Akizungumza leo Julai 31, 2024 katika semina iliyowakutanisha watetezi wa Watoto kutoka Mikoa mbalimbali nchini, Mratibu Kitaifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC),Wakili Onesmo...
Vitendo vya utapeli vinavyofanywa na kampuni ya KMM LAND USE CONSULTING CO.LTD, yenye namba ya usajili 0359-T0218, iliyo na ofisi Sinza - Dar es Salaam. Kampuni hii ilipewa kibali cha upimaji...
Niwapongeze watanzania (hususani watanganyika) kipekee zaidi watumishi wa umma kwa kufanikisha nchi yetu kuwa na moja ya miundombinu na usafiri wa kisasa nchini hakika pongezi ziende kwenu na...
Embu tujadili na kuangalia umuhimu/ulazima wa hii michango ya harusi .Tunaishi kijamaa ndani ya mifumo ya kipepari,tuna vipato vya kawaida sana hasa kwa ndugu zangu wafanyakazi.
Wafanyakazi...
Weengi wanaamini mweusi ni mpenda njia za mkato 'shortcuts' tena hata hajali kama kuna mahali anaharibu au kuna watu anawaumiza
Weeengi humu wanaamini mtu mweusi ni ungaunga mwana
weengi humu...
Hivi tukiweza kuondokana na mabati yenye kutu, yaliyochoka tutakuwa tumeondokana na alama kubwa ya miji yetu? Tunaweza kufanya nini kuhamasisha watu kuezeka kisasa? Inawezekana kuondoa bati hizi...
1. Akili na Uwezo wa Kutatua Matatizo: Kunguru wana uwezo mkubwa wa kutatua matatizo na kutumia zana. Kwa mfano, kunguru wa New Caledonia (Corvus moneduloides) wameonekana wakitengeneza na kutumia...
Wasalaam.
Nimekaa chini na kutafakari ili kujua upi ni mchezo sahihi kwa wanaume wa kweli kati ya michezo yote iliyopatwa kubuniwa, wanaume wa kweli nikimaanisha wale marijali, wale wenye roho...
Baba wengi wakati mwingine wanachelewa kurudi nyumbani kutokana na sababu mbalimbali ikiwamo za kikazi.
Lakini Baba wengine akishahakikisha kila kitu ndani kipo basi ndo kamaliza hivo. Atakuwa...
Habari za asubuhi familia.
Naandika nikiwa na uchungu sana moyoni lengo ni kuwaasa vijana wenzangu hii kitu Watanionaje ni roho ya shetani yenye lengo la kuzuia maendeleo hasa kwa vijana kuchukua...
Wanafunzi wawili wa chuo cha Must Mbeya wamefariki katika machimbo ya Mererani walikokuwa wameenda kwa ajili ya mafunzo kwa vitendo
Chanzo cha vifo vyao imedaiwa kuwa ni kukosa hewa ndani ya...
Ushawahi kuona mtu Ana skendo chafu chafu haswa za umalaya uliopitiliza au ulevi na ukorofi lakini ukashangaa anaitwa kuketi katika karamu ya wakubwa na anashirikishwa michongo.?
Kuna watu...
SERIKALI YAAHIDI KUTATUA MGOGORO WA ARDHI KATI YA WANANCHI NA JESHI LA MAGEREZA WILAYANI NGARA MKOANI KAGERA
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imepokea malalamiko ya mgogoro wa Ardhi kati ya...
Jamani wanaJF nawaombeni mnisaidie kidogo mawazo yenu. Hivi rais aliye madarakani, na ambaye mshahara wake pamoja na marupurupu ni makubwa, ambaye hatumii hata senti moja kununulia ama sukari...
Hali hiyo, wanaielezea ilisababisha kuanguka chini na wakazidi kumshambulia hadi wakahakikisha amekufa huku vijana wake wa kazi wakiingia mitini.
Ofisa wa Polisi ambaye hakutaka jina lake litajwe...
Kuna mambo madogo madogo na yamezoeleka lakini ni ishara mbaya.
Taa nyekundu imewaka mbele yako, jitafakari. Naandika haya kwa experience ya mambo niliyoyaona na kuyasikia katika jamii. Sometimes...
Nchi haina dini na katiba ya Tanzania inatangaza uhuru wa dini kwa wote.Mara nyingi idadi ya wafuasi inatajwa kuwa theluthi moja waislamu,theluthi moja wakristo na theluthi moja wafuasi wa dini za...
Nadhani muda umefika siyo mbali CCM inakwenda kulala upande mmoja.
Mwl. Nyerere aliposema CCM si mama yake wala baba yake alikuwa na maana hasa.
Mwl. Nyerere aliposema mpinzani wa kweli atatokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.