Wadau wote wa jamii forum naandika uzi huu nikiwa na wazo moja tu la kupotea ktk dunia hii yenu
Napitia magumu mno nimekosa msaada hata wa mtu kuongea naye nikamwelezea matatizo yangu. Nimekuwa...
Hivi Kwanini waTanzania tunakuwa mazwazwa hivi kwenye haki zetu? Mpaka Leo jumatatu ya tarehe 24 Mshahara hamna na vivo hivyo hamna kauli yoyote ile kutoka kwa serikali hasa hasa Karibu mkuu...
Wajinga bado wapo.
Hii ni story ya kweli kabisa nimesimuliwa na mtu maskani. Ipo hivi kuna boda boda alipigiwa simu na namba ngeni.
Namba ngeni: Xx aloo
Boda boda: Haloo niaje
Namba ngeni: Eh...
Sina uzoefu mwingi wa matumizi ya mitandao ya kijamii, bado mshamba kiasi, na neno KARMA nimelipata humuhumu jamii forums. Katika kutafutatafuta maana ya KARMA kwa kutumia kamusi za humuhumu...
Wakati wakipita juu ya mto wakiwa kwenye boti kila mmoja alijiuliza mbona wengi sana baadaye inatoka taarifa kuwa wanamichezo ni 9 na ma-afsa wa serikali kutoka wizara mbalimbali ni 67 na watakaa...
Kumekuwepo na changamoto kubwa ya uchomaji wa taka kwenye soko la sabasaba jiji Dodoma, nyakati za usiku.
Taka hizo ambazo ni mabaki ya majani ya migomba na mabaki ya matunda kutoka soko la...
Nazani elimu ya degree kwa Tanzania inatosha sana , kukufanya uishi vizuri na ufanye mambo Yako kwa amani, kusoma zaidi ya degree ni matokeo ya hofu ya maisha, na hofu ikipitiliza humfanya mtu awe...
Habar wanajf
Napenda kufahamishwa mazingira ya hii kata ya dakawa morogoro kiutafutaji.
Napanga kuhamia hapo ila si mbaya nikapata machache km vile huduma za kijamii upatikanaji wake,
Binafsi...
Hii hospitali ipo Iringa-Karibu na Shule Ya TOSAMAGANGA kata ya Kalenga imekua na matukio mengi kama hujashuhudia basi kusimuliwa na yaliowahi wakuta. Usiku Anakuja Muhudumu anakuita mtoke nje au...
Salaam, shalom!!
Leo natoa ushauri huu ambapo ndio kwanza mkurugenzi mkuu mpya ameteuliwa hivi karibuni.
Wataalamu wa KILIMO Huwa wanalima kitu kinaitwa SHAMBA DARASA. Huwa wanafanya hivi Ili...
Habari JF!!!
Nimekuwa nikitumia Bank X kwa muda wa miaka kadhaa kuweka savings zangu na kupitishia miamala mbali mbali.
ila nikiacha tu hata week. hayo makato yake sio mchezo, makato inaeza...
Ningekuwa mimi leo viss wa NIDA Kawe asingerudi ofisini tena kesho
Leo nimesikitika sana nikamkumbuka Magufuli mno
Ajabu sana kuona ofisi kubwa kama Kawe NIDA haina genereta
Huko huko ndani...
Hatua zilizochukuliwa na Serikali katika kukabiliana na ongezeko la gharama ya kusafirisha makontena zimezaa matunda baada ya gharama hizo kushuka na kurudi katika bei ya awali ambayo ni Dola 3...
Habari? Mimi ni mtumishi nataka nivute kimkopo changu na hii ni baada ya kupandishwa daraja, sasa nikiingia kwenye mfumo wa ESS nakuta kuna bank tofauti tofauti na asilimia zao.
Kila nikiangalia...
Kuna kifo cha kizembe cha mwanafunzi wa kidato cha 6 huko Jkt kambi ya Itaka Songwe(zamani Mbeya).
Watoto wamepelekwa kwenye kubangua mahindi kwenye mashine mbovu,na mbaya zaidi operator...
TANZIA:
MWANA JF MIGUU YA KUKU/ MPAUKO HATUNAE DUNIANI
Kwa mujibu wa rafiki yake wa mitandaoni ni kuwa Mpauko / MIGUU YA KUKU alifariki tarehe 23 /01/2020.
Chanzo cha kifo chake ni kujinyonga...
Wakristo na waislamu hawataweza kujua Mwenyezi Mungu anataka wao wwafanye kitu gani.
Kwa ufupi Wakristo na Waislamu bado wanaishi gizani na mafundisho ya dini zao pamoja na kwamba ni mazuri...
Kuna hili Eneo hapa Kanisa la st. Peters karibu na gate la "Security officers" Barabara imewekwa viraka juu ya viraka. kila inaponyesha mvua lazima iharibike hivi kweli mpaka mtu apate ushauri...
Naanza kutanguliza salamu na shukurani hapa JF. Pili nawasilisha hii mada kwenu wajuzi tusaidiane ni mbinu zipi mtu anaweza kuzitumia kupunguza na kuacha kabisa kuvuta sigara
Baadhi ya mbinu...
Wadau,
Naomba kupata taarifa za ujenzi wa viwanja vipya vya michezo hapa Tanzania.
Kwa yeyote anayefahamu naomba anijulishe hasa kile cha Arusha......kuna fursa ninaisubiria
Kwenye picha, ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.