Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Rorya. Watoto wanne kati ya sita waliofariki dunia baada ya kuzama na kunasa kwenye tope katika bwawa la skimu ya umwagiliaji, Kijiji cha Ochuna wilayani Rorya, Mkoa wa Mara, wamezikwa kwenye eneo...
0 Reactions
2 Replies
424 Views
Nimetafakali sana hi kitu sijui Kwa Nini ilikuwa hivi Yani wote walio taka kugombea uraisi kupitia tiketi ya ccm mwaka 2015 ilikuwa hakuna namna lazima tupate Raisi ambaye angefia madarakani...
8 Reactions
3 Replies
415 Views
Hatimaye mkandarasi atakayejenga Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi Tegeta Nyuki - Maktaba aweka Bango la Mradi maeneo ya Kibo Complex Hapa simung'unyi Maneno Mama ameupiga mwingi sana tena MNO...
14 Reactions
60 Replies
4K Views
Kwamfano ikitoa mchungaji au kiongozi yeyote au mfuasi kapga tukio baya kwelikweli au lakitapeli basi magoli yatahamisha kwadini hadi ambayo haijahusika na kadhia hyo ambao n Uislam na utaskia...
6 Reactions
38 Replies
580 Views
Likizo moja mwaka 2021 nilienda kula X mas ujombani,nikakuta mganga maarufu hapo kijijini amekwenda kituo cha polisi kuripoti juwa ameibiwa TV yake 2.Kuna familia moja naifahamu haba yao ni...
9 Reactions
19 Replies
1K Views
1. WAHAYA - Ngoma zao nazielewa sana vile wanavyo tumia miguu kusigina na kutumia viuno na mikono, ni ngoma inayochezesha mwili mzima. 2. WAZARAMO - Napenda zaidi vyombo vya wapiga ngoma, ni vibe...
0 Reactions
2 Replies
211 Views
Kuna video moja inayohusu nchi ya mbali kabisa ya Tataipa. Huko kulikuwa na waziri aliekuwa anapitisha sheria kuhusu mambo ya jela, alipitisha sheria ngumu sana lakini sheria moja ni wafungwa...
2 Reactions
6 Replies
273 Views
Dunia ni uumbaji unao ishi na kupumua, uliozungukwa na nguvu zisizoonekana, nguvu hizo ndizo zinaifanya dunia iendelee kuishi, na kuruhusu uhai na kuifanya iendelee kua hivi tunavyoiona kwa...
6 Reactions
9 Replies
720 Views
Bungeni umesikia kauli ya spika kuhusu hafahamu lolote wala hakuna utekaji kuwa hupo tanzania. hii kauli yake nayo inakuwa sawa na raisi kusema ni drama. huku jeshi la polisi matukio mengi ya...
3 Reactions
5 Replies
464 Views
Wadau, Mwenye softcopy ya mwongozo wa utendaji kazi katika jeshi la polisi (Police General Order) naomba anisaidie kuiweka hapa au anitumie kwenye email theweeknd9911@gmail.com Asante. ====...
2 Reactions
126 Replies
52K Views
Huko Mexico Kuna mchungaji mmja wa Kanisa la Kilokole ameingiza Mamilioni ya pesa Kwa mauzo ya viwanja vya Kanisa lake vilivyopo Mbinguni. Bwana huyo amedai Alipewa Kibali na Mungu kufanya mauzo...
14 Reactions
44 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, Freeman Mbowe, leo Agosti 28, 2024 amefika Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam ili kusikiliza shauri linalowakabili viongozi wawili wa Baraza...
2 Reactions
4 Replies
278 Views
Habari wakuu, Kuna watu humu wanasema wao ni introverts, kwamba wao wanapenda kujitenga, wanatafakari sana. Ukirejea katika facts kuhusu introverts -ni wagunduzi wazuri sana na wanasayansi wengi...
3 Reactions
28 Replies
3K Views
Imeandaliwa na kuandikwa na Dokta Dotto Aliko 🗣️Tuna macho mawili ambayo Ni macho ya uongo fake eyes, lakini pia tuna jicho moja ambalo ndiyo jicho la kweli true eyes, Hivyo tuna macho matatu...
3 Reactions
6 Replies
627 Views
Wananchi katika Kijiji cha Kigogwe, Kata ya Munzeze wilayani Buhigwe mkoani Kigoma, wameandamana kupinga mradi wa ujenzi wa daraja la kubembea, unaojengwa katika Mto Rwiche kijijini hapo, wakidai...
0 Reactions
2 Replies
640 Views
Nimesikitishwa na jinsi maiti zilivyokutwa kwa mganga wa kienyeji kule Singida. Hii ni moja ya matokeo ya tamaa kali za mali hasa kwa vijana wa siku hizi wakisukumwa kauli mbiu za kipumbavu...
1 Reactions
1 Replies
266 Views
Agosti 26, 2024 Jeshi la Polisi lilitoa mendelezo wa uchunguzi na mahojiano yaliyofanywa dhidi ya watuhumiwa watatu waliobainika kumuua Samwaja Sifael Said kwa kumnyonga hadi kupoteza uhai kisha...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kila siku najiuliza waislamu weanafindishwa nini kuhusu maosha ya dunia, wengi na matajiri wakutupwa ila huwezi kuwagundua kimuonekano kitabia hata kwenye sehemu ibaada zao, akichelewa unakuta...
10 Reactions
103 Replies
3K Views
Ni kwa yale maeneo ambayo huwa mmezoea kupata mvua mara mbili kwa mwaka mikoa ya pwani ya mashariki, pwani ya kusini, kaskazini na kanda ya ziwa hali ipoje TMA majuzi walitabiri mwaka huu...
4 Reactions
6 Replies
508 Views
Back
Top Bottom