi wa Habari Eugen Peter ambaye leo asubuhi kupitia kurasa za Millard Ayo alitangazwa kutokujulikana aliko, amepatikana mchana huu akiwa amelazwa katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili...
2 Reactions
0 Replies
208 Views
Mimi nilikuwa na mkubali sana jpm kwa 90% katika utendaji wake wote na hata kifo chake kinaniuma hadi leo. Mimi sio mtu wa siasa za hapa Tz Maana naona kabisa hii nchi hakuna chama cha upinzani...
20 Reactions
209 Replies
4K Views
Nina umri wa miama 31 na sikuwahi kujua kuhusu Elimi hii. Nimetenga Mwaka mzima kujifunza elimi hii lengo likiwa ni kujiongezea ujuzi. Nimefatilia nimegundua Dunia ni pana hii. Naanza sasa...
0 Reactions
0 Replies
136 Views
Sisi Wahitimu wa Shahada katika Chuo cha Kimataifa Kampala kilichopo Gongo la Mboto, Dar es Salaam hatujapewa malipo yetu yaliyozidi (refund) kutoka kwenye fedha tulizokuwa tunalipiwa na Bodi ya...
0 Reactions
2 Replies
175 Views
Mimi Deo mzaliwa wa Mbeya Madibira Kijijini Mkunywa, MWAKA 2015 mwishoni nilipata binti aitwaye Ana wa Kyela alikuwa na miaka 21 nikaoa, Lakini kabla ya kumuoa nilimusihi sana tukapime afya zetu...
1 Reactions
0 Replies
150 Views
Jeshi la Polisi limetoa taarifa ya kupatikana kwa Mtangazaji wa TV 3, Gwamaka Francis Gehas maarufu kama 'Boiboi Mkali' mkazi wa Mbezi Beach Africana, Dar es Salaam, aliyedaiwa kupotea tarehe 3...
0 Reactions
1 Replies
344 Views
Back
Top Bottom