Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Anonymous (1c7a)
Wengi hapa jukwaani natumaini tunafahamu chombo cha habari Mtandaoni cha Jambo TV, ni kati ya vyombo ambavyo vimekuwa vikifanya vyema kwa siku za hivi karibuni. Pamoja na hivyo, lakini msimamizi...
1 Reactions
2 Replies
598 Views
Maoni yangu binafsi kuelekea uchaguzi mkuu 2025. Hapa Nina orodha ya Watanzania wenzetu,wanasiasa ambao Kwa namna moja au nyingine huenda miongoni mwao watakuwepo wenye tamaa ya kutaka kuwania...
10 Reactions
87 Replies
6K Views
Najiuliza tu, kama kweli kuna umakini katika hili, mbali na katibu mkuu wa wizara kukesha gym na mitandaoni, sioni alichokifanya katika Wizara, ni mambo ya status quo ante. Arusha na Dodoma...
3 Reactions
8 Replies
338 Views
Ni mwezi wa pili sasa tangu mabasi ya Katarama yenye brand ya Scania Irizar i6 kuonekana South Africa yakija Tanzania. Kwa muda mrefu mpaka sasa bado hayajafika Tanzania licha ya mapichapicha...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Hongera sana serikali kuanzisha pepmis ambayo imekuwa chachu kwa huduma za utumishi kupatikana kidigitali. Pepmis imerahisisha sana kwa serikali kuona watumishi wao wanayofanya kila siku. Lakini...
5 Reactions
13 Replies
1K Views
Ndiyo maana kila Siku huwa nasema Mnafiki yoyote yule huumbuliwa wazi wazi na Mwenyezi Mungu. Kipo wapi sasa?
3 Reactions
13 Replies
496 Views
Dunia ya Leo inakabiliwa na watu wa hovyo katika nyanja zote .watu wamekuwa wababaushaji kuliko ubabaushaji wenyewe. Watu wamekuwa wakitafuta gap kidogo tu ili akuibie. Mentality za watu wengi...
3 Reactions
3 Replies
366 Views
Jana tarehe 27 Julai 2024 MTEJA WANGU alifungua KESI YA WIZI WA TZS 10 BILIONI katika Kituo Kikuu cha Polisi Dar Es Salaam. Polisi walifanikiwa KUMKAMATA MTUHUMIWA 1 (Mke wa Mteja wangu)...
4 Reactions
16 Replies
863 Views
Nimehamishiwa Chalinze kutoka Bagamoyo, lakini tayari nmejenga ila Bado sijamaliza finishing lkn familia yangu mke na mtoto mmoja wanaishi hapo na Mimi nachoka kurudi Bagamoyo kwenda na kurudi...
2 Reactions
30 Replies
1K Views
Serikali na viongozi wake ni muda sasa wa kuwambia ukweli wahitimu wetu katika nyanja tofauti ukiangalia idadi ya vijana waliomaliza vyuo inatisha, wanaojitolea kwa posho kidogo ndio usiseme...
0 Reactions
5 Replies
372 Views
Pamoja na Kanisa lao kufungiwa na serikali ya Tanzania, lakini Waumini wake wamemiminika kwa wingi leo kanisani hapo wakiamini Ibada ipo Je yawezekana hawakusikia Tangazo la Serikali...
9 Reactions
41 Replies
2K Views
Baada ya kuishi hizi nchi za wenzetu Nimeona mambo mengi pia nimejifunza mambo mengi Hasa hasa mambo ya uongozi japo sina elimu kubwa zaidi ya kujua how hawa wenzetu wanaongoza nchi zao ila...
0 Reactions
0 Replies
215 Views
Kama Documents/Nyaraka zako ni za "Siri" au "Mali ya kampuni" usiziweke kwenye AI Tools like ChatGPT, Gemini and Grok etc.
3 Reactions
7 Replies
614 Views
Kama ilvyoripotiwa na TRC kwamba hitilafu ya umeme iliyotokea tarehe 30/07/2024 majira ya saa 4:20 usiku kwenye kituo cha kupoozea umeme namba 7 (Godegode) husababishwa na wanyama (ngedere) au...
2 Reactions
9 Replies
764 Views
Habari wakuu naomba msaada, Nataka kuanza safari ya kwenda Namibia kwa njia ya basi. Je inawezekana kwanza? Pili niwe na document zipi ili nisisumbuliwe njiani na niandae kiasi gani njiani na...
3 Reactions
109 Replies
19K Views
Mwalimu Yesu aliwahi kusema, Wana wa giza wanamaarifa katika Mambo Yao. Na sisi watu wa rohoni tusiwe wajinga kwenye Mambo ya rohoni. Hawa jamaa wao huwa wanaanza Kula stare he na kukesha siku...
1 Reactions
1 Replies
373 Views
Hakika vita ni inatisha sana na ugomvi sio kitu kizuri maana mwisho wa siku wanao umia ni watoto. Pichani ni picha za watoto wa kiongozi wa hamas Ismail hanneiya hapo jana watoto wake watatu na...
6 Reactions
65 Replies
4K Views
Hii ni kwa watumiaji wa Mabasi ya Mwendokasi tuu jijini DSM. Kwa kuwa Serikali haina mpango wa kupunguza adha inayotukabili abiria wa mabasi haya. Na kwakua sisi abiria hatuna mpango...
2 Reactions
6 Replies
343 Views
Mvutano wa kisheria unaoendelea Kuibuka katika shauri lililofunguliwa na Wakili Steven kitale katika Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza baada ya mjibu maombi wa nne, Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG)...
1 Reactions
5 Replies
533 Views
Back
Top Bottom