Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Nadhani Boniface Mwabukusi amekosea fani ya sheria. Nadhani alitakiwa kugombea udiwani au ubunge. Tukubaliane kimsingi uendeshaji wa nchi mbali na kufuata sheria na katiba lakini maslahi ya nchi...
7 Reactions
101 Replies
3K Views
Ukiona pesa zimekutembelea fasta waombee ndugu zako wa karibu waishi naisha marefu. Kwa mfano Chief Goodlove leo hii afiwe na mzazi imekula kwake,au yule msanii wenu wa tandale akafiwana mama...
7 Reactions
20 Replies
848 Views
Habari za mchana wakuu Kuna kitu Kwa upande wangu nashindwa kukielewa. Kuna tatizo kubwa la ajira nchini nimejaribu kufatilia hatua mbali mbali ambozo Taifa linachukua Bado sioni kama...
1 Reactions
5 Replies
356 Views
Dar es salaam, leo 26 July kuna kijana anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 16 hadi 17 (jina linahifadhiwa) maeneo ya Ubungo Msewe amepatikana nje ya nyumba akiwa amejilaza huku akivuja...
8 Reactions
83 Replies
5K Views
Yah: KUAHIRISHA UTEKELEZAJI WA MTAALA ULIOBORESHWA WA KIDATO CHA TANO MWAKA WA MASOMO 2024/2025 Tafadhali rejea kichwa cha habari hapo juu. Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia (WyEST)...
-1 Reactions
11 Replies
2K Views
Anonymous (204c)
Mimi ni mwalimu nimeajiriwa mwaka 2014. Pamoja na kuwa ni mujibu wa sheria mtumishi kupanda daraja Kila baada ya miaka mitatu, sisi hatukupanda hata baada ya miaka 7, tulidhulumiwa madaraja...
2 Reactions
12 Replies
680 Views
Wakuu wasalaam.. Niko vijiji vya ndani ndani huku Ndiwili wilaya ya kilolo nimekuja kwa shughuli zangu..baridi ni kali . Katika matembezi yangu nikakutana na watoto wadogo chini ya miaka 10...
21 Reactions
27 Replies
1K Views
MUUZA MAYAI, INAFUNDISHA SANA Alimuuliza, "Je! Unauza mayai shilingi ngapi?" Muuzaji mzee akajibu, nauza 500 kwa yai moja, Madam. ' Akamwambia, 'Nitachukua mayai 6 kwa kwa mia tatu tatu au...
7 Reactions
5 Replies
595 Views
Asanteeee serikali KAULI NZITO YA ASKOFU BAADA YA SERIKALI KUFUNGA 'KANISA LA KIBOKO YA WACHAWI! Ndugu Watanzania! Leo ni Siku ya Dominika. Lakini ninapojiandaa na mimi kwenda 'kukomunika' pamoja...
1 Reactions
2 Replies
693 Views
Ndio hivyo buana! Nilipopata fursa ya kufika Mataifa ya wenzetu ambako huko kuna mchanganyiko wa watu kutoka katika Mataifa yote uyajuayo hapa Duniani, niligundua kuna mambo ambayo yanaweza kuwa...
23 Reactions
72 Replies
2K Views
Ebu fikiria unaishi maisha ambayo hakuna anayekujaji kwa matendo yako,wala huofii watu watasemaje kuhusu mambo yako,bilashaka ungekuwa ulimwengu mmoja amazing sana. Lakini bahati mbaya sana...
4 Reactions
26 Replies
560 Views
Recorded video🎥👇🏼 https://www.youtube.com/live/Ykazv1aguT4?si=slkP5hyLZuX3MQsS MASUALA MUHIMU YALIYO ZUNGUMZWA Jambo kubwa zaidi lililozungumzwa na wagombea wote ni suala la mamlaka na wajibu wa...
6 Reactions
100 Replies
5K Views
https://www.youtube.com/watch?v=_u-grci0Q9Q Akizungumza na viongozi mbalimbali wa Dar es Salaam, Mkuu wa Mkoa huo, Albert Chalamila amesema ucheleshwaji wa maboresho ya Barabara unaoendelea hauna...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Miaka ya hivi karibuni kulizuka tetesi kwenye mitandao ya kijamii zq kubadilisha wosia au ndugu wa karibu kushindwa kuamini wosia kama mtu aliandika kwa akili zake ama kwa kulazimishwa. Kitu hiki...
0 Reactions
2 Replies
205 Views
Tasnia ya habari hasa upande wa Ma-presenter wa kike naona bado hakuna wale wa kukiwasha sana atleast hawa wawili wamejitahidi sana pia wana-knowlegde ya mambo mengi tofauti na wengi Mwana...
1 Reactions
70 Replies
2K Views
Ndugu zangu TRA, Kuna kampuni inaitwa DMA ipo dodoma na makao makuu yapo Dar es salaam. Hawa kwanza ni matapeli kutoka Zimbabwe, wametufanyisha kazi na hawajatulipa toka mwezi wa tatu na mikataba...
3 Reactions
14 Replies
689 Views
"Naomba Taifa langu liondoe mitaala la Kiswahili katika shule zetu za Serikali kuanzia chekechea mpaka lile darasa mtihani kwa sababu watoto wetu wanaosoma shule za kata za Serikali wanafaulu...
9 Reactions
51 Replies
1K Views
Katika utafiti wangu mdogo nilioufanya katika mtaa ninaoishi na hata maeneo mengine wanandoa wengi wanaishi bila kujua taratibu za kisheria. Mfano unakuta Mwanaume huyu awali alikuwa na mke wake...
2 Reactions
0 Replies
198 Views
...ukiangalia namna vyuo vya afya vinavyoongezeka kama njugu si muda mrefu mitaa itajaa wahudumu wa afya bila mahali pa kuwapeleka. Kwa sasa karibu kila mtoto anatamani kusoma afya akiamini...
2 Reactions
4 Replies
416 Views
IKUNGI-SINGIDA Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso ameipongeza Kampuni ya AL FRADAWS investment Company Limited kutoka Jordan ambayo ni wawekezaji katika uzalishaji wa Mbegu mbalimbali Mkoani Singida...
1 Reactions
2 Replies
203 Views
Back
Top Bottom