Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Wakuu, nina umwa sana wapendwa. Ninasumbuliwa na uric acid. magoti yako hoi. Nilitaka kuandika wosia,kwa ajili ya mali zangu kidogo nilizo nazo. Mashoga zangu kama sio mashosti zangu wame nionya...
14 Reactions
133 Replies
11K Views
Nimeona kuna movements za ku boycott / kugomea bidhaa zenye uhusiano na Israel, nimepata wazo nije kuwasapoti wadau kwenye huu mgomo kwa kuwashauri muweke mkazo zaidi kukaa mbali kwenye simu na...
3 Reactions
44 Replies
994 Views
Huu ni mstari mrefu wa watu 8000 vijana wa Kenya waliojitokeza kwenye usaili wa kwenda kufanya kazi nchi ya Qatar
3 Reactions
37 Replies
861 Views
Kum-radhi kama bandiko langu litakuwa na maana/maudhui ya tofauti na kuhitaji kufahamishwa na kuelimishwa. Ni mimi wako UWESUTANZANIA. Katika jamii nyingi na maeneo tofauti tofauti hapa...
0 Reactions
0 Replies
210 Views
Nilisema ndoto ina definition tofauti. Moja kati ya definition za ndoto ( my personal definition) ni : 👇 Ndoto ni ' kioo cha kiroho' kinacho tumika kukuonyesha wewe ni nani katika ulimwengu wa...
1 Reactions
0 Replies
451 Views
Wakuu habari, poleni na majukumu ya hapa na pale. Umepewa 5,000,000 na umeambiwa uchague kuanzisha kati ya biashara zifuatazo. Uuzaji wa chuma za aluminums na vifaa vyake Duka la simu na...
2 Reactions
27 Replies
6K Views
Sote ni mashuhuda wa jinsi teknolojia ya computer inavyozidi kuboreshwa kwenye simu za kiasasa smartphones, vitu kibao ambavyo zamani vilitulazimu kuvifanya kwenye desktop au laptop siku hizi...
2 Reactions
7 Replies
901 Views
Habari zenu wakuu,kama ilivyo kawaida JamiiForums ni home of great thinkers,naamini kwa hiki nitakacho kiandika hakito mkwaza mtu na hata mtu aki comment kitu itakuwa imenisaidia kwa namna moja...
2 Reactions
10 Replies
273 Views
1. Akaunti ambayo itatumika kulipia bills. Hii akaunti mnakubaliana muwe mnaweka kiasi gani kwa mwezi kila mmoja. 2. Saving akaunti. Hii ni ya pesa zenu za saving ambapo itatakiwa kusainiwa na...
6 Reactions
12 Replies
440 Views
N:B: Sina uhakika wa asilimia 100 kama niliuziwa chungwa lililoivishwa kikemikali ila kwa dokezo >> hili << nimepata wasiwasi Nipo Mbeya kwa wiki kadhaa, Nilikuja na mashine yangu ya kusagia...
4 Reactions
31 Replies
883 Views
Bahati mbaya kila mtu siku hizi ni Mchambuzi wa soka ndio maana mijadala imekuwa mingi kwenye vitu ambavyo viko wazi kabisa...Bao la Baleke sio Offside! Labda mjadala ingekuwa performance ya...
0 Reactions
0 Replies
146 Views
Anonymous (1393)
Habari, Halmashauri ya Mkalama kwa muda mrefu Barabara za mitaa hazijachongwa kwa baadhi ya maeneo na hii imepelekea kero hasa kwa wakazi Wa maeneo hayo hata kupata ugumu wa kupita na mizigo...
0 Reactions
0 Replies
113 Views
Imeelezwa kuwa program tumizi (Application) 55 zinazotumika kutoa mikopo mitandaoni hazitambuliki na Benki Kuu ya Tanzania (BoT). Hayo yameelezwa na Afisa Mkuu Mwandamizi wa BoT, Deogratius...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Jeshi la Polisi mkoani Kagera limemkamata na kumfikisha mahakamani Haruna Ayubu Rubai (63), Mwalimu wa dini ya Kiislamu na Daktari wa viungo anayemiliki kituo chake cha mazoezi ya viungo Bukoba...
9 Reactions
70 Replies
2K Views
Katika Uzi huu tujadili printer nzuri za kuprint kwa level za stationery mpaka viwanda vidogo Vidogo au kampuni za kufanya printing. Tujadili na kuuliza maswali kuhusu aina ya printer, ubora ...
0 Reactions
0 Replies
338 Views
Habari Wana JF, juzi usiku kwenye saa moja hivi niliona kitu Kama NYOTA zimejipanga mstari zikawa zinasogea alafu zikapotea, nikawa najiuliza maswali ni nini hiko bila majibu.
3 Reactions
25 Replies
656 Views
TV Imaan inarusha vipindi vya kuelimisha jamii. Ingefaa itengewe fungu kila mwaka kwa ajili ya kutanua wigo wa Matangazo yake duniani.
7 Reactions
21 Replies
1K Views
Huyu kaka ni mtu mpole mcha mungu na mtu wa watu hana makuu hana baya na mtu, mtu wa tabasamu lisiloisha tena kutoka moyoni hana chembe ya unafiki na Mungu kambariki hekima kamwongezea na vingine
4 Reactions
27 Replies
1K Views
Zoezi la kujiandikisha limeishia Sasa ni mwendo wa kuhakiki taarifa zako kama ziko sawa. Leo ndugu zangu nimekuja na jambo hili kutoka Kwa hawa watumishi wa Dampo kuu Jiji la Mbeya lililopo kata...
5 Reactions
28 Replies
1K Views
Game lazima ichezwe!
0 Reactions
0 Replies
91 Views
Back
Top Bottom