Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Mheshimiwa Rais Magufuli, Asalaam Alaikum (Salama na Amani iwe juu yako). Tunafahamu kuwa wewe ni Rais wa wanyonge na ni mpenda haki usiyependa yeyote adhulumiwe. Sisi Waislam, mkoloni Mjerumani...
43 Reactions
1K Replies
81K Views
Hapa nimeweka mfano wa mwenzi mmoja.interest rate na ya mwaka mzima kwa mtaji wa milion 10
1 Reactions
28 Replies
1K Views
Ni je?binadamu asipokula wala kunywa katika saa 72 anaweza kufa? Iwapo hawezi kufa,,,kwanini wataalamu wanasema baada ya hizo saa kinachofuatia ni kusafisha eneo la ajali. Kama ni hivyo...
5 Reactions
11 Replies
449 Views
"Asante mama" "mama anaupiga mwingi" "mama yupo kazini" "goli la mama" "mama" "mama" "mama". Ukiwasha TV "mama" Ukiwasha redio "mama" Ukifungua Instagram "mama" Ukifungua X "mama" Ukisoma gazeti...
3 Reactions
19 Replies
546 Views
Wadau najua wengi tunatumia sana Bodaboda,swali je unafahamuje kuwa boda boda niliyemchukua ni mharifu? Basi ungana na mimi kujua ni jinsi gani walivyo na endapo ukiona yupo hivi jua huyo ni...
2 Reactions
14 Replies
693 Views
Katika ukarasa wa X (Twitter) wa Zitto Kabwe ameripoti taarifa 👇 Jeshi la Polisi Wilaya ya Mkuranga limemzuia Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Ndugu Dorothy Semu kwenda kufanya Mkutano wa...
1 Reactions
2 Replies
184 Views
Binafsi sintosahau safari ambayo nilipofika, dakika tano baadae katoto ka miaka saba kanakuja kuniuliza, "eti unaondoka lini?" Msosi wa jioni ulikuwa wali wenye washawasha na chai yenye pilipili...
31 Reactions
578 Replies
53K Views
Wakuu habari By December nataka kuanza maisha Sinza au maeneo jirani na stand ya Mawasiliano ( sijui nayo hii kama ni Sinza). Nisiwachoshe sana, niende moja kwa moja kwenye point ya msingi...
3 Reactions
27 Replies
987 Views
Mimi ni mdau natokea Wilaya ya Meatu Mkoani Simiyu, naishi hapa makao makuu ya Wilaya, Mjini Mhanuzi. Sisi Wananchi wa makao makuu ya Wilaya hapa Meatu Mjini Mhanuzi, tunayo mashaka makubwa na...
0 Reactions
2 Replies
502 Views
Habari njema Matajiri Wawekezaji, Karibuni kwenye mfululizo wa masomo yetu ya programu ya NGUVU YA BUKU, ambapo tunajifunza na kufanya uwekezaji kwa hatua ndogo ndogo na kujenga utajiri kwa...
0 Reactions
1 Replies
819 Views
Baada ya kikao cha Wakuu wa Mamlaka za Mapato za Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki #EARACGs, mjini Nairobi, Kamishna Mkuu TRA Bw. Yusuph Mwenda ametembelea ubalozi wa Tanzania nchini...
0 Reactions
1 Replies
222 Views
Taasisi na Idara mbalimbali Mkoani Arusha zimeendelea kushirikiana na Jeshi la Polisi Mkoani humo katika kupambana na uhalifu ambapo Idara ya maji na Benki ya Crdb wametoa vifaa vya Tehama katika...
0 Reactions
4 Replies
220 Views
Tangu uhuru, Tanzania imekua na Viongozi wengi ambao si wajenzi wa taifa, ni wasuluhishaji wa MATATIZO ma mambo kisiasa na kuacha mianya kesho mwingine aje ale. Barabara zinajengwa hazimalizi...
2 Reactions
3 Replies
169 Views
Katika mkasa wa jengo la Kariakoo kuanguka nimewasikia watu wengi wanaotegemea watu kutolewa au ambao waliangukiwa na jengo wakiomba na kushukuru Mungu, Allah au Yesu katika mkasa huo mkasa. Kila...
27 Reactions
264 Replies
5K Views
Serikali imerejesha rasmi utaratibu wa Mikopo isiyo na riba ambayo ilikuwa inatolewa Kwa makundi maalumu kwa lengo la kuwainua Kiuchumi. Awali mikopo ilisitishwa baada ya maafisa wa Serikali...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu Leo Niko hapa kuongelea kuhusu natural death VIFO ambavyo binadamu tulipaswa tufe ni kutokana na kuuzeeka au magonjwa Ila aina zingine za Vifo zinaletwa na ujuaji wetu Ujanja...
9 Reactions
29 Replies
700 Views
Mwanaume unawezaje kujenga kwa mkeo yaani kujenga nyumba nyumbani kwa mkeo wakati kwenu kunavuja? Unawezaje kuhudumia familia ya mkeo wakati wewe familia yako hakuna wakuhudumia? Unawezaje...
2 Reactions
11 Replies
463 Views
Kumekuwa na changamoto ya kununua LUKU kupitia mitandao ya simu. Ukinunua hupati token na wenye mitandao wanajua kuna shida kwasababu ukiwapigia wanakiri. Lakini bado unakatwa pesa! Kwa nini...
1 Reactions
0 Replies
226 Views
Anonymous (26e8)
Uongozi wa chuo wajibikeni kwa hili au mamlaka husika wasaidieni watoto na wazazi walionza fika to wiki iliyoisha hakuna malazi kama vile mahali pa kupata chakula. Uongozi wa chuo wajibikeni au...
2 Reactions
13 Replies
435 Views
Kijana Ferdnand Ndikuriyo (27) maarufu kwa jina la Chuma Cha Chuma ambaye ni Raia wa Burundi, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam leo Novemba 05,2024...
1 Reactions
11 Replies
828 Views
Back
Top Bottom