Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Poleni kwa majukumu. Ndugu zangu hapa katikati kuanzia miaka ya 2010 limeibuka wimbi la waandishi wa habari pamoja na vyombo vyao vya habari ambavyo vimekua ni zaidi ya janga kabisa. Kwanza...
3 Reactions
11 Replies
370 Views
Wakuu...hivi ni mitandao yote saivi au ni huu voda tu ndio wa kijinga saivi...
2 Reactions
21 Replies
795 Views
Habarini wenyeji wangu. Kwa mwenye kuzijua ofisi za Tume ya maendeleo ya Ushirika TCDC Dodoma anielekeze na kama una chombo cha moto kama boda boda anipeleke asubuhi hii majira ya saa mbili.
0 Reactions
1 Replies
222 Views
Hatua ya kwanza. Kuwapa nasaha, Ikishindikana hapo, muwahame.. Yaani muwaache majumbani pekee yao. Umemuhama kakufuata lakini bado anaendelea na tabia zake, ruksa kumshikisha adabu, japo namo...
6 Reactions
109 Replies
3K Views
Wakuu, Hii taarifa mbona kama ya kutuzuga hivi? Hayo mawe yalikuwa ya ukubwa kiasi gani mpaka yavunje hivyo vioo? Au ni sababu ya mwendo? Wazee wa physics mje mtueleze. Lakini pia kama walikuwa...
8 Reactions
73 Replies
3K Views
Juzi bhna nilienda barbershop kushave. Nilipomaliza ile natoka nje nikaona land cruiser inakuja ikapak upande wangu wa kushoto. Wakatoka jamaa wawili makamu ya miaka 35-40, jamaa walikuwa...
10 Reactions
45 Replies
2K Views
Ukiachana na asili ya dunia kumuonea huruma mwanamke, je, ni ipi sababu ya msingi inayopelekea mwanamke aonekane kama mhanga pale anaposimama kwenye vyombo vya sheria? Mwanamke na mwanaume ambao...
2 Reactions
30 Replies
898 Views
Kuna wakati unapata dharura ya kuhitaji huduma kwa wateja watatue, unapopiga simu unakuta maelekezo mengi sana (hasa mitandao ya simu) na kisha inakuwa vigumu kusaidiwa. Kwa nini kusiwe na namba...
2 Reactions
4 Replies
436 Views
Habari za muda huu, Kuna habari mbaya ajali kimetokea Mbezi Luguruni jirani kabisa na ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, mida hii school bus limelikwepa gari ya mizigo iliyosimama ghafla KWENYE...
9 Reactions
51 Replies
2K Views
Aisee wadau za saa hii? Naandika huu ujumbe nikiwa naendesha, lakini hawa Trafiki wa Nzega hapa njia panda ni wa kukata mapanga.
4 Reactions
34 Replies
2K Views
Kwa muda mrefu sasa,Kampuni ya Ukopeshaji Pesa ya Mtandaoni ijulikanayo kama BahariPesa imekuwa na Tabia ya Kutoa siri za wateja wao hasa wale wanaodaiwa na kutuma taarifa zao kupitia namba za...
0 Reactions
11 Replies
672 Views
Great thinkers Habari zenu. Ulimwengu wa roho ni nini kwa kiswahili cha kawaida kabisa, Maswali yangu matatu tu ikiwapendeza naomba mnijibu ? NB; Rejea za vitabu vya dini zitumike panapo...
1 Reactions
6 Replies
628 Views
Wale watu wa spiritulity na imani nawaita mje na mifano yenu kuhusiana na hii mada " maneno/jina lina nguvu ili ufikie au usifikie malengo yako". uwa mna siri gani hamuisemi? Kumekua na hii...
1 Reactions
107 Replies
2K Views
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema miongoni mwa mambo ambayo anayapenda ni kuhusu jinsi waumini wa Dini ya Kiislam wanavyowazika wapendwa wao na kueleza kuwa ameandika wosia...
9 Reactions
122 Replies
4K Views
"Naagiza jeshi la polisi mhandisi ujenzi wa manispaa awekwe ndani kwa ajili ya uchunguzi zaidi ili kubaini kama ujenzi ulikuwa ukifanyika kwa kufuata taratibu sahihi. Mmiliki wa jengo tiyari yupo...
1 Reactions
7 Replies
334 Views
Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhandisi Robert Gabriel amemwapisha Mkuu wa Wilaya ya Bukombe, Said Mkumba huku akiwakumbusha watendaji wa mkoa wake kuwa wana deni la kuwaletea wananchi maendeleo kama...
0 Reactions
36 Replies
5K Views
Nchi hii haijawahi kuwa nyepesi kwenye uchumi lakini kuna awamu kadhaa mambo yanakuwa nafuu Kipindi cha kikwete kulikuwa na kampuni kibao, ajira watu wanachagua, mzunguko mkubwa wa pesa, n.k...
1 Reactions
1 Replies
209 Views
Bakita ndugu zangu jamiiforum ni jukwaa huru, so natoa maoni yangu. So kama itawezekana naomba myajibu kitaalamu kwa kutoa kufanya research ya neno sahihi mbadala wa Hallucinations kwa kiswahili...
1 Reactions
7 Replies
249 Views
Habari za Saizi wana jukwaa. Nimeleta mada hapa jukwaani nikiamini mamlaka husika wataona na kulishughulikia haraka. Ni zaidi za miezi kadhaa imepita dogo alinigusia habari kuwa alikuwa amelipa...
0 Reactions
1 Replies
623 Views
Hii kazi ina mshahara mdogo sana. Ni pesa ambayo bodaboda wanapata kwa wiki mbili au tatu. Acha tu, mungu wasaidie walimu wanaishi maisha ya ajabu sana, Kila mwaka madarasa yanajengwa ila huwez...
7 Reactions
12 Replies
764 Views
Back
Top Bottom