Habari wakuu...
Niende moja kwa moja,ni hivi nataka kuhamia MBEYA na lengo langu ni kuishi moja kati ya sehemu nilizotaja hapo juu,"TUKUYU ama KYELA.
LENGO KUU
Kuishi sehemu ambayo sitatumia...
Kuna changamoto ya miundombinu ya Barabara katika eneo la Igogo inayopita Soko la Wafanyabishara Wadogo la Mchafu Koga.
Changamoto hiyo inasababisha vyombo vya usafiri hasa Daladala kutopita...
Unyanyasaji wa Mtandaoni, unazidi kuwa tishio kubwa kwa watoto kila mahali duniani. Dalili zake mara nyingi hazionekani moja kwa moja, lakini zinaweza kufahamika iwapo kirahisi kama tu mzazi au...
Hapa ni soko mjini Kiwira, Mbeya. Watu wamepanga vitu mpaka barabarani! Hii ni barabara kuu na mpaka malori makubwa mengi yanapita hapa ya nchini na nje ya nchi hususan yale yanayoelekea Malawi...
Wakuu kwema humu!
Jamani naomba niende kwenye mada moja kwa moja nipo maeneo ya mji wa zanzibar, ninatarajia kukaa siku kadhaa huku sasa changamoto inshu ya malazi ipo juu sana, natafuta chumba...
Wakuu kwema?
Naomba kujua, Ni Maduka gani wanauza rangi za kurudisha muonekano wa nguo/suruali katika hali yake ya kawaida?
Dawa hizi kama sikosei zinalowekwa kwenye nguo kisha zinarudi katika...
Sio siri viwanda ambavyo kuna Wahindi kuna unyonyaji mkubwa sana. Nabaki kushangaa jinsi ambavyo hawa Wahindi kwanza ni wageni katika nchi yetu lakini wanawanyanyasa sana watz mishahara midogo...
:mad:Nimeipata Mtandaoni, yanitia ucungu na inazidi kuniondolea upendo nilionao kwa hawa waasia waliopo nchini. Nahoji vile vile kinga ya raia wenzetu huko nje. Wadau tafadhali nielewesheni...
Hivi karibuni kumekuwa na mlolongo wa matukio ya kunyanyaswa kibaguzi kwa wanafunzi wa kitanzania huko India. Ni mlolongo wa matukio ya kudhalilisha na ya kinyama kutoka kwa wahindi hawa. Mi...
Wakuu,
Kuna habari kuwa mwanafunzi Mtanzania kakutwa amefariki Bangalore India.Habari zinasema huyo kijana kakutwa amechinjwa na polisi wanaendelea na uchunguzi.
Kwa jina anatambulika kwa jina...
Naelekea airport. Nnimepanda basi la Tandika
Yaan kuna matraffick kila kituo na wengine wana nyota zao
Ajabu na kweli yaan basi zaidi ya 6 zimesimamishwa makonda wanasafwata wanawapa karataso...
Nitangaze interest zangu kwanza huwa Sina muda wa kwenda bar au vijiweni kuchapa stori na kutumia pesa, (tatizo ni muda kazi ni nyingi kuliko muda), so huwa napita pita mara moja moja hasa bar...
Salute wakuu,
Katika Hali isiyokuwa ya kawaida Jeshi la Polisi nchini kupitia ukurasa wao Rasmi wa X (zamani twitter) imem- block bwanaSativa mhanga wa kutekwa baada ya mhanga kuishitumu Polisi...
Mchungaji wa Kanisa la Gospel Revival Centel (GRC), Antony Lusekelo amehoji Matukio ya Watu kutekwa kutokana na kutoa maoni yao kuhusu Serikali na kueleza kuwa wanaofanya Vitendo hivyo wanatakiwa...
Hili ni moja ya majengo yanayomilikiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika zamani Mpanda DC yaliyopo Manispaa ya Mpanda, Jambo la ajabu jengo hili limetelekezwa kwa sababu mazingira yake...
Mzee Yusuph Sisala Chaula akiwa na mwanaye Shadrack Chaula
Kufuatia taarifa za kupotea katika mazingira yanayodaiwa ‘kutekwa’ kwa Shadrack Chaula ambaye ni Msanii wa Sanaa ya Uchoraji, baba mzazi...
Habri Wakuu,
Nimewahi kujiuliza swali kuhusu elimu za kiraia ambazo jeshi la polisi huwa linatoa huwa ni finyu sana.
Hakuna vipindi vya TV ama majarida yanayotoa elimu kwa Raia kuhusu haki zao...
Wizara ya utumishi wa umma imetuma waraka unaotoa mwongozo wa mavazi kwa watumishi wote wa ofisi za umma na wananchi wote wanaohitaji huduma ktk ofs hizo.
Waraka huo namba 3 wa mwongozo wa mavazi...
Habari wana JF,
Katika uzoefu wangu na utafiti usio rasmi nimegundua watu wazima hasa wazee waliozeeka haswaaa, ni waoga wa kifo kuliko vijana.
Sisi vijana tunatake risk nyingi sana za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.