Waziri Dr Doroth Gwajima Kuna jambo linatusumbua, tumejitahidi kupiga kelele na hata kwenda kwenye Ofisi za serikali lakini hakuna msaada. Ninaamini wewe unaweza kutusaidia kuhusu hili jambo...
Habari wakuu. Ni matumaini kila mmoja ako buheri wa afya.
Ninahitaji msaada wapendwa, naona hali inakuwa mbaya as days go.
Scenario: Mara nyingi lakini sio zote, nikipigiwa simu nikiwa niko nayo...
A Tanzania national arrested at Bole Airport with 1.34 KG of cocaine on 18/04/2024 at 19:40 at Transit lounge At Bole International Airport In Addis Ababa Ethiopia Police have arrested a...
Kama serikali mmelifunga ziwa victoria kwa uvuvi haram na mkisubkri wazaliane tena basi siku mkilifungua hilo ziwa ni heri muwape tenda kampuni kubwa zenye vifaaa na meli za kisasa ondoeni hao...
Wakulima wa Kijiji cha Luganga Kata ya Ilolo Mpya Halmashauri ya Wilaya ya Iringa wameilalamikia serikali kwa kushindwa kuwaondoa wanyama pori, Viboko na Tembo ambao wanaingia katika eneo la mazao...
Habari ndugu zangu naomba ufafanuzi na mwenye kuwa na uelewa wa kazi za Sales Representatives katika makampuni mbalimbali
Nimewahi kuona zikitangazwa kwa makampuni kama Tigo, Halotel, Airtel...
Kituo cha Skanska maeneo ya Barabara ya Bagamoyo kuanzia mtaa wa Mashimoni hadi kuelekea Mtongani, hali ya mazingira ni mbaya mno, na afya za wananchi ziko hatarini.
Mifumo ya maji ni mibovu...
Hatimaye Kampuni ya State Oil Tanzania Limited imekubali yaishe mahakamani kuhusu malipo ya mkopo wa Dola 18.64 milioni za Marekani (Sh47 bilioni) za Benki za Equity, Equity Bank Tanzania Limited...
Mke wangu ana changamoto ya kutofautiana majina kati ya kitambulisho cha NIDA na vyeti vyake vya kitaaluma.
Nimejaribu kufuatilia vigezo vinavyohitajika Ili kufanya marekebisho, nikakuta pamoja...
Katika hali isiyokuwa ya kawaida wanafunzi wengi kuanzia kidato cha tano na Sita wanadhani Maisha ya Chuo ni ya Starehe sana bila kujua undani wake.
Baadhi ya wanafunzi huenda Chuo wakiwa na...
Jiji la Dar es salaam limeshapita level ya mabasi ya mwendokasi kutokana na idadi ya watu kuwa kubwa hasa pembezoni mwa mji.
Kwa sasa jiji la DSM linahitaji treni ili kuendana na kasi ya...
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Theopista Mallya amesema jalada la kesi ya vijana watano wanaotuhumiwa kutekeleza tukio la ubakaji na ulawiti wa binti anayedaiwa kuwa mkazi wa Yombo Dovya...
Asilimia kubwa nimekulia kijijini, elimu yangu primary, Olevel, A.level zote nimesoma vijijini.
Kidogo chuo nikabadili mazingira ya mjini lakini napo ilikuwa nje ya mji.
Kwahiyo mambo mengi...
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Justine Nyamoga imeipongeza Halmashauri ya wilaya ya Ilemela kwanamna ambavyo...
Za leo wakuu,
Natumaini SGR kati ya Dodoma na Dar kupitia Morogoro. Hivyo basi tunahitaji kupunguza ajali za magari na pia kupunguza matumizi kwa kuhakikisha viongozi na wafanyakazi wanatumia...
Habari zenu wadau.
Naomba kupata elimu ya Biashara ya kunenepesha mbuzi ili nije kuuza kwa faida.
Nipo mkoa wa Mbeya.
Kama kuna mtu anafanya iyo biashara Naomba connection.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.