Ni Mwendo wa takribani kilomita 16 nilipoianza safari mimi na abiria wenzangu kutoka mjini Mwanza kwenda Igombe, Kata ya Bugogwa, iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela, mkoani Mwanza...
Hawa waandishi wakiomba interview na wewe inabidi uwe umejipanga.
Stephen John Sackur [ BBC Hardtalk ]
Edwin Odemba [ Star Tv Medani za Siasa ]
Mehdi Raza Hasan [Aljazeera Head to Head ]
Maendeleo ya kasi ya kiuchumi na kijamii ya China, yamekuwa ni mambo yanayojadiliwa kwa kina na wasomi wengi duniani, ikiwa ni pamoja na wale wa nchi za Afrika. Moja kati ya mambo ya msingi...
Umuofia kwenu! Kwa hapa Tanzania ni benki gani ambayo ina huduma nzuri kwa wateja wake kuanzia kwenye branch zao mpaka online. Benki isiyosumbua wateja kwa huduma na makato ya hovyo hovyo mpaka...
Hello! It's lennie here ,
Stand with amal ni complain iliyoanzishwa na kiredio huko Instagram kwaajili ya kupata 100 million zitakazotumika kumtibia mtoto amali nchini India,
Mtoto amal...
Serikali itaendelea kutengeneza Mazingira
Akishiriki Mkutano wa 14 wa Chama cha Mawasiliano cha Afrika Mashariki (EACA), Msemaji Mkuu wa Serikali, Thobias Makoba amesema Serikali itaendelea...
kamati ya bunge imebainisha vitendo vya uvunjifu wa haki za binadamu vinavyofanywa na na walinzi wa malonje na kua vitendo hivyo vinatokana na miongozo kutoka kwa wamiliki wa shamba hilo, amesema...
Kwa muda mrefu sasa ushirikiano kati ya China na Afrika ulijikta kwenye ushirikiano kati ya pande mbili, yaani ushirikiano kati ya China na nchi moja moja ya Afrika, uliojikita kwenye mahusiano...
Wakati mkutano wa baraza la ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) unafanyika mjini Beijing, wataalamu na wachambuzi wa mambo ya ushirikiano wamekuwa wakifanya mapitio ya baadhi ya miradi...
Jaji Frank Mahimbali wa Mahakama Kuu kanda ya Sumbawanga, ametumia msemo wa sasa wa mashabiki wa timu ya Simba wa ‘Ubaya Ubwela’ kufananisha sakata la watoto wawili wa familia moja wanaogombea...
Imebainika baadhi ya taasisi private zimeanza kutoa vitisho kwa vijana waliochaguliwa kwenda kufanya usahili katika kada mbalimbali za afya maboss hao wameanza kuwatisha vijana kuwa wakifanya...
NVIDIA GB200 NVL72 ni mfumo wa kiwango cha juu unaounganisha CPU 36 za Grace na GPU 72 za Blackwell katika muundo wa rack-scale. Mfumo huu ni wa kupozea kwa kioevu na unajivunia kuwa na NVLink...
Wakati wa Mkapa Nakumbuka PASCAL MAYALLA alianzisha Kipindi Cha KITIMOTO ambapo watendaji kadhaa na viongozi wa serikali walihojiwa kuhusiana na mambo mbali mbali sasa tunaelekea katika uchaguzi...
Muafrika si rahisi kumkuta rodi kavaa kichupi lakini kwa mzungu ni simple
Ni simple kwa wazungu kumkuta baba kavaliwa kichupi na mwanawe wa like mbele yake fresh tu kitu ambacho kigumu kwa...
Wadau hamjamboni nyote?
Amka na kanuni hii ya Imani ukielekea Kutafuta riziki yako siku ya leo
Tumsifu Yesu Kristo
Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi, Muumba wambingu na dunia; na kwa Yesu...
Wakubwa
Nimeamua kuvunja utaratibu wa JF yetu kwa kuleta kitu kigeni kabisa ktk forums yetu.
Ni hivi nategemea kufunga ndoa desemba mwaka huu ambapo pamoja na ubazazi wangu nimekwama kwa binti...
Muigizaji maarufu Anorld Swazenegger akiwa katika picha ya pamoja na stunt man wake. Stunt ni mtu mwenye ufanano anaecheza vipengele hatari kwa niaba ya mhusika mkuu
Hawa ma stunt ni watu wenye...
Si jina geni kwa kila mmoja wetu hapa jamvini.tumeshavijadili sana hivi viumbe visivyoonekana
Kuna hawa viumbe majini ambao huwaingia watu mara nyingi ikiwa wanawake na kuanza ukorofi mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.