Watu wamekua na Tamaa sana, na Roho ya utapeli, usimuone mtu kama ni Muislamu/Mkristo ukajua moyo wake ni safi na atakua mkweli kwa kila jambo.
Dunia ya sasa watu wamekua sio waaminifu na...
Tangia nizaliwe ' hakyanani ' sijawahi kusikia ' Jogoo ' akiwika / wakiwika mida hii ya Saa Sita ( 6 ) za usiku kama huu ila nashangaa muda huu naandika huu ' uzi ' huko nje nyumba ya Jirani '...
Walengwa hapa ni JWTZ, POLISI, JKT, Magereza na Zimamoto!
Wengi wa askari wenye vitambi ni "mabosi'
Vitambi kwa askari wa vyeo vya juu vina manufaa gani kwao na kwa Taifa?
Wanajua kuwa hivyo...
Nimepitia udhalilishaji wa kimtandao naomba kupata utaratibu nifanyeje tafadhali.
Wamenidhalilisha vibaya mno wameniundia mpaka group, wameadd ndugu zangu na marafiki wakidai ni tapeli nimekaidi...
Naomba niwasilishe changamoto zetu kwa mamlaka husika kupitia nyie ili tupate ufafanuzi wa kulipwa gharama tunazowadai chuo.
Wanafunzi wa Chuo cha Udaktari St. Francis (Morogoro, Ifakara)...
Jamani nina muda sasa sijaangalia cinema kwani DVD machine yangu imehalibika na sijui nani ameihaiharibu nyumbani kwangu tunaishi watatu tu Mimi,mke wangu(tunaondoka pamoja asubui nakurudi wote...
Wakati Fulani miaka kadhaa iliyopita,wakati ambao hata mimi nilikuwa sijazaliwa lilipitishwa Azimio la Arusha.Hii ilikuwa juhudi mojawapo ya Rais wa wakati huo Marehemu Baba wa Taifa kujaribu...
Kila siku tunalia hali ngumu ya uchumi,mara vigogo wanaiba fedha ya nchi yet tunawafahamu hata kwa majina mmojammoja lakini najiuliza inakuwaje wakati wa uchaguzi tunawachagua hao hao tunaowaoita...
The Apprenticeâ TV Series Goes African; Candidate Auditions Slated for
November 29-30 in Washington, D.C.
Africans ex-patriots living in the U.S. and Africans (in Africa) will
compete...
Aisee watu wanachekesha sana,ati mtu aenda kutoa msaada mahali mpaka aite msululu wa vyombo vya habari,hivi kweli wana nian ya dhati hawa au ndo wanatafuta umaarufu?.Kwani ukitoa kimyakimya Mungu...
Taarifa hii naona mtuhumiwa hajasema kweli. SOMA
Kichanga chaokolewa baada ya kutumbukia chooni, chaitwa Bahati
Na Festo Polea
MTOTO mchanga, mwenye umri wa siku saba hadi jana usiku...
WANANCHI katika Kijiji cha Nyankende, wilayani Kahama, wamelishambulia gari la polisi kwa kulipiga mawe, kisha kumuua mtuhumiwa wa unyang'anyi wa kutumia silaha.
Wananchi hao walianza...
RRONDO na MSHANA JR NA EXTROVET na nyinyi mchangie huu uzi pamoja na wana JF wengine ambao ni wajuzi karibuni.
Nataka kujua kati ya Fuso na Coaster ni ipi inaingiza pesa nyingi nataka ninunue...
Kutoka gazeti la Nipashe
Serikali ya kijiji Nyankumbu yavuliwa uongozi
2007-10-13 08:37:59
Na Renatus Masuguliko, PST Geita
Uongozi wa Serikali ya Kijiji cha Nyankumbu, Wilaya ya Geita...
Kama ulidhani ulielewa somo la fraction au decimal jitafakari
Kuna robo ta robo
Watu wa mikoani huwa wanashangaa watu wa mjini kula miguu,utumbo na vichwa vya kuku,ule sio umasikini bali ni...
Kosa langu ilikuwa ni kupita dirishani kuingia bwenini kutoa jembe langu nililokuwa nimetunza chini ya kitanda changu
Adhabu niliyopewa nikiwa darasa ka saba na miaka 13
1. Kulima shamba la miti...
Mimi simjui huyu mtu ila mpaka media zinamwita kufanya naye mazungumzo bila shaka ni mtu maarufu katika jamii.
Anatoa uongo kwa manufaa ya nani?
Ni kweli sasa bodaboda wamekuwa wengi sana...
Wakuu habari.
Mungu wangu awatie nguvu na moyo wa mapambano awajalie neema na baraka.
Naomba kujua
Chumvi inahusika vipi kutibu tatizo la tumbo.
Jirani yangu(mpangaji mwenzangu) dada wa umri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.