Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Sasa ni rasmi serikali inakusudia kufunga kamera za ulinzi (CCTV), katika eneo la Kariakoo, jijini Dar es Salaam, ili kudhibiti uhalifu na kuwezesha biashara kufanyika kwa saa 24. Mkurugenzi wa...
0 Reactions
0 Replies
244 Views
Habari za leo wadau? Naomba kujua namna ya kuangalia jina la mmiliki wa gari kupitia mtandao bila kwenda TRA kwa kuingiza detail za plate number tu Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
20 Replies
67K Views
Wanabodi, kuna tabia inayozidi kuonekana ambapo bodi ya mikopo inatembelea ofisi za watu ikiwa na orodha ya wadaiwa wa mikopo. Cha kushangaza, orodha hii mara nyingi inajumuisha majina ya watu...
1 Reactions
2 Replies
291 Views
Moja kwa moja kwenye mada,ifuatayo ndio orodha ya makabila top ten yaani cream yaliyoshikilia share kubwa ya uchumi wa Tanzania. 1. Watu wenye asili ya asia wahindi, waarabu, wapemba nk 2...
52 Reactions
175 Replies
79K Views
Brothers and sisters mliofanikiwa kudumu kazini muda mrefu, mkapanda vyeo (supervisors, managerial level etc.) na hizo kazi zikawabadilishia maisha What is the secret? Ni ushauri gani mnatoa kwa...
10 Reactions
24 Replies
857 Views
Jumatano, 04 Disemba 2024. Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linautaarifu umma kuhusu hitilafu iliyojitokeza katika Mfumo wa Gridi ya Taifa leo tarehe 04 Disemba 2024 majira ya saa 04:03...
0 Reactions
6 Replies
911 Views
Au mpaka iundwe tume ichunguze? Kumbu kumbu dogo ya wananchi ndio mtaji wa madhalimu
0 Reactions
4 Replies
196 Views
Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Mcha Hassan Mcha akipokea tuzo ya mshindi wa jumla kwenye uandaaji wa hesabu za kifedha zinazozingatia viwango vya kimataifa vya...
0 Reactions
0 Replies
156 Views
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Serikali haipendi kusikia na haitavumilia kusikia uwepo wa vitendo vya unyanyasaji kwa watu wenye ulemavu na wale...
0 Reactions
0 Replies
130 Views
Sikiliza vizuri msomi
8 Reactions
76 Replies
1K Views
Wanabodi, Huu ni wito wangu kwa wana jf wenzangu, Tuwaepuke "Manabii wa Majanga", Prophets of the doom" ambao kazi yao ni kuwanyooshea vidole wenzao na kuwahukumu pasipo uthibitisho, kila...
34 Reactions
195 Replies
25K Views
MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umetunukiwa tuzo ya mshindi wa kwanza ya umahiri katika uaandaji wa taarifa za mahesabu kwa mwaka unaoishia 2023, katika kundi la hifadhi ya...
0 Reactions
1 Replies
226 Views
August 12, 2024 Waziri wa Michezo, Dr. Damas Ndumbaro alifika eneo la Tegeta-Wazo kufuatia kuibuka kwa malalamiko kutoka kwa Wananchi wa eneo hilo kudai Uwanja wa Panga ambao unatumika katika...
0 Reactions
0 Replies
357 Views
Kwa binadamu yoyote ambae ana akili timamu ni jambo lisiloepukika kupitia changamoto ya dharau, kashfa , kebehi , matusi kutoka kwa majirani, marafiki au watu wetu wa karibu kama mke , mume au...
2 Reactions
10 Replies
403 Views
Adamu aliumbwa, ule udongo ukafinywangwa finywangwa kutengeneza body, akaweka veins hizo, arteries nk kisha akampulizia pumzi ndipo akawa ,ndio maana sisi binadamu wengine kupitia Adamu ndio...
5 Reactions
22 Replies
679 Views
Na Mwandishi Wetu. KAMPUNI ya Tumbaku ya Alliance One Tanzania Limited(AOTTL) imeibuka mshindi wa jumla katika kuzalisha ajira nchini iliyotolewa na Chama cha Waajiri Tanzania(ATE). Kampuni hiyo...
0 Reactions
0 Replies
177 Views
Ikiwa ni mwendelezo wa utoaji elimu kwa makundi mabalimbali katika jamii kikosi cha wanamaji dawati la jinsia na watoto limewafikia watumiaji wa vyombo vya majini na kuwapa elimu ya ukatili ikiwa...
0 Reactions
0 Replies
154 Views
Dar es Salaam. Kampuni ya usambazaji na uuzaji wa huduma na bidhaa za nishati ya Puma Energy Tanzania imetwaa tuzo ya Kituo Bora cha Mafuta kinachofikika na kupatikana kwa urahisi zaidi Tanzania...
0 Reactions
0 Replies
118 Views
Habarini, Ni ngumu sana kwa waganyabiashara wadogo kununua EFD mashine kwa bei ya zaidi ya 500,000 ambapo ikiuzwa 100,000 ni wazi TRA watakusanya kodi nyingi kwani watumiaji wa mashine hizo...
1 Reactions
4 Replies
338 Views
Hili ni wazo tu kwa serikali yangu kuhusu daraja la busisi kwanza nipongeze serikali pili naomba hili daraja liwe la kulipia ila isiwe hela nyingi kiwekwe kiwango kiasi kama kuchangia maendeleo ya...
3 Reactions
31 Replies
893 Views
Back
Top Bottom