Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Nilidhani wahaya wangefanyia tamasha hili mkoani kwao ili wapaone palivyochoka. Lakini wameamua kukaa Dar wakiangalia jiji linavyopendeza, huku makwao pakiwa choka mbaya. Ilikuwa ni fursa kwao...
18 Reactions
64 Replies
2K Views
Kwa nini wanga, wachawi na mizimu huwa kuonekana kwake ni usiku tu? Kila nikisikia stori za haya mambo ni mtu alikuwa amelala usiku, usiku watu walikuwa wanapaa na ungo ndio likatokea jambo...
0 Reactions
5 Replies
328 Views
Anonymous (40bd)
Mapato yanayopatikana kwenye malipo ya maji si yangeboresha upatikanaji wa maji, na kama inawezekana wafanye utafiti wa kuchimba visima vikuu vya kila wilaya kuliko kusubiri maji ya mto Ruvu maana...
0 Reactions
1 Replies
135 Views
Huwa nawatazama kwenye tv mmenawiri mnapendeza kweli. Mnaongelea masafa/frequency kila leo. Kuna ishu ya hawa wapigaji wa mitandao. Wapo wengi ila leo nitaongelea hawa wa mesejo za "ile hela tuma...
1 Reactions
3 Replies
182 Views
Anonymous (6f13)
Kelele za matangazo zimekuwa kero na zinaongezeka siku hadi siku katika maeneo ya makazi. Ubaya wa matangazo haya hayajari muda wa kupita. Asubuhi na mapema kuanzia saa kumi na moja na nusu...
1 Reactions
1 Replies
139 Views
Anonymous (3cb8)
Habari muda huu, natumaini nyote ni wazima wa afya, mimi ni mmoja kati ya maopareta vibarua katika bandari ya DSM ambapo kwa sasa ipo chini ya Dp World. Kiuhalisia tunapitia mazingira magumu ya...
0 Reactions
1 Replies
158 Views
Anonymous (e750)
Kwa kipindi hiki cha miezi miwili iliyopita usafiri wa meli umekuwa mgumu sana, mpaka sasa meli hiyo haifanyi kazi imesimama pale Nyamisati na raia tunapata sana shida ya usafiri mpaka...
0 Reactions
4 Replies
178 Views
Anonymous (393d)
Naomba Serikali isiendelee kufumba macho na kushindwa kutatua tatizo hili ambalo linaweza kupelekea vifo huko mbele. Mtaa wa La Leo kuna barabara ambayo Ina sehemu ya kuvuka kwenda Tandika...
0 Reactions
1 Replies
151 Views
Ajira uwapa watu pesa ya kula Kujenga mtu mpaka akope Ajira iko well calculated ili kuua akili ya waajiriwa wasiwaze nje ya box Ukitaka kujua ajira utapeli mtu anayelipwa 1.2 million per month...
1 Reactions
1 Replies
142 Views
Anonymous (bcd5)
UTARATIBU MBOVU WA UREJESHAJI ADA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM: Nilifanya application ya kusoma evening program chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) college ya Journalism and Mass communication...
0 Reactions
1 Replies
250 Views
Mmoja wa wachangiaji katika Kongamano la Katiba lilioendeshwa na Jukwaa la Katiba Tanzania (JUKATA) mwishoni mwa wiki mkoani Katavi amedai: "Kama katiba inatambua umri wa mtu kuoa na kuolewa...
0 Reactions
1 Replies
241 Views
Sasa yatosha, majirani zetu wanateseka sana. Ni wakati sasa jeshi letu pendwa (JWTZ) kwenda kufanya operation nyakua nyakua kutokomeza waasi wote na kuiacha DRC salama. Ikumbukwe kuwa kwa...
1 Reactions
4 Replies
270 Views
Sasa hivi vijana wa vijini wanahamia Wilayani na mikoani kwenda kufanya uchuuzi. Vijana wa Wilayani na mikoani wanahamia Dar es salaam. Kijana hata elimu ya kidato cha nne hana, cheti cha ufundi...
3 Reactions
9 Replies
274 Views
Mzabuni wa bei nafuu alitenda Dola 263 Wakamchukua wa Dola 478. Kwa Hali hii Masanja anapendwa kuwa Ofisini Kwa Ajili ya nini? Hawa wezi wasiishie kufutwa kazi tuu Bali wafikishwe Mahakama...
4 Reactions
93 Replies
6K Views
Leo nimeona kiumbe ambaye kanshangaza Au mnamjua wakuu👇👇
1 Reactions
0 Replies
195 Views
Muda huu usiku wa saa tisa nasikia huko nje kunguru wanalia na wamepita kama wanaelekea sehemu. Je kuna disaster yeyote au hali hii inaashiria nini?
3 Reactions
23 Replies
784 Views
Kuna mahala unaweza kwenda kuishi / kukaa siku kadhaa kufanya mambo yako / kusalimia , kuchill, n.k. ila ghafla ukajistukia uwepo wapo unavumilika tu, hawana time na wewe, n.k. Kisa cha kwanza...
3 Reactions
2 Replies
194 Views
Binadamu ni kiumbe cha ajabu, hata ufanye nini huwezi kuwaridhisha. Jambo muhimu ni kuwa na stahmala, kuvumilia jinsi unavyoshambuliwa, kupingwa, kukosolewa au kutukanwa kwa jambo ulilofanya...
1 Reactions
2 Replies
170 Views
Utandawazi tunauvulia nguo na kuuoga kisawasawa bila kuzingatia misingi. Leo hii wananchi wengi wanapendezwa,kuhamasishwa,kutamani utajiri pamoja na matajiri hasa kwenye mali za kujionesha na...
3 Reactions
1 Replies
207 Views
Wanajamvi habarini za asbh na polen na harakat za kupambana na umaskini. Kwa heshima na unyenyekevu mkubwa nimekuja kwenu wataalamu wa kunzisha NGO zisizo zalisha faida lkn zenye tija kwa jamii...
0 Reactions
3 Replies
175 Views
Back
Top Bottom