Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Hizi adhabu za viboko zipigwe marufuku kabisa! Haiingii akilini mwalimu kupiga watoto namna hii kama anapiga mbwa koko. Kama hamna uvumilivu achaneni na kazi hii badala ya kuumiza watoto wetu...
3 Reactions
27 Replies
347 Views
Habari , Nimepata taarifa kuwa, T.RA inawatangazia Watu kuwa Kuna mfumo mpya unatakiwa kuanza matumizi mwezi February 2025, Mfumo huu unampa access ya Moja Kwa Moja mteja mwenye tin namba kuweza...
0 Reactions
23 Replies
1K Views
Kama hamkuwa mmejipanga bora mngeacha kwanza Siku 3 server ipo chini Siku 2 mtu hawezi kupokea OTP Mmeleta kero sana
2 Reactions
12 Replies
785 Views
WAZIRI MHAGAMA AAGIZA VITUO VYA AFYA VISIVYOFUATA SHERIA KUSHUGHULIKIWA Waziri wa Afya, Jenista Mhagama ameitaka Bodi ya 11 ya Ushauri ya Hospitali Binafsi kuhakikisha vituo vinavyoomba usajili...
0 Reactions
1 Replies
73 Views
Elimu ni ufunguo wa maisha, Elimu ni bahari, Elimu ni nguvu. Elimu ina nguvu na uwezo mkubwa sa a wa kubadilisha maisha ya watu. Lakini pia sii kila msomi au mtu mwenye elimu kubwa ana mafanikio...
3 Reactions
24 Replies
5K Views
Habari Wakuu, Safari City ni mradi wa Satellite City uliobuniwa na NHC mwaka 2016 ni miaka 10 imepita bila mradi kuendelezwa ukienda sasa hivi unakutana na mapori, barabara zimefunikwa na nyasi...
3 Reactions
3 Replies
98 Views
Yafuatayo yatakuwa matukio ya kiastronomia mwaka huu 2025
2 Reactions
6 Replies
206 Views
Jamani jamani jamani pale mahali paoneni hivi hivi, pana vibweka pale mwanzo mwisho, na Kama kuna viumbe wana visa vibaya marehemu wanaongoza Kama mtu alikuwa malaya kwenye uhai wake hata akifa...
43 Reactions
461 Replies
107K Views
Rais wa chama cha wanasheria Tanganyika (TLS), Wakili Boniface Mwabukusi akiwa katika kampeni ya samia Legal Aid inayoendelea mkoani Arusha hapo jana tarehe 05/03/2025 amesema kuwa mahakama...
0 Reactions
0 Replies
56 Views
Upotoshaji hufanyika kwa njia nyingi ikiwemo kusambazwa kwa jumbe zinazodaiwa kuwa ni zawadi zinazotolewa na Mashirika ya kimataifa kama vile UNICEF na mengine. Ukutanapo na taarifa za aina hii...
1 Reactions
1 Replies
358 Views
Kuna wakati nilikuwa naona makomando wanaambatana na Mbowe japo sikuwa na uhakika kama ni makomando maana upepo ukivuma walikuwa wanatikisika kirahisi. Swali! Je, walikimbilia wapi?
0 Reactions
2 Replies
142 Views
Rais wa chama cha wanasheria Tanganyika (TLS), Wakili Boniface Mwabukusi akiwa katika kampeni ya samia Legal Aid inayoendelea mkoani Arusha hapo jana tarehe 05/03/2025 alisema kuwa kuna umuhimu...
0 Reactions
0 Replies
49 Views
Rejea kichwa cha mada hapo juu. Nawakumbusha wale wote walioenda kupaka majivu jana na jana walianza mfungo ila leo wanaendeleza yaleyale ya hapo kabla na wanasema wamefunga mfungo wa Kwarezima...
4 Reactions
9 Replies
126 Views
Waafrika wengi hasa watanzania wamekuwa wakiamini kwa muda mrefu kwamba kuna utajiri wa kishetani, kichawi na kishirikina. Cha kushangaza hali zao za kiuchumi ziko vilevile miaka nenda rudi. Kama...
33 Reactions
470 Replies
9K Views
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mheshimiwa Dkt. Stergomena Tax (Mb), tarehe 05 Machi, 2025, ameshiriki kikao cha Dharura cha Mawaziri wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya...
1 Reactions
0 Replies
43 Views
Watu wengi hasa wasiokuwa na ajira wameshindwa kutoka ndani na kujaribu kufanya baadhi ya shughuli za kujiingizia kipato kwa kuwaza kuwa “watamuonaje” Ukijaribu kuangalia kuna vitu vingi vya...
38 Reactions
94 Replies
1K Views
Hahahahaa NIMEIPENDA SANA hii dini Nasikilizia channel ten mambo yetu ya kufungaaa ANASEMA sheikh wangu kama ikitokea una hamu yoyote na mkeo KIPINDI hiki cha mfungo Ikitokea ukampitia mchana...
3 Reactions
4 Replies
147 Views
Back
Top Bottom