Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Jana usiku niliandika humu kuwa nipo mbezi, napata vyombo. Sasa mchana watu niliokuwa nao walikuwa wamezianzia pombe tokea mchana, hadi kufika jioni walishalewa. Tukatoka tukaenda G7 LOUNGE ipo...
26 Reactions
129 Replies
2K Views
Wadau wa JF ukimwi katika nchi yetu kamwe hauwezi kwisha,ndani ya hizi hotel Madanguro) mambo ya kutisha yanaonyeshwa kwenye mitandao yao ya ndani.Kanda zote za kifedhuli zenye...
0 Reactions
74 Replies
27K Views
Niko visiting day leo hapa shuleni nimekuta mwanangu wa grade 4 kapigwa sana sehemu za jichoni hadi kutafuta hawezi. Ameibiwa mswaki, dawa, ndoo za kuogea, nguo za michezo nk, kwa kifupi hajaoga...
11 Reactions
122 Replies
3K Views
Umefika hatua hata ukitaka kumsaidia mtu anakuhisi unataka kumtapeli. Kwa madiba palinishangaza sana, watu wanaishi kwa kuliana Timing, hii inasababisha hata ukitaka kumsaidia mtu anahisi unataka...
12 Reactions
66 Replies
2K Views
Marekani inajulikana duniani kote kama taifa lenye nguvu kubwa kiuchumi na kiteknolojia. Moja ya sababu kuu zinazochangia mafanikio haya ni msingi imara wa Kikristo uliowekwa tangu kuanzishwa kwa...
10 Reactions
42 Replies
1K Views
Mbeya city council viongozi wamekosa uwajibikaji kabisa baada ya kuwasilisha kero ya ubovu wa miundombinu ya barabara ndani ya stand ya nane nane , kumekuwa na vifusi vilivyo mwagwa ndani ya stand...
0 Reactions
0 Replies
89 Views
1. Mwanaume usibadilishe dini kwa sababu ya mwanamke hata kama unampenda vipi. 2. Ikitokea umefanya makosa ya jinai ukitaka kufanya udanganyifu kama huna elimu lazima utaishia kukamatwa tu, jamaa...
49 Reactions
116 Replies
5K Views
Mkombe Luxury siijui hii kampuni ilikotokea ila nimeona tangazo lao kuanzia tarehe 20 mwezi huu wa May chombo inaanza kukata 4000 kilometers. Na njia itayopita ni kwenye nchi za Botswana...
56 Reactions
278 Replies
34K Views
S.hikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Ndugu zangu watanzania eti; Nini maana ya "Kuishi Vizuri na Watu"? Je, ni sahihi kuenenda ndivyo sivyo ili ujijengee taswira njema katika...
14 Reactions
85 Replies
12K Views
Tunaomba maafisa magereza wamuwezeshe kukimalizia hiki kitabu kabla jamaa hajanyongwa. Pia soma > Aliyemteketeza mkewe kwa magunia mawili ya mkaa ahukumiwa Kunyongwa mpaka Kufa
4 Reactions
5 Replies
333 Views
Mwanza. Daniel Sayi (48) mfanyabiashara wa ng’ombe wilayani Geita mkoani hapa, anadaiwa kuchukuliwa na watu wasiojulikana akiwa nyumbani kwake Kitongoji cha Kiomboi, Kijiji cha Ihilika, Kata ya...
8 Reactions
33 Replies
2K Views
KANUNI ZA KUOMBA MIUNGU NA KUJIBIWA Anaandika, Robert Heriel, Kuhani Katika Hekalu Jeusi, Mtibeli. Watu wengi wanauliza swali hili. Wengine wananipigia simu wakitaka kujua wafanyaje ili maombi...
7 Reactions
22 Replies
1K Views
Nimepokea taarifa usiku huu kutoka kijijini Kishanje, Bugabo Bukoba, akitaarifu kutekwa kwa kijana Danstan Daudi Mutajura (pichani juu) anayefanya kazi Jijini Dar es Salaam. Dastan ametekwa jana...
18 Reactions
218 Replies
16K Views
  • Redirect
Na bado mkajenga bwawa kubwa Afrika Mashariki na kati lenye uwezo mkubwa sana. Au huo umeme kutoka bwawa hilo ndiyo u unapiga U-turn kurudi kuja kuuzwa na tunanunua sisi wenyewe?.
0 Reactions
Replies
Views
Ni maswali ya kujiuliza jinsi wanavo kuja na silahaa ambazo hata kibari cha kumiliki uwezi pewa zaidi ya vitengo vinavyo husika tu huku magari ambayo hata uwezi miliki sababu mengi yanakuwa kwenye...
2 Reactions
2 Replies
134 Views
Members naomba kufahamishwa ni kampuni gani za bus za kuamika kuelekea mikoa ya Lindi na Mtwara kutokea Dar , ofisi zao zilipo pia. Nawasilisha
3 Reactions
15 Replies
465 Views
Hawa washauri wanapata bei gani kwenye huu/hii miradi? Chanzo cha mapato kinatoka wapi? Mpaka uchaguzi upite kuna watu watakuwa matrilionea.. Anyway tumsikilize Dr. Bagonza PhD kwanza kabla ya...
12 Reactions
66 Replies
2K Views
Habari wadau wa JamiiForums, Katika dunia ya sasa, tunakutana na aina nyingi za watu kwenye mitandao ya kijamii na jamii kwa ujumla. Wengine ni wasomi, wengine wamepitia changamoto mbalimbali za...
9 Reactions
33 Replies
715 Views
Habari ndugu zanguni. Hope jumapili iko poa kabisa. What is Science? Hili ni swali ambalo wanafunzi wa kidato cha kwanza hupambana nalo pindi tu wakianza masomo ya secondari . Jiografia ni...
1 Reactions
2 Replies
95 Views
Ndugu watanzania kupitia Uzi huu nitakuwa Kila siku Alfajiri ninatuma mstari maalumu wa maombi Kwa wale waombaji wa asubuhi. Ufunguapo Uzi huu kuanzia saa nane kamili usiku utakutana na maneno...
53 Reactions
334 Replies
10K Views
Back
Top Bottom