Sekretarieti ya ajira imetoa majina ya afya ya USAILI wa kuandika, ila cha kusikitisha ni kwamba usaili wa kuandika unafanyika mkoani unapoishi ila usaili wa mdomo unaenda kule ulipoombea kazi...
Katika nchi hii kuna watu hujui wanapambana na nini.
Usidanganywe na jinsi baadhi ya wasichana wanavyojipiga picha na kupost makalio yao kwenye mitandao ya kijamii. Wengi wao huwa wamevunjika...
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan yuko tayari kuendelea kushirikiana na viongozi wa dini kwa...
Nilituma pesa tangu juzi saa mbili jioni, lakini cha kushangaza sms ya malipo kwangu haikuja na wala kwa niliyemtumia pesa haikumfikia pia. Wakati huo huo huku salio langu linaoneshwa nimekatwa...
Dhambi ni Nini
Dhambi ni tendo, hisia, au wazo lolote linalopingana na viwango vya Mungu. Inatia ndani kuvunja sheria za Mungu kwa kutenda mabaya, au ukosefu wa uadilifu, kwa maoni ya Mungu...
Habari wana jambi.
Mimi mfichua maovu naomba kuwaa taarifu wa Tanzania wote na wadau wa Sanaa kuwa Hii kampuni inayoitwa Kismaty media yenye maskani yake ARUSHA mtaa wa Sakina ambayo mkurugenzi...
Kiongozi huyo mwenye miaka 85 yuko hoi sana kitandani na muda wowote anaweza kuaga dunia. Kwa sasa anayetarajia kupokea kijiti ni mtoto wake au mwingine atakayechaguliwa.
Taarifa hizi zimekuja...
[/B]
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kushoto), akipokea tuzo ya 'Benki Bora Tanzania' kutoka kwa Joseph Giarraputo, Mwanzilishi na Mhariri Mkuu wa Global Finance, katika...
Wakati utekelezaji wa mradi wa Bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) ukiendelea katika hatua mbalimbali, lakini wanaharakati pamoja na baadhi wananchi wanaonekana kuendelea kukosoa...
Familia yako ukiijali na kuipa kipaumbele ni baraka ,na jambo jema.Kuna baadhi ya wazazi hutelekeza familia zao na kutozipatia matunzo na malezi.
Wengine hubagua watoto na kuwatelekeza watoto...
Peps imegeuka soda ya hovyo ladha mbovu mdomoni chumvi km sio chumvi,kidonge km sio kidonge
peps wamepatwa nn au wanatumia maji ya bahari kujaza kwenye chupa
Habari za Muda huu wanaJF,
Kuna kitu napenda kufahamu kuhusu UCHAWI WA MONDESTA. Origin yake niwapi na pia unatumia majini ya chuma ulete au?
Nauliza hivyo maana huku mtaani kwetu asilimia 70 ya...
Njooni mbishe kama ni uongo.Mwanaume ni kiumbe wa ajabu sana.Anapoona jinsia ya kike iwe ni picha au mwanamke halisi ambaye ni mrembo ataishia kumsifia na kumtamani bila hata kijiuliza background...
Mwili wa mwanafunzi Yulia Samson Difrata, mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Chigela, umeondolewa eneo la ajali, katika Kijiji cha Tabu Hotel, Kitongoji cha Stendi, wilayani...
THE MOST DOMINATING TRIBES IN EACH AFRICAN COUNTRY
1. Algeria [emoji1026] - Arab-Berber (primarily Arab)
2. Angola [emoji1029] - Ovimbundu
3. Benin [emoji1047] - Fon
4. Botswana [emoji1052] -...
Kwa msioifahamu Paypal n huduma ya kutuma na kupokea hela kutoka nchi moja hadi nyingine!
HQ yake iko US!
Afrika hii huduma iko nchi 12 ambazo ni
1. Algeria,
2. Botswana,
3. Egypt,
4. Kenya,
5...
Ilianza Stendi ya Dodoma na Sasa ni Soko la Ndugai limegeuka kuwa makazi ya popo baada ya wafanyabiashara kulitelekeza Kwa sababu hakuna biashara eneo lilopojengwa.
Nawakumbisha tuu huu...
Naona azam TV wana fursa pale kwenye behewa za sgr kuliko kila siku watu kuangalia ile royal tour kila siku ambayo imekaa kisiasa zaidi zile behewa zingechapwa azam tv tuu shughuri iishe.
Unapiga namba unaambiwa inatumika
Unarudia namba hiyo hiyo kupiga unaambiwa haipatikani
Unapiga tena mara ya tatu simu inapatikana lakini haipokelewi
Unapiga kwa mara ya mwisho unampata mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.