Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Niliwahi laani sana hawa mapapa wanaopiga viwanja vya watu Mbaya zaidi ukifwatilia utakuta wizaran kuna wahuni kadhaa wameshiriki kugawa mara ya pili kiwanja kimoja Leo EATV waziri kafikishiwa...
1 Reactions
2 Replies
187 Views
Anonymous (0713)
Wakuu Naomba mnisaidie kupaza sauti kwa Serikali ifanye marekebisho kwenye reli ya Tabora-Mpanda hali ni mbaya mno, Yaani treni imekuwa na huduma za Hovyo Mno, unaandikiwa kwenye ticket treni...
0 Reactions
0 Replies
171 Views
Salaam wakuu! Najua huwa anafanya ki utani utani tu na huwa hamaanishi ila sijajua tunajenga kizazi cha namna gani, Amekuwa akipata endorsement kubwa nyingi kutoka makampuni mengi sana na kupata...
10 Reactions
54 Replies
1K Views
Kwenye ukoo wetu ukivuta bangi unakuwa kichaa au niseme unadata. Kuna jamaa zetu wengi tu wamedata je kuna ukoo ambao haupatani na bangi na pombe? Mimi kwa kulijua hili jambo nimebaki kukaa...
8 Reactions
29 Replies
919 Views
TFRA tfr Nyanda za juu imekamata mbolea za ruzuku zikotoroshwa. Mbolea hizi zilikuwa kwenye hiace 3 na bajaji 2 na pickup moja. Shehena kubwa ilipakuliwa tokea katika magari hayoooo Meneja wa...
0 Reactions
0 Replies
237 Views
Wakuu bwana Yesu asifiwe. Tunamkumbuka sote aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa Mwanza,Dar na Mbeya. Je, kwa sasa yupo wapi? Abasi Kandoro apumzishwe ukuu wa mkoa.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Ethiopia Serikali ya Ethiopia bado haijapona. Wakati imetoka kumaliza vita kutokana na mgogoro wa Tigray uliodumu miaka miwili 2020-2022🪙 Imejikuta ikiingia kwene migogoro mingine ikiwemo huu wa...
0 Reactions
16 Replies
420 Views
“As we are celebrating the life of the late Benjamin Mkapa, I would like to also mention that the National Health Insurance Fund is also a legacy of His Excellency Mkapa who started the initiative...
2 Reactions
6 Replies
500 Views
Je, hujasambaza uvumi kuhusu mimi ukidhani ya kwamba unanijua vizuri sana lakini huwezi kuthibitisha ukweli wowote kuhusu madai yako? Nimesikia sifa za uongo unazosema juu yangu bila ya huruma...
1 Reactions
12 Replies
503 Views
Tatizo hamfanyii kazi Andaa sufulia napesa za sarafu kama picha hiyo tumia sufulia kubwa au ndoo kubwa kunavitu vitatu vyakuchanganyia humo Kwanza weka dawa nyeusi yazindiko iliochanganywa na...
5 Reactions
41 Replies
1K Views
Nimekuwa nikisikia simulizi mbalimbali zinazohusu watu wanaotumia Mkono na hata Mguu wa Kushoto kuwa na akili nyingi na kipaji pia. Na inaelezwa kuwa ni watu wenye bahati sana. Na hii ni...
4 Reactions
81 Replies
1K Views
Habari za humu wandugu, natumai wengi wenu hamjambo, Mimi ni yule yule ndugu yenu niliyekimbia umande kusoma sikuona dili, Kuna Uzi niliuletaga humu nikijisifia kuwa nimeweza kumlea mwanangu au...
8 Reactions
28 Replies
1K Views
Ni mara 10 Putin angeshtuka mapema asingejiingiza kwenye hii vita angetulia zake ajiimarishe kiulinzi maana aliivamia Ukraine kuizuia isijiunge na Nato pia hakutaka silaha za nato zisogee mlangoni...
11 Reactions
29 Replies
2K Views
Kama Kuna vijana wanapitia hali ngumu ya kimaisha basi ni pamoja na vijana wa kitanzania. Just imagine kijana hanakwambia hana mpango wa kuoa kama ni upwiru atachukua buku Tano anakwenda...
4 Reactions
8 Replies
394 Views
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Deogratius Ndejembi amemwelekeza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kumchukulia hatua kali za kinidhamu Afisa Ardhi Mwandamizi Gaudence Mtalo kwa...
0 Reactions
3 Replies
337 Views
Mkuu wa Mkoa wa Njombe ndugu Anthony Mtaka anafaa kuwa mfano wa viongozi wenye kujenga jamii bora kupitia hotuba zake. Tanzania ya sasa sio CCM wala vyama mbadala wenye hulka ya kutoa hotuba...
0 Reactions
0 Replies
92 Views
Za sahizi ndugu zanguni... Nina rafiki yangu kamaliza masters ya sheria (LLM) na kaisha pita law school in short ni advocate kwa sasa ana miaka 29 Anahitaji kujiunga na jeshi la polisi either...
8 Reactions
66 Replies
3K Views
Rais Samia Shikamooo Ikikupendexa tunaomba ubafikishe viongozi kadhaa wa juu wa nhif Wakitangulizwa na bodi yao Wananchi wanateseka sana na hizi huduma za nhif sjui kama washakufikishia Kadi...
0 Reactions
0 Replies
113 Views
Katika jitihada za kuimarisha ushirikiano baina ya taasisi za kifedha na mihimili ya Serikali, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara Tanzania (TCB), Bw. Adam Mihayo, amemtembelea na kuzungumza...
2 Reactions
3 Replies
213 Views
Back
Top Bottom