Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
kwa sababu zile zile ambazo makampuni hubadili majinanyao, basi hata hili bara letu imefika muda muafaka sasa tubadili jina lake… Napendekeza liitwe… ‘New Heaven’
3 Reactions
19 Replies
431 Views
Wale ambao mna watoto au ndugu zenu Ila tayari wameathirika na uraibu mbalimbali kama Pombe, Sigara na Bangi naomba tuwasiliane ili niwapatie matibabu. Tupo na kituo cha rehabilitation (Rehab)...
1 Reactions
3 Replies
158 Views
Kuna watu ni kama wamelaaniwa ikiwemo huyu rafiki yangu Tafsiri ya maendeleo Kwa MTU mweusi itakuwa Ina maana tofauti. Juzi nilimsindikiza jamaa yangu Kwa wazazi wake aisee ni pachafu Sana. mama...
30 Reactions
101 Replies
3K Views
Anonymous (a678)
Wilaya ya Mvomero haijishugulishi na mji wake Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro ni kama haipo. Wilaya hii eneo lake la centre (uso wa mji wa Mvomero) ni eneo moja linaitwa Wami Dakawa dakika 05...
0 Reactions
4 Replies
419 Views
Na Zurima Ramadhan, Zanzibar Jamii imetakiwa kuungana kwa pamoja kuwasaidia watoto yatima ili kujenga upendo na mshikamano baina yao. Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Taqwa...
0 Reactions
0 Replies
123 Views
Nimekuwa nikipewa salamu na vijana wenzangu mpaka inafika pahala ncheka tu na kushindwa ku respond, wengi wanadhani umri wangu ni mkubwa kufika 30. Kumbe bado hata 25 sijafika. Huwa najiuliza...
32 Reactions
436 Replies
13K Views
Ntashangaa kusikia tkt za kulanguliwa hazipo Dec Hii n miradi mirefu sana KUNA jamaa huwa ananunua HATA tkt 30 Dec analangua na ana madalali kabisa ukienda kwenye basi wanakwambia limejaa Basii...
0 Reactions
2 Replies
175 Views
Kuna kundi la watu ambao wanaiomba serikali ifungie twitter nchini kwa kudai kuwa twitter imeruhusu maudhui ya mapenzi ya jinsia moja. Hata hivyo, najiuliza ni mtandao gani ambao hauruhusu mapenzi...
4 Reactions
49 Replies
2K Views
Simba ndiye mnyama mwenye nguvu kuliko wote katika uso wa dunia, na anajulikana kwa jina la mfalme wa porini, na kumuona katika ndoto ni moja ya maono ya mara kwa mara kwa watu wengi, kwani ni...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
MADAI YA FIDIA KWA MWEKEZAJI WA MGODI NA. 2 Lubaga, Mkoa wa Simiyu. Kwa nini hawajajitokeza kujibu, Malàlàmiko yangu ya kuhàribiwa bústàñí yàngu niliyoyatoà hivi Karibuní kwenye jukwaa hili...
2 Reactions
2 Replies
104 Views
Leo nilikutana na bwana mdogo mmoja akaniomba nitazamie shule aliochaguliwa kwenda kidato cha kwanza. Cha ajabu nikakuta wanafunzi wote 230+ wamechaguliwa kwenda secondary moja yani ni kama...
9 Reactions
51 Replies
2K Views
Haya vijana changamkeni Tesla ishatua Mlimani city jameni😂😂😂
5 Reactions
13 Replies
753 Views
Ushauri kwa Serikali Kuhusu Kufungia Makampuni ya Betting Makampuni ya betting yamekuwa mengi sana katika jamii yetu, yakileta athari chanya na hasi. Kufuatia hatua ya Benki Kuu ya Tanzania (BOT)...
10 Reactions
46 Replies
1K Views
Anonymous (e604)
Habari ndugu zangu, kuna chuo kimoja kinaitwa ICOT hapo mjini Morogoro kipo chini ya wizara ya ujenzi kinatoa course za diploma kwa electrical, mechanical na civil engineering aisee kina...
1 Reactions
3 Replies
318 Views
Uzi huu hauna maana kuharibu biashara ya mtu yoyote. Kwa sasa biashara ni ushindani haiwezekani kuna shida tubung'ae kama mazombi. Kinyerezi imefunguliwa casino. Lazima mfanyabiashara uwe na...
5 Reactions
35 Replies
997 Views
Enyi wazee wa kiafrika wenye miaka 60 kazini ondokeni achieni vijana nafasi kwasababu wana ujuzi mpya, mnang’ang’ania kana kwamba hamjazaa Enyi wazee wetu miaka 60 ya kustaafu imeshatimia bado...
3 Reactions
22 Replies
459 Views
Wakuu naona network ya mtandao wa voda inasumbua hivi ni kwangu tu au na nyie mnapata shida kama mimi. Ni kama network haisomi na nina line ya airtel nikikaribu mpigia mtu wa voda hapatikani pia.
15 Reactions
182 Replies
6K Views
Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge amesema kuwa Watu zaidi ya elfu 18 kitika kipindi cha mwaka mmoja wamenufaika na huduma mbalimbali za kibingwa kwa magonjwa...
1 Reactions
1 Replies
135 Views
Kwanza kimsingi Kabisa kilimo cha nchi zetu hizi za kimaskini return yake huwa ni ndogo sana tunalima basi tu ku jikeep busy na walau kupata chakula ila kutoboa ni uongo ndo maana wakulima ni...
12 Reactions
36 Replies
4K Views
Anonymous (ca37)
Idara ya maji mkoani mbeya wanaweka kiasi kikubwa cha madawa water guard hadi maji yanapoteza ladha lakini yanaleta madhara ya kiafya kwa watu maana wanaweka muda huo huo na kutumika. Ukinywa...
2 Reactions
15 Replies
257 Views
Back
Top Bottom