Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Tufwate njia ya msalaba Tuifwate mpaka Kalvario Tusimamepo bila haya Msalaba, Msalaba, huponya roho Sala mbele ya altare Ee Mkombozi wangu, nimekuja leo kufuata njia ile uliyoshika siku ya kufa...
5 Reactions
25 Replies
201 Views
Sijawahi kufika kwenye hizo nchi, lakini naamini nitafanya hivyo muda si mrefu.Lakini kwa stori za hapa JF, wengi wa wadau wanashauri kutokupita Zimbabwe kwa safari za kwenda Afrika Kusini...
7 Reactions
35 Replies
2K Views
Kipindi Serikali au mtu mmoja aliyeamua katangaza Dodoma kama makao makuu kwa maslai yake, watu wa Mikoani wakakurupuka kutoka huko kwenda kuwekeza Dodoma, sasa mambo yamekuwa magumu wanalalamika...
106 Reactions
587 Replies
46K Views
Nimekuwa mtu wa kusaidia sana angalau kwa kiasi kidogo ninachopata kuwatimizia wahitaji. Anaweza akapita mtu anahitaji msaada wenzangu wote watakaa kimya ila mimi lazima nitoe hata kama...
9 Reactions
21 Replies
419 Views
Mbona huku tuko busy na mishe zetu wala hatuna habari na siasa zao za kitapeli? Kwa sasa huwezi ingia tele bila vpn iwe simu au vpn. Nimekaa nimewaza hawa jamaa kwani wana matatizo gani, pamoja...
0 Reactions
12 Replies
201 Views
Serikali inaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya kusafirisha umeme ili kuhakikisha mikoa yote nchini inaunganishwa kwenye Gridi ya Taifa kwani kwa sasa, mikoa ya Katavi, Rukwa, Kagera, Lindi...
3 Reactions
5 Replies
242 Views
OUR PRODUCT -BIBLE CODE (Luka 24:45) zimekua digested kutoka kwenye biblia kwa uongozi wa Roho mtakatifu kwa lugha nyingine hazibuniwi ndo maana chini yake kuna mstari wa biblia. PM NIMEIFUNGA...
47 Reactions
679 Replies
34K Views
Leo nikiwa natumia whatsapp nimekuta picha ya namba yangu ya Tigo kuna mtu mwengine kajipiga selfie Naenda kuangalia usajili wa majina kwa njia ya kutuma pesa nakuta majina tofauti. Hili jambo...
8 Reactions
33 Replies
663 Views
Salute! Nakumbuka mara yangu ya kwanza kuingia Afrika Kusini ilikuwa mwaka 2015, nikiwa chuo mwaka wa 2. Kuanzia hapo safari za kwenda huko Bondeni zikawa ni za mara kwa mara. Lkn kwa bahati...
163 Reactions
403 Replies
83K Views
Wakuu Rais Samia akiongea kwenye Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afrika leo Januari 28,2025 Jijini Dar es salaam. "Tanzania ni moja ya Nchi 12 zitakazozindua mpango mahususi wa kitaifa...
2 Reactions
28 Replies
648 Views
Mwenyekiti wa Bodi ya Mwananchi Communications Ltd, David Nchimbi (wa tano kutoka kulia) akimkabidhi tuzo Elizabeth Muro (kushoto), Mkurugenzi wa Sheria na Uadilifu wa Biashara wa SBL kwenye tukio...
0 Reactions
1 Replies
50 Views
Mshikaki unabeba viungo ambavyo vinafanya mda mfupi kuiva haraka. Kwa mtazamo unaona kabisa serikali inaweza kuwa mshikaki sababu ina viungo vyote. Ukija upande wa nyama choma kwa wananchi hawa...
1 Reactions
1 Replies
62 Views
Habari, kama kichwa cha habari kinavyo nielezea hapo juu. Mimi ninauzoefu kwa kiasi juu ya vyakula kwa kuwa ni mtafiti, tabibu na ninamiliki duka la rejareja ingawa sipati muda wakuka mara nyingi...
2 Reactions
2 Replies
378 Views
China imejenga barabara kuu bila kuharibu mashamba na mabwawa ya wakulima, kuhakikisha maendeleo na asili vinaenda sambamba. 🌿🚜 Mfano kamili wa jinsi miundombinu inaweza kukua bila kuharibu...
5 Reactions
32 Replies
381 Views
Nilichojifunza sio kila mtu anagusika . Kuna jirani yetu ukimjaribu basi lazima mpoteane . Nilimfata na kumuuliza inakuaje kila anayetaka kukufanyia ubaya au anayekufanyia anapoteana Alinijibu...
16 Reactions
122 Replies
3K Views
Kwenye maisha kuna mambo ambayo mtu hawezi kuyapanga "Nature takes its course" hauwezi kupanga uzaliwe Taifa gani , Mkoa gani , Rangi gani , Kabila gani , familia ipi au hata Dini gani . Hakuna...
13 Reactions
48 Replies
548 Views
Unawaza, “Nitafanya kesho,” lakini kesho haiji. Unataka kufanya mambo makubwa, lakini hata kuanza kunahisi kuwa ngumu. Unafikiria kuandika kitabu, kuwa na afya bora, au kujifunza jambo jipya...
2 Reactions
2 Replies
140 Views
Biashara ya Mtandaoni: Ushuhuda, Mafanikio, na Changamoto za Matapeli Mimi ni mdau mkubwa wa biashara za mtandaoni, na jambo linalonivutia zaidi ni pale tunapoweza kuzungumza na kufanya biashara...
3 Reactions
4 Replies
259 Views
Wakuu kwema? Hiki kipengele kinasumbua sana. Yani unahitaji risiti ambayo ina tin halafu muuzaji anakwambia mashine haina option ya tin. Hapo ili tu asisumbuke kwa kuwa hajui hiyo hatua. Pia...
1 Reactions
4 Replies
114 Views
Nguvu ya hivi viungo ni kubwa kuliko unavyodhani... Kazi za hivi viungo ni kubwa kuliko inavyofikirika..... Mkono wa baraka.... Kiimani huwa tunaomba eeh Mungu zibariki kazi za mikono yangu...
46 Reactions
94 Replies
17K Views
Back
Top Bottom