Watu wenye akili hufa lakini mawazo yao hayafi hata uhujumi vipi.
Ng'we ng'we ng'we nyingi kuhusu bwawa, mara environment impacts, kiko wapi? Waliopinga ndiyo wanaolijaza kama miti iliyokatwa ni...
Gazeti la Raia mwema la leo limekuja na habari kwamba kampuni iliyopewa kibali na mahakama kuuza mali za mwanaharakati huru mzalendo wa kweli asiyependa ufisadi bwana Cyprian Musiba ili kumlipa...
Mradi huu (Bwawa la Nyerere) unalelewa na nchi zetu mbili (Tanzania na Misri), hauwezi kufeli. Na katika kushughulikia mradi huu lazima tuzingatie hilo. Ndio maana hakuna mambo ya mahakamani...
Hii barabara inafanyiwa utani sana naambiwa kwasasa wameleta shindilia na boza huu ni utani sana kwa wananchi wa Jimbo hili.
Pia soma > Barabara ya Bigwa - Kisaki Serikali mnawachukuliaje hawa...
Jf wasaalam 🙏
Sina hakika Wala kumbukumbu kama huyu msanii mzungu anayeimba nyimbo za kisukuma Kwa ufasaha alishawahi ongelewa humu. Kama Bado soma hapa.
Anaitwa Manongu mzaliwa wa Sweden...
Kichwa cha mada kimejitosheleza, yaani kwa utafiti hawa watu machoni petu huonekana wema na wenye msaada mkubwa sana kwetu.
Ila ukianza kuwa karibu nae ndio utagundua ni watu hatari sana kwenye...
Coast ya Somalia kwasasa inamilikiwa na uturuki!!
Lakini huwezi wakutaka wakiongea. Ila nguvu zote wameelekeza kwa somaliland ambayo imempa kipisi tu Ethiopia ijenge Bandari!!
Ni chuki au Akili...
1. Wanawake wanavutiwa na wanaume walio na aina mbalimbali za tabia za kiume, si tu mwonekano wa kimwili, na kuelewa na kuonyesha sifa hizi kunaweza kuchochea mvuto wa wanawake kwako mara moja...
Miaka ya hivi karibuni elimu imekuwa ngumu sana kwa watoto sikuwahi shuhudia.
Haya mabadiliko ya watoto kwenda shule mpaka Jumapili wanasoma hadi usiku huu utaratibu ni nani aliyependekeza na...
Siku hizi kila media ukisikiliza lazima ukutane na hawa wanaojiita wanasaikolojia wakijigamba sana as if wao tayari wameyakamatia maisha.
Kuna wimbi kubwa sana la kuibuka kwa wanasaikologia siku...
Salam!
Nimekuwa najiuliza maswali kuhusu wanachofanya viongozi wa Dini wanapoalikwa kwenye matukio makubwa ya kitaifa hasa yanayomuhusisha Mhe. Rais.
Moja ya swali ninalojiuliza ni namna...
Wiki iliyopita, kundi la wanamichezo vijana watano pamoja na kocha wao walisafiri kwenda Marekani kwa ajili ya Programu ya Mabadilishano katika Michezo, ambayo ni programu ya wiki mbili iliyojaa...
Ni ushauri mzuri
Lakini.
Library za kuazima vitabu ziko wapi?
Au ile moja pale posta? Ihudumie Tanzania nzima? Wilaya
Mamlaka za elimu ndizo zimetufikia hapa. Tu asoma vitabu vya fiction kwenye...
Abby ni kiongozi mwenye akili sana!!
Kwanza kaunganisha nchi yote na kutoa serikali za majimbo ambazo ziliongozwa na ukabila .
Wanaojua mfumo wa ethiopia watakua wanafahamu
Alianzisha chama cha...
Hii ni Kero Kubwa sana Wahusika ninaomba Serikali ya Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan iwachukulie hatua kali kuondosha aibu kubwa kama hii inayo fedhehesha Taifa letu. Wageni wakija na kuona...
Nimemsikiliza Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Yussuf Masauni akizungumzia masuala ya utekaji. Ameeleza kuwa nchi ipo salama na hakuna mambo ya utekaji.
Ameeleza zaidi kuwa masuala ya utekaji ni...
Kuna migogoro mingine hata sio ya kupelekana Mahakamani na kuipatia mahakama mzigo.
Unakuta ni suala la kutatua tu kwa mazungumzo basi Kesi inaisha.
Lakini sasa kwa kuwa watu wengine wana pesa...
Aisee katika kitu ambacho nakichukia hapa mtaani yaani watu kuhoji kazi ninayoyofanya unakuta jitu linamuuliza mtu eti jamaa anafanya kazi gani mbona anaishi vizuri. Hawajui Mimi kazi yangu ni...
UCHUMI: Mwakilishi wa Sekta Binafsi, Ali Amour amesema baadhi ya changamoto walizokutana nazo Wafanyabiashara kwa mwaka 2022/2023 ni pamoja na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kufungia Akaunti za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.