Taasisi ya Moyo ya Texas (THI) na kampuni ya Vifaa vya Matibabu (BiVACOR) zimefanya upandikizaji wa Moyo wa Bandia (TAH) kwa Binadamu utakaokuwa mbadala wa Moyo unaoshindwa kufanya kazi...
Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa amesema Treini za kisasa zitakuwa na uwezo wa kubeba tani 10,000 kwa mkupuo jambo amesema kuwa ni sawa na mzigo ambao unabebwa na malori 500.
"Treni za...
Habari wakuu,
Nimekuwa nikijiulza hivi sayansi ya lugha duniani ikoje, mbona duniani lugha ni nyingi ila kuna maneno ambayo kila taifa lazma wawe nayo na maana Ni moja.
Utakuta watu wa Asia kama...
USIKUBALI KULIPWA MSHAHARA MAISHA YAKO YOTE… KATAA🧠
“A salary is a drug they give you when they want you to forget about your dreams" ... Kevin O'Leary
Vipi unakubali au unakataa?
REPOST Wengi...
Majukumu yameisha Now we are free!
Kwanza pongezi Kwa kuendelea kulisukuma gurudumu la habari hapa!
Kuna Mikakati Muhimu sasa tutaanza kujua kabla ya wengine,
Be the first to know!!
Britanicca
Hakuna ofisi maalum ya madereva wa serikali (wakiwemo wa halmashauri na wizara mbalimbali) kutumia wakati wanasubiri mabosi wao watoke ofisini au kwenye mikutano ya kujenga taifa?
Naona kama...
Makao makuu ya nchi ni Dodoma hakuna kurudi nyuma
Ni furaha kwamba maadhimisho haya yanafanyika Dodoma makao makuu ya nchi katika uwanja ambapo mwaka 2016 wakati wa maadhimisho haya Hayati...
Wenyeji au yeyote anayefahamu kuhusu hili.
Wilaya ya Mbozi iliyopo mkoani Songwe ni vituo vipi vinatumika na serikali kununulia Mahindi ya wakulima bila kusahau malipo yao yanachukuwa muda gani...
Kuna Video inasambaa kwenye Mitandao ya Kijamii nikaona niwashirikishe kuna la Kujifunza
=============
Victor Tesha
Nilikutana na mvulana mdogo sana ambaye kila siku alikuwa akisafisha kioo cha...
Kwanza nikupongeze sana OC-CID wilaya ya Bunda kwa ulivyopambana na uhalifu na pongezi zaidi kuuzima uhalifu wa kutumia pikipiki ulioanza kuchukua nafasi hivi karibuni nyakati za usiku. Kiukweli...
Ukiangalia sarafu dhaifu za Afrika, inadhihirika kuwa udhaifu wa nchi hizi unachangiwa na sababu nyingi zenye utata. Iwe ni kutokana na kutokuwa na uthabiti kisiasa, changamoto za kiuchumi...
Wadau hamjamboni nyote?
Huwa sipendi kuhoji Imani za watu wengine kwani Kila mtu ana Imani yake nahivyo huwa namheshimu
Hata hivyo Leo nimeona nihoji japo kwa uzuri tuu.
Kwamba waliagizwa na...
Yaani katika maisha yangu urafiki na masikini hapana aisee yaani Kwa pesa hizi nilizonazo halafu niwe na urafiki na masikini aniambukize njaa aisee hapana. Hivi nyie masikini kwanini msipambane na...
kumekuwa na Kesi nyingi za kaka na dada, mama na mtoto, baba na mama yani ni hatari.
Inafikia Hatua hadi wanatamkiana maneno mabaya.
Kesi nyingi Mahakamani ni za ndugu aidha wakigombea mirathi...
Serikali ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania yaahidi kuunganisha bara la Afrika kwa nishati ya umeme kupitia mradi mkubwa wa usafirishaji umeme unaohusisha ujenzi wa njia za usafirishajiumeme wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.