International Forum

News and Stories from rest of the World
Rais Paul Kagame wa Rwanda amfuta kazi Waziri wa Afya wa nchi hiyo Dkt Gashumba kwa madai kwamba Waziri huyo alimdanganya juu ya uwepo wa vifaa tiba kwa ajili ya kupima virusi vya Corona...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
People’s basic human rights – their birth-right – are “under assault”, UN Secretary-General Antonio Guterres said on Monday, as he launched a Call to Action aimed at boosting equality and reducing...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Rais wa Marekani Donald Trump amepokelewa kwa kishindo kikubwa katika mji wa Ahmedabad nchini India na kuhutubia umati wa watu. Trump alitoa hotuba hiyo mbele ya takribani raia 100,000 waliokuwa...
3 Reactions
80 Replies
6K Views
https://www.theatlantic.com/ideas/archive/2020/02/why-does-billionaire-charge-secret-service-650-night/606253/?utm_campaign=the-atlantic&utm_medium=social&utm_source=facebook&fbclid=IwAR3y_iyU3RnN2...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Huwezi amini Ila ni kweli ! Pichani Jamaa huyo Busa Krishna kutoka nchini India huu ni mwaka wa nne sasa anamuabudu Donald Trump rais wa Marekani. Anasema Trump ndie mungu wake, pia kila Ijumaa...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
Kwanini Uturuki analazimisha kula mfupa ambayo Marekani ameshindwa kumeza? Ningekuwa Rais wa Uturuki ningeondoka Syria kuliko kuwatesa jeshi la Uturuki mbele ya mbabe Russia (Putin) Sent using...
6 Reactions
13 Replies
2K Views
Majibu ya hapana ya Russia kwa ombi la Marekani la kuzungumza na magaidi wa Syria Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Ushindi wa mfululizo wa jeshi la Syria na waitifaki wake katika mkoa wa...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo hivi karibuni alimaliza ziara nchini Senegal, Angola na Ethiopia na katika Umoja wa Afrika. Hii ni mara yake ya kwanza kufanya ziara katika nchi za...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Mzuqa Utawala wa kero na maigizo wa akina Ayatollah Iran imeilaumu vikali na kuisingizia taifa la Israel na Marekani kusababisha wa Iran wengi kutojitokeza kupiga kura katika uchaguzi wa Wabunge...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari za leo, jana au leo nimesikia kuwa nchi ya Togo ina uchaguzi,sasa nimeshangazwa kuwa baba wa rais wa sasa alikuwa Rais kwa kipindi kirefu si chini ya miaka 24, je huyu wa sasa yuko kwa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
An Indonesian maid identified as Tuti Tursilawati has been executed in Saudi Arabia for killing her boss while he was raping her. Mum-of-one, Tuti Tursilawati was executed after she killed her...
3 Reactions
26 Replies
3K Views
Baada ya mahakama ya katiba kufuta ushindi wa rais wa Malawi uliotawaliwa na bwana Tip ex kuzibadili kura za wananchi Bunge la Malawi limepanga uchaguzi wa marudio use May 19 2020, hongera Malawi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
The U.K.’s new points system will keep low-skilled non-English speakers out, pleasing pro-Brexit voters but devastating entire sectors—from agriculture to health care. Britain’s decision to leave...
2 Reactions
2 Replies
809 Views
Swaziland: 27.2% South Africa: 18.9% Zimbabwe: 13.5% Kenya: 5.4% Nigeria: 2.9% Brazil: 0.6% Indonesia: 0.4% France: 0.4% Argentina: 0.4% India: 0.3% Italy: 0.3% Sweden: 0.2% Ireland: 0.2%...
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Rwanda na Uganda wametia saini makubaliano ya kukabidhiana wahalifu wanaosakwa na nchi hizo. Makubaliano hayo yametiwa saini katika mkutano uliofanyika katika...
0 Reactions
4 Replies
866 Views
Wataalamu wa China wamethibitisha kuwa dawa ya Malaria aina ya Chloroquine Phosphate ina ufanisi wa kutibu ugonjwa wa Nimonia unaosababishwa na virusi vya Corona COVID-19. Naibu Mkurugenzi wa...
3 Reactions
39 Replies
7K Views
Kwa mujibu wa Millard Ayo: Idadi ya waliofariki kutokana na Virusi vya Corona China imeongezeka na kufikia Watu 2004, uwezekano wa vifo kuongezeka ni mkubwa, walioathirika na virusi hivyo mpaka...
6 Reactions
47 Replies
6K Views
Dong Samuel Luak na Aggrey Idri walitoweka January 2017 Marekani imewawekea vikwazo maafisa watano wa ngazi za juu za Usalama wa Taifa wa South Sudan, NSS, kwa kuhusishwa na utekaji na mauaji ya...
4 Reactions
13 Replies
3K Views
Rais Donald Trump wa Marekani amekasirishwa mno na kitendo cha maseneta wa chama cha Democrat kukutana na Mohammad Javad Zarif, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran na kudai kuwa mikutano ya wanasiasa...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Maafisa wa Saudia wameagiza kukamatwa kwa mwimbaji wa kike wa muziki wa 'rap' ambaye ametoa video ya muziki kwa jina Mecca ambayo ina sifu wanawake katika mji huo mtakatifu inayosema ni wenye...
3 Reactions
65 Replies
6K Views
Back
Top Bottom