Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Sisi wateja tuliofungiwa Meter za Maji za Prepaid tumekuwa hatupati tokeni za maji pindi tunaponunua maji kwa njia ya Mtandao hapa Mkoa wa Kagera. Mfano toja wiki iliyopita nilinunua maji mpaka...
1 Reactions
2 Replies
494 Views
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO), Dk Tedros Adhanom Ghebreyesus ameeleza kushtushwa kwake na kifo cha Mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Kanda ya...
1 Reactions
8 Replies
874 Views
1. Weka oda ya mwezi mzima na zaidi✅ 2. Usikate kipindi cha sikukuu✅ 3. Fuatilia meseji za promo ✅ hizi ili upate lazima uwe ushawai panda ndege ndo watakutumia 4. Uliza maagent✅ kua na namba...
12 Reactions
69 Replies
2K Views
Kwa wale mnaokuja njia Morogoro road hapa Kibaha maili moja kuna foleni sio mchezo magari yamezimwa kabisa kuna mkubwa tunahisi anataka kutumia njiaa hii so inabidi watu wa kawaida tusubiri
1 Reactions
8 Replies
313 Views
Kuanzia Desemba, China itafutilia mbali ushuru kwa bidhaa za nchi zilizo nyuma zaidi kimaendeleo duniani, zikiwemo Tanzania na nchi nyingine 32 za Afrika. Wakati dunia inakabiliwa na ongezeko la...
0 Reactions
2 Replies
310 Views
Live Channel Ten Mbunge wa Kigamboni Anamuumbua live Live Magufuli na Wazara yake kuwa Hawana haki ya kuongeza Nauli Mpya kwani hiyo mamlaka amaepewa EWURA tena lazima Wadau washirikishwe...
1 Reactions
191 Replies
17K Views
Habarini Wana wa Mungu !!!! Jamani, Naomba msaada kwa anayejua huduma ya VODACOM MGODI. Inafanyaje kazi, Usalama wa pesa, Sheria zao, faida, Jinsi ya kuwekeza,...... na Mengineyo!!! Tusaidiane...
3 Reactions
28 Replies
23K Views
Hivi Bajaji za namna hii zimeshafika bongo
1 Reactions
2 Replies
285 Views
Ni Hesabu ndogo tu... Gharama za Uzalishaji zikiwa kubwa basi na Bei ya Mtumiaji itaongezeka; IKIWA MZALISHAJI NI UMMA; Gharama za Uzalishaji zikiwa kubwa sababu Nishati ni Huduma huenda...
1 Reactions
0 Replies
130 Views
Waziri wa Afya anatangaza uwepo wa Janga la KIPINDUPINDU kama kitu cha kujivunia kama taifa. Leo nimeenda restaurant Mnazi Mmoja nimeghairisha hata Kula kutokana na mazingira machafu kuanzia...
4 Reactions
21 Replies
1K Views
Leo hii watu wengi wamepanga foleni kuchagua kilichochaguliwa. Huo muda mchafu sina
12 Reactions
28 Replies
646 Views
Zaidi ya kwenda kujifunza ufuska sijawahi ona input yeyote wanakuja nayo maana wakimaliza wanaendelea kuwa mizigo ya familia. Hayo mnayoita mafunzo huko JKT hayana Tija ni kupoteza mda tuu na...
1 Reactions
7 Replies
206 Views
Jana,katika Mkoa wa Rukwa watu wawili wameuawa kwa kupigwa radi walipokuwa shambani baada ya mvua kunyesha kidogo mchana kweupe. Shuhuda mmoja wa hili tukio amesema,"Kama yupo mtu yoyote...
4 Reactions
12 Replies
497 Views
Taifa lenye misingi ya maarifa ya ukatiba thabiti na Demokrasia haliwezi kuwa na watu dhaifu katika kuishi kutenda haki na wajibu kwa misingi katiba na sheria, pia kuheshimu muundo wa demokrasia...
1 Reactions
0 Replies
164 Views
Jana kulikuwa na Sherehe ktk eneo la club D Jijini Arusha ,nikiwa ukumbini Ile natoka Sasa kwenda nyumbani nikakuta gari imegongwa na huyo mtu akawa ameondoka, kuuliza walinzi nao wanajidai Kila...
43 Reactions
144 Replies
7K Views
Tanzania, nchi ya uchumi wa kati, miongoni mwa nchi zinazoendelea kwa kasi barani Africa, yenye wananchi watiifu kwenye ulipaji kodi, inayoongozwa na serikali inayohamasisha bihashara na uwekezaji...
0 Reactions
4 Replies
559 Views
Saleh Ayoub ambaye ni Mwalimu wa Shule ya Msingi ya Green Acres iliyopo maeneo ya Mbezi Beach Africana, Dar es Salaam amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni na kusomewa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kuna jambo ambalo naomba nifikishe hapa ujumbe ili ujumbe huu ufike kwenye Mamlaka za juu, nimeamua kufanya hivi baada ya kuona kile ambacho kimeripotiwa na yule Mwanachama mwingine wa JF kuhusu...
5 Reactions
37 Replies
2K Views
Kila nikikaa na kufikiria jinsi Dunia ilivyopiga hatua kwenye sayansi na Teknolojia huwa nafikiria maisha ya wazee wetu wa zamani embu fikiria Dunia bila mitandao ya kijamii WhatsApp ,insta au...
7 Reactions
27 Replies
880 Views
Hello guys Kama kuna mtu ana mipango ya kwenda kusoma india, namshauri ni bora asome bongo kwasababu india ni nchi chafu,kuna joto kali, maskini, na still ni nchi ya ulimwengu wa tatu, pia...
21 Reactions
157 Replies
33K Views
Back
Top Bottom