Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Baraza la Mitume na Manabii Tanzania (Bacct) limesema halimtambui Mchungaji, Dominique Dibwe maarufu Nabii Kiboko ya Wachawi na kueleza kuwa si mwanachama wao. Pia limesema walipojaribu kumtafuta...
4 Reactions
11 Replies
713 Views
Una namba 60 badala ya 20 za awali na una mafungu matatu ya namba 20 kila fungu, haieleweki unaziwekaje. Ili kuepuka usumbufu wa kipumbavu kama huu nimeamua kuwasha jenereta, potelea mbali. Sasa...
30 Reactions
129 Replies
6K Views
Habari wakuu, nimekumbuka wema nikiowahi kufanyiwa hatimaye mpaka sasa tumefanyika kuwa ndugu, kuna watu wana mioyo mizuri na wema ndani yake. Ipo hivi 2020 kipindi niko chuo, ilikuwa imefika...
16 Reactions
32 Replies
1K Views
Wakati mwingine ukifikiria maamuzi ya watendaji wa nchi hii yatakushangaza. Kwa mfano: Bunju mwisho stand ya mabasi, walikuja wakasema mabasi yatoke yawe yanapaki barabarani watengeneze barabara...
9 Reactions
11 Replies
431 Views
MAJIBU YA WAUMINI WA MSIKITI WA IJUMAA KWA UPOTOSHAJI WA BIM NA NDUGUYE SHERALY KUHUSU SHULE THAQAFA NA MSIKITI WA IJUMAA Assalam alaykumu. Ndugu waislamu Wa Mwanza na waTanzania Waumini wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Yaani moja ya mambo nilikuwa naamini naweza kufanikiwa ni kuwa hard worker. Kumbe kuwa hard worker bila kuwa mtoaji =nothing. Baada ya kuanza kuwa mtoaji nimeona mtiririko wa riziki hausui sui...
46 Reactions
138 Replies
3K Views
Mungu wewe ni muweza wa yote. Tunaomba ulinzi wako siku ya leo na siku zote.. Amen
9 Reactions
8 Replies
247 Views
Anonymous (f932)
Habarini JamiiForums, Nawaailisha kero yangu kwenu iwafikie Hospitali ya Muhimbili, wanachotufanyia tunaokuja kuona wagonjwa si uungwana. Juzi July 10, 2024 nilikwenda kuona mgonjwa nikiwa...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Ninini hasa tofauti ya hizi jamii mbili wahutu na watusi? Mimi ninavyojua ni haya kama nakosea naomba kuelimishwa! 1. Wahutu ni wafupi watusi ni warefu 2. Kitusi ni lugha na kihutu ni lugha 3...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Hapa Tanzania maisha yamekuwa magumu sana. Gharama ya maisha imepanda. Vitu ni ghali sana. Sina hela hata kidogo. Sidhani kama ni kosa la mtu yeyote isipokuwa mimi ambaye ni mvivu. Lakini tokea...
10 Reactions
68 Replies
2K Views
Naombeni msaada wadau nahitaji shirts kadhaa za kuvaa ofisini, ziwe classic na bei iwe rafiki. Pia na tshirts kadhaa pia za Ukweli. Yaaani 7 shirts, 7 tshirts, 7 trousers na 7 Cadets. Huku insta...
5 Reactions
49 Replies
2K Views
Siku hizi Kuna tool ya kivivu na ya bure inaitwa AI, inakurahisishia vitu vingi ikiwemo kizungu. Umezuka mjadala mkubwa sana msanii au socialist mmoja bongo ambaye alikuwa mke wa Msemaji wa club...
3 Reactions
25 Replies
566 Views
Ndugu zangu natumaini mpo salama lengo la thread hii ni kuhamasishana sisi binadamu kuishi kwa upendo na kutokuwa na chuki baina yetu. Hamna mtu ambaye amekamilika kwenye hii dunia ila unakuta...
4 Reactions
20 Replies
456 Views
Ukienda bila kuchaguliwa JKT kwa wahitimu wa kidato cha sita haina tatizo?
0 Reactions
5 Replies
447 Views
Mtu akikufanyia ubaya Mpe muda. Ukiwa huna ajira Jipe Muda. Ukiwa huna amani Jipe muda. Kila kitu kipe muda ina maana kubwa sana. Sasa hivi kila kitu kiko wazi kabisa ni suala la muda tu.
4 Reactions
6 Replies
718 Views
Habarini za leo wakuu, Nisaidieni hili swala na mnipe ushauri nataka kununua mzigo toka China ili uje hapa bongo niufanyie biashara bila kuchelewa kwasababu ni order maalum. Je ni kampuni gani...
1 Reactions
19 Replies
7K Views
Nilibahatika kuhudhuria kwa njia ya video za kupandikiza kijasusi na kwa kificho kama mtafiti wa dini za binadamu na akili za binadamu na utashi wa kibinadamu na hulika za binadamu majadiliano ya...
5 Reactions
67 Replies
2K Views
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeeleza kuwa haijatoa tamko au agizo lolote la kufungia au kupiga marufuku mtandao wowote wa kijamii Tanzania. Mamlaka hiyo imeeleza haya ikijibu barua ya...
2 Reactions
1 Replies
261 Views
Ulimwengu wa dijitali umeleta fursa nyingi kwa vijana, ikiwemo ufikishaji wa elimu, habari, na mawasiliano. Hata hivyo, pia umeleta changamoto zake. Ufikishaji rahisi wa mtandao umeongeza hatari...
1 Reactions
0 Replies
222 Views
Gereji moja hapa nchini baada ya kuchoshwa na kutengeneza magari ya wanajeshi wakaamua kuandika hivi.. HATUTENGENEZI MAGARI YA WANAJESHI. Ila baada ya muda UKUTA ulikutwaa umefutwa maandishi hayo...
4 Reactions
111 Replies
21K Views
Back
Top Bottom