Manispaa ya Ubungo wameng'oa mabango mbalimbali barabarani huku wakiacha mengine yakiwepo. Hakuna taarifa yoyote iliyotolewa ya kuondolewa kwa mabango hayo lakini ghafla tunakuta yameondolewa...
Nilikaa hapa nikafikiria, nikatamani wazo la kujenga bandari ya bagamoyo kama lingekuwepo, ikaunganishwa reli ya SGR toka dsm,bagamoyo, tanga, moshi, arusha, musoma to kenya, na bagamoyo...
Kanisa Katoliki jimbo la Ifakara limemsamehe Enock Masala mwenye umri wa miaka 19 aliyetaka kutoroka na Ekaristi Takatifu kanisani.
kijana huyu alikamatwa julai 28, 2024 wakati wa misa ya kwanza...
Mfanyabiashara na mwanasiasa Boniface Jacob maarufu Boni Yai na mwanaharakati Godlisten Malisa na baadhi ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo wakiwa katika viwanja vya mahakama ya...
Julai 26, 2024, JamiiForums ikishirikiana na The Collaboration on International ICT Policy for East and Southern Africa (CIPESA) iliendesha Mafunzo ya Uhakiki wa Taarifa kwa Wadau wa Tasnia ya...
Mke wangu alipata ujauzito na akajifungua mtoto wa pili akasema nisimwite jina la mama yake kwani mama yake ni mshika madawa Sana. Nilimwita jina lingine mama mkwe akamwambia aje amzalie mtoto wa...
Ofisi ya Taifa ya Takwimu Imetoa data zinazoonyesha Ukubwa wa Uchumi Kwa Kila mkoa Kwa Tanzania Bara Kwa mwaka 2022.
NBS imechapisha kitabu Cha Hali ya Uchumi wa Taifa mwaka yaani Tanzania in...
Wadau hamjamboni nyote?
Toka wiki iliyopita tumekuwa na mjadala mzito usioisha unaohusu Ushahidi wa Kibiblia uliotabiri ujio wa Mtume Mohamed
Hapa tulipo hakuna anayebisha kuhusu uhalali wa yeye...
KENYA - Mahakama ya Rufaa imeagiza mwili wa Silas Igweta uhifadhiwe katika chumba cha kuhifadhia maiti cha Umash jijini Nairobi kusubiri kesi iliyowasilishwa na mke wa pili wa marehemu, Sarah...
Zanzibar kwa miaka ya hivi karibuni hakuna taarifa za watu kutekwa wala mauaji wala kubambikiwa kesi.
Ikiwa ili eneo lipo ndani ya JMT tunaweza kujifunza ni mbinu gani wametumia kutuliza upepo wa...
Wakati viongozi wa soko la Kurasini, lililopo Mtaa wa Shimo la Udongo, barabara ya GSM jijini hapa, wakieleza wapo hatua za mwisho kukamilisha mchakato wa kuuza soko hilo, uongozi wa Halmashauri...
The Fisherman's Fortune: A Tale of Serenity Cove
https://youtu.be/NxQy8RmBpgE
In a world where fortunes are as fickle as the sea, Marco, a humble fisherman, faced the ultimate choice: risk it all...
Naibu Spika wa Bunge la Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania, Mussa Zungu ametoa rai kwa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI)–Hospitali ya Dar Group kutotoza gharama zisizo himilivu kwa wananchi...
Kuna wanaume wengine wapumbavu, mwanaume unakimbiaje nyumba kumkimbia mwanamke? Kabisa mwanaume unasimulia watu umemkimbia mwanamke kisa timbwili lake.
Kuna mtu alikuwa ananisimulia ameachana na...
Kiuhalisia tu iwe Kazini, kwenye Biashara, Shuleni, Nyumba za kupanga kuna vijimaneno vya hapa na pale.
Fulani kasema wewe hivi na vile na wewe bila kumuuliza unaweka chuki.
Hali hii imegombanisha...
Ukisikiliza wanavyochambua Magazeti na kuwaponda Watumbuliwa wa hivi karibuni huwezi amini kama Nape alikuwa Boss Wao juzikati tu na walimtukuza sana
Ni vema hawa Watangazaji wa Kuigiza wakaweka...
1. Tambua thamani yako: Fikiria juu ya kile unachothamini zaidi maishani na kile kinachokuchochea. Hii inaweza kukusaidia kutambua unachotaka ili ukifuate na ukifikie.
2. Gundua uwezo wako...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Mkuu wa Jeshi la Magereza.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.