Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Zamani tulipokuwa vijana wahindi wengi sana walikuwa wanafanya kazi Bank...hata humu NBC kabla haijavunjwa na kuzaa NMB wahindi walikuwa kibao...kuanzia miaka ile ya 60 mpaka sabini mwishoni...
4 Reactions
24 Replies
957 Views
Amani ya Bwana iwe nanyi. Roho yangu binafsi inaniuma sana kuona kuna baadhi ya watu wanahujumu huu mradi wa SGR, tena wengine ni mafundi au wanahusika kwa namna moja ama nyingine. Opinion...
5 Reactions
17 Replies
535 Views
Habari za asubuhi wanajukwaa poleni kwa majukumu mbalimbali na mungu atatuvusha vema katika nyakati zetu ngumu amen. Mwaka jana nilikuwa na uzito mkubwa sana kiasi kwamba nikawa napata shida sana...
4 Reactions
9 Replies
277 Views
nafasi gani Rais wa Tanzania awezi kuingilia kufanya mabadiliko ya viongozi au kuwaondoa kazini? Hivi ushawahi jiuliza hili awali? Mamlaka ya Rais ukomo wake? Kuna Nafasi hawezi ziingilia? Teua...
1 Reactions
8 Replies
233 Views
chanzo gazeti la mwananchi la jana 19 Dec 2024 Ila mimi kwa mawazo yangu waache kuonea watumishi wa umma.Wangeenda mbali zaidi na Wanasiasa hadi Bungeni. kuna baadhi ya mambo wanapitisha mpaka...
1 Reactions
6 Replies
245 Views
Sababu kuu ya kuwatoa wangu shule ya kiingereza nakuwarejesha kayumba ni uchumi lakini kama unavyo jua tena ukitaka kumuua paka lazima kwanza umpe jia baya. mimi sababu zifuatazo ndizo ambazo...
23 Reactions
70 Replies
7K Views
Nimekutana na hii post kwa mtu wa karibu tunayefahamiana kupewa million Tano kwa kujisajiri kwenye hilo shirika Post hii "wengi walighairi ila ni ukweli nilipokea hizi hela kutoka USAID...
2 Reactions
67 Replies
1K Views
Aisee wazee wa zamani waliufaidi muziki...huu wimbo ndio bora kwangu toka nimekuja duniani kwa sababu zifuatazo 1. Mashairi yameiva kuna ujumbe murua 2.Una vibe balaa 3.beat lipo kwenye high...
1 Reactions
2 Replies
204 Views
Zijue Furushi za Baraka Zinazotokana na Kutoa Sadaka Sadaka ni nini Sadaka ni kitu au fedha ambazo hutolewa na mtu kwa kuwapa wale aliowakusudia kama ishara ya kuwathamini na kuwapenda. Ni...
3 Reactions
10 Replies
512 Views
Weekend niliamua kutembelea viungo vya mitaa ya Mromboo. Unapoitaja viungo vya mitaa ya Mromboo moja kwa moja akili inakimbilia ulaji wa Mbuzi choma. Kwasababu zilizo nje ya uwezo wangu hasa...
2 Reactions
19 Replies
637 Views
Wadau hamjamboni nyote? Kichwa cha habari chahusika Nawapongeza sana Waislamu Mungu awabariki
3 Reactions
19 Replies
443 Views
Kwa kuwa Xmas ni Jumatano na Boxing Day ni Alhamisi, Rais Samia anaweza kutumia busara tu ya ukuu wa nchi Kwa kusema tu, Ijumaa watu wapumzike na kazi zianze rasmi Jumatatu ya December 30. Hata...
16 Reactions
141 Replies
3K Views
Mwanzo ilikua ukimaliza mkataba wako secta binafsi unaruhusiwa kuchukua mafao yako yote. Lakini sasa upo utaratibu ambao nashindwa kujua kwa nini umeletwa. Mimi nilifanikiwa kuweka michango yangu...
4 Reactions
18 Replies
835 Views
Wakuu salam, Ajali nyingi zinatokea zikihusisha malori kama umechunguza mara nyingi huwa ni sababu dereva alisinzia kutokana na uchovu mwingi wa kuendesha muda mrefu bila kupumzika au anakuwa...
2 Reactions
17 Replies
617 Views
Kuna afande mkubwa juzi aliwatangazia wananchi kuwa wasiogope kuomba lift kwenye difenda la polisi.. Maoni yalikuwa mengi Mimi katu sithubutu (tena) kuomba lift kwenye difenda la polisi... Siku...
54 Reactions
107 Replies
6K Views
Naomba mnisaidie, kwa miezi kadhaa kabisa nikinunua kifurushi cha mwezi cha internet kinaisha hata wiki hainaisha wakati Natuma jioni tu Tena kwa Kiasi kidogo kwani mchana huwa ni atumia WiFi ya...
5 Reactions
25 Replies
721 Views
Hii ilikuwa ni miaka ya '90 mwanzoni, tukitokea pembezoni mwa mgodi wa Mwadui, tulifahamika kwa jina la "Wabeshi". Zana zetu za kazi ilikuwa ni sululu, chepe na majembe yaliyonolewa sana...
207 Reactions
562 Replies
91K Views
Mada Inajieleza. Mh. Deus Sangu bado ni kijana? Soma pia:Naibu Waziri Deus Sangu: Tutaanza kufanya vipimo vya afya ya akili kwa vijana kabla hawajaajiriwa Serikalini
0 Reactions
0 Replies
122 Views
Jeshi la Polisi limetoa ufafanuzi wa taarifa inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kumhusu Mchezaji Bernard Morrison ikituhumu Kituo cha Polisi Mbweni, Ufafanuzi ni kwamba Bernard Morrison...
0 Reactions
2 Replies
373 Views
Nimelitumia hilo neno "influecer" lakini kwa JF ni la hovyoo. Yani inamaanisha Chawa. Sasa mimi sitaki wahita hawa ni chawa ila ni Greatest Boldied Indivuduals. Lakini wameamua tu ku potea..! Why...
0 Reactions
6 Replies
166 Views
Back
Top Bottom