Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Elimu ya chuo kikuu ni muhimu lakini karama ya kuzalisha pesa ni muhimu zaidi. Average age ya kuhitimu ama kumaliza digrii ya kwanza Tanzania ni miaka 24. Vijana wengi waliohitimu chuo wana...
9 Reactions
58 Replies
3K Views
Ilikuwa ni Nissan Civilian number C inayopiga ruti za Mbezi Mlandizi... Jana asubuhi mitaa ya Kibada ndio ilihitimisha safari yake hapa duniani kwa ajali ya moto.. Ilikufa kwa maumivu na upweke...
21 Reactions
35 Replies
2K Views
Kuna watu ambao hakika ni sumu katika maisha yetu na wanatuua kidogo kidogo bila wenyewe kujua,wanaweza kuwa ni wazazi,ndugu zetu,waume na wake zetu,wafanyakazi wenzetu na watu ambao tunakutana...
6 Reactions
8 Replies
411 Views
Habari ,Binafsi sio mpenzi za sana wa hizi movie zilizo tafsiriwa ila kuna kitu kimoja nlikiona siku moja nlipoangalia movie moja ya lugha ya kiingereza ni kwamba Tafsiri haiendani na...
6 Reactions
176 Replies
10K Views
Mambo vipi? Kuna sehemu nimepanga ghetto room Moja vyumba vya nje ya nyumba kubwa ila Kuna uzio na nyumba kubwa wenyewe hawaishi wapo Tanga mjini ila uwa wanafikia wakija uku Bush Mimi nipo...
2 Reactions
17 Replies
806 Views
KUKOMBOLEWA KUTOKA KWENYE NGUVU ZA GIZA na Emmanuel ENI SEHEMU YA KWANZA (PART 1) Sura 1: Nilipotorokea kwenye "Maisha mapya" Hadithi yangu inaanza miaka 22 iliyopita katika kijiji kidogo...
9 Reactions
26 Replies
17K Views
Yaani natumia router ya airtel, na Voda kwa lengo lakuwa na internet ofisini lakini kuna muda mitandao yote tabu lele,leo siku nzima inasuasua tu , Nimeamua kutafuta pocket router ya Tigo ndio...
4 Reactions
12 Replies
487 Views
Kama una chuki na adui yako jitahidi chuki isizidi. Pindi chuki ikizidi inakupofusha kutoona uangamizo wako. Yann ya kumtilia adui yako sumu kwene kisima ambacho wewe mwenyewe ndo unatumia maji...
0 Reactions
5 Replies
261 Views
Kufuatia taarifa za kushikiliwa kwa Mwanaharakati Mdude Mpaluka Nyagali (kada wa Chadema) anayedaiwa kushikiliwa kwenye kituo cha Polisi Itumba Ileje, Wakili Boniface Mwambukusi kupitia ukurasa...
0 Reactions
1 Replies
161 Views
Zamani, wanaume walijulikana kama “watoa riziki” wa familia zao, na jukumu lao lilikuwa ni kuhakikisha kuna chakula mezani, ada za watoto zinalipwa, na familia inakuwa salama kifedha. Lakini siku...
0 Reactions
1 Replies
253 Views
Ikiwa zimebaki siku mbili tu kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Tanzania Bara, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imetoa taarifa kuwa Jumatano ya Novemba 27 ni siku ya kazi kama kawaida...
0 Reactions
11 Replies
701 Views
TANZANIA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUU WA SABA WA (7) WA JUMUIYA YA MAMLAKA ZA USIMAMIZI WA USAFIRI MAJINI AFRIKA Dodoma. Wizara ya Uchukuzi inautaarifu umma na wadau wa sekta ya usafiri majini...
0 Reactions
0 Replies
163 Views
Hili jengo limechoka sana na nashangaa serikali imekaa kimya kwasababu tumetoka kupata majanga wiki iliyopita nilitegemea Ili jengo lingebomolewa maana limechoka. Ndugu zangu siku ya Leo nikiwa...
22 Reactions
69 Replies
2K Views
Logos: Katika falsafa na theolojia: "Logos" ni neno la Kigiriki ambalo lina maana nyingi, lakini kwa kawaida linamaanisha "neno," "akili," au "mantiki." Katika Biblia: Inatumika kuelezea Yesu...
0 Reactions
0 Replies
313 Views
Wakati wa likizo ni fursa ya kipekee kwa mzazi au mlezi kujenga uhusiano bora na mtoto. Huu ni muda wa kumfundisha ujuzi muhimu kama vile usafi, kupika, kuogelea, au hata kutembelea maeneo ya...
3 Reactions
1 Replies
381 Views
Kufuatia kampeini ya 'Mtoto Vunja Ukimya' ambayo imefanyika katika Kata ya Manzese na Kwembe zilizopo wilaya ya Ubungo, Jijini Dar es salaam imebainishwa kuwa kesi takribani 860 za ukatili dhidi...
0 Reactions
17 Replies
473 Views
Jana nilikuwa sehemu kawe Baadae kukawa na sherehe jiranj Gafla wakapitisha kigodoroo nyimboo kama zotee Mda ukafika naelekea home aisee niuokutana nayoo n hatareee Yaan mabinti wadogoo...
1 Reactions
3 Replies
271 Views
Wakuu kwema Hizi mvua mvua zinazonyesha hapa Bariadi leo nimeshuhudia graduates anayeishi kwa dada yake akipewa maelekezo na shemeji yake (mme wake na dada yake), ahamishe trip nne za mchanga...
23 Reactions
85 Replies
3K Views
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaamm, Albert Chalamila, amesema kuwa Msemaji Mkuu wa Serikali atatoa taarifa rasmi kuhusu mwenendo wa zoezi la uokoaji katika eneo la Kariakoo, ambapo maafa yalitokea...
0 Reactions
0 Replies
221 Views
Back
Top Bottom