Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Kiukweli kabisa kuna watu hawajui kusema Asante Jamani! Sijui ni kutokuridhika na hata kitu kidogo. Usiposema asante huwezi pata zaidi hata siku moja zaidi ya kupoteza. Mimi binafsi kuna...
6 Reactions
8 Replies
451 Views
JF wasaalam 🙏 Siku zote msemo huu utabaki kuwa sahihi KIZURI CHA JIUZA KIBAYA CHA JITEMBEZA. Huu msemo utaishi siku zote maana ndo ukweli ulivyo. Kwa muda sasa huyu JAMKAYA ameishikiria vilivyo...
11 Reactions
140 Replies
4K Views
Mkaguzi kata ya Ngara Mjini Mkaguzi Msaidizi wa Polisi A/INSP Olipa Chitongo amewaomba wananchi kutambua kuwa Jukum la ulinzi wa Watoto ni la watu wote huku akiwataka wananchi wa kata hiyo...
1 Reactions
3 Replies
184 Views
Wakili Paul Kaunda amesema ameamua kugombea nafasi ya Urais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kwa Mwaka 2024, sababu anataka kuwalinda na kuwatetea Mawakili wachanga ili aongeze thamani na...
1 Reactions
4 Replies
305 Views
Naandika Uzi huu moyo wangu ukibubujikwa na machozi. Kuna vitu vinafanyika kwenye madhabahu mpaka mtu unaogopa, na huhitaji PhD Ili kujua wengi wa hawa leo waliojipa unabii ambao sina hakika...
9 Reactions
48 Replies
1K Views
Siku zote najuaga wayao ni wenyeji wa wilayani Tunduru mkoani Ruvuma ila leo kupitia member wa Jf nimegundua kuwa kumbe wayao ni wenyeji wa Mtwara. Asante sana Jf. Leo nimejifunza kitu.
4 Reactions
37 Replies
1K Views
"Mawakili wenzangu habarini za asubuhi, kama tulivyoahidi mwanzo wa kampeni kuwa tumejipanga vizuri kuhakikisha tunashinda uchaguzi wa Urais wa TLS ili kuijenga TLS moja, imara na huru kwa...
0 Reactions
2 Replies
182 Views
Wakuu Tuanze siku kwa Baraka za Mungu ikiwa kwake yeye hakuna linaloshindikana. Hata kama unapitia Magumu Mungu wa mbinguni akuonyeshe mlango wa kutokea. Kuwa na Imani utayashinda ya ulimwengu huu.
5 Reactions
7 Replies
290 Views
Tukianza na Kiboko ya Wachawi ufafanuzi wake ni kuwa Serikali haijakosea kufunga huduma bali mafundisho yake hayana staha Kosa lake kubwa ni kutumia mgongo wa Shetani kwa lengo la kujipatia fedha...
4 Reactions
33 Replies
975 Views
Habari Wanajf! Leo Nikasema nijitoe out nikaenda Zangu Msasani kwenye hotel ya Golden. Nilipofika kama kawaida akaja Muhudumu akanipa Menu ya vinywaji nikachagua, Nikapewa menu ya chakula nikawa...
35 Reactions
70 Replies
5K Views
Wadau nawasabahi Nimekuwa nasikia Waendesha Pikipiki za biashara wanaitwa BODABODA binafsi sijui kwanini wanaitwa jina hiyo .Ombi kwenu nini Asili ya jina hilo mpaka Wakaitwa hivyo?
3 Reactions
30 Replies
1K Views
moja ya hadithi ya kusisimua kwa biblia ni hii ya sodoma na gomora Raia /wakazi wa hii mitaa walikua watenda dhambi wa kutupwa. mapenz ya jinsia moja /ushoga kwao ilikua sio story manake...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Mimi binafsi nikitazama Televisheni huwa napenda kubadilisha badilisha ili nipate hata kipindi chochote nitakachojifunza kitu kipya kitakachonipa faida. Mara nyingi mambo ni yaleyale huku kule ni...
1 Reactions
3 Replies
205 Views
Sloths ni wanyama wapanda miti wanaoishi katika misitu ya ukanda wa kitropic ya kati hasa America ya kusini. Wanyama hawa ni waenda polepole sana kiasi cha kwenda kwa wastani wa mita 0.91 kwa...
14 Reactions
50 Replies
2K Views
Ukiongelea taaluma ya Computer LAZIMA ujue kuandika lugha ya Computer (coding). Hiki chuo cha UDSM nina wasiwasi kila kitu wanafundisha nadharia tu (theory) hata katika taalum ambazo tunategenea...
19 Reactions
151 Replies
4K Views
Basi la kwanza la mradi wa mabasi yaendayo haraka limewasili nchini na kuanza kufanya majaribio katika barabara zilizokwisha kamilika huku mengine yakitarajiwa kuwasili mapema mwaka kesho...
3 Reactions
116 Replies
16K Views
Awamu ya tano inavyomtesa Rais wa zamani Na Ahmed Rajab KUNA vimurimuri vingi na viini macho visivyosemeka katika siasa za nchi nyingi za Kiafrika. Tunayaona katika nchi hizo aghalabu huwa si...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu. Nahitaji ramani Kwa ajili ya Apartment za kupangisha. But kabla ya kupewa ramani nahitaji mhusika afike site ili aone namna ya eneo lilivo. Site ipo Kiabakari - Musoma, ni...
2 Reactions
4 Replies
297 Views
Back
Top Bottom