Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Kwanini mnaomba maisha marefu hapa duniani wakati kuna maisha mazuri mbinguni kwa baba? Kwanini kifo kinaogopwa wakati ni njia ya kwenda kwa baba kula raha, kufurahia maisha mazuri yasiyo na dhiki?
6 Reactions
42 Replies
772 Views
Oy wanangu niaje Huko chama la wana michezo ya pollonium imezidi vijinafasi vya kupokea hela za mchezo vinawacost sana Watu wanacheza mchezo mbaya wa pesa vijumbe ndo wanatumiwa kuupeleka...
3 Reactions
42 Replies
1K Views
WATOTO HAWATELEKEZI BABA MWENYE NGUVU YA KIFEDHA NA AKILI Mara nyingi sana tunaona na kusikia visa na mikasa Ya jinsi wababa ambao wamesogea kiumri sana...🥸🥸🥸 Wakilalamika kukimbiwa na watoto...
5 Reactions
10 Replies
609 Views
Yaani, katika kila tukio linalotokea, nadhani kuna watu huko Polisi ambao kazi yao ni kupindisha ukweli wa mambo kwa namna ambayo hata yule Joseph Goebbels, mkali wa propaganda wa Hitler...
4 Reactions
4 Replies
280 Views
Mnatangaza kuwa mnatengeneza mikaa isiyoharibu mazingira,tunawaandikia email kwa ile email yenu ya ofisi, hakuna mtu anajibu, au mnataka tumuandikie barua Samia. Tuambieni hayo makaa tunayapataje...
1 Reactions
7 Replies
161 Views
SONGWE: Jeshi la Polisi Wilaya ya Momba, limesema linamshikilia Mwanaume mmoja ambaye ni Dereva wa Bodaboda anayetuhumiwa kuhusika na Kifo cha Stephano Chalamila (23) ambaye awali aliripotiwa kuwa...
0 Reactions
2 Replies
530 Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa amewaelekeza wasimamizi wa vituo vya Uchaguzi kuwasaidia wapiga kura kusoma orodha ya majina vizuri ili wote...
0 Reactions
3 Replies
410 Views
Kwa vile mimi simjuaji naomba kuuliza, hivi kuna utaratibu Mashirika yetu ya nyumba kununua maeneo mapya kwa ajili ya kuyaendeleza? Na kama ndio hawawezi kununua Kinondoni,Magomeni Mwananyamala...
7 Reactions
8 Replies
293 Views
Nimejifunza kwamba wale ambao hawakutafuti ukiwa kimya ndio ambao huwa hawa kumiss kabisa Na hao ambao hawa kumiss huwa hawakujali pia Maisha yana amua nani ataingia katika maisha yako lakini...
8 Reactions
13 Replies
544 Views
Dsemba 5 mwaka huu kundi la watanzania 200 wakiongozwa na maofisa wa jeshi la wananchi Tanzania(JWTZ)litapanda mlima Kilimanjaro ilikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa...
0 Reactions
1 Replies
204 Views
Inasemekana mara nyingi kwamba kila mtu anastahili nafasi ya pili. Lakini hiyo si kweli kila wakati, kulingana na saikolojia. Kuna aina fulani za watu ambao, kwa ajili ya afya yako ya akili...
2 Reactions
2 Replies
742 Views
Kama mtu wa rohoni ngoja niwape hii code huenda itawasaidia siku za machoni. Unaomba ajira umefanya usaili na kuwa na matumaini kuwa sasa unasubiri tu kupangiwa tarehe ya kuanza kazi lakini...
4 Reactions
3 Replies
419 Views
Wakati fulani mtu fulani alihoji humu sababu ya Kenya na Uganda kuwa na raia wengi walio ughaibuni na baadhi ya wadau wakadai ni kwa sababu nchi zao hazina fursa kama Tanzania. Kuna taarifa...
0 Reactions
0 Replies
193 Views
Watanzania tunatia huruma Sana ukiiona video hii ni aibu we mtu anakimbilia porini hata hajali huko porini atakutana na nini. JIANDAE KUKUTANA NA HAYA KAMA UTAHAMIA NCHI ZA WATU BILA PASIPOTI...
1 Reactions
18 Replies
614 Views
Habar zenu mabibi na mababu, Mwalimu ni mtu anaesaidia wengine kupata ujuzi, maarifa na tunu. Mwalimu ndie anaezalisha Madaktari, manesi, bwana afya, wanasiasa, wafanyabiashara n.k, na wote...
16 Reactions
97 Replies
11K Views
Kwa yoyote ambaye amekuwa akifuatilia makala zangu za hivi karibuni, bila shaka ameona kwamba nimekuwa na mtazamo tofauti kuhusu sababu za kudumaa kwa maendeleo ya bara letu. Ingawa ukoloni mara...
0 Reactions
3 Replies
309 Views
1. Leo salary advaance/pension advancy /mikopo iko, kesho inaondolewa kesho kutwa inarudishwa! majaribio! You cannot plan anything with this Saccos! 2. Most of the time ATM ni out of order Wapo...
2 Reactions
0 Replies
140 Views
Tangu utaratibu wa ushuru wa maegesho uondolewe TARURA na kupelekwa katika halmashauri umegeuka kuwa wizi wa wazi wa serikali dhidi ya wananchi wake. Mawakala wa halmashauri wanaohusika na...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Heshima sana wanajamvi, Last week nilikuwa UAE 🇦🇪 Dubai, nilitumia usafiri wa ATCL kwa mara ya kwanza. Mambo matano ya hovyo niliyashuhudia. Mosi Wahudumu ni wazee na wana miili mikubwa kama...
22 Reactions
56 Replies
3K Views
Back
Top Bottom