Kura ya Maoni ya New Gallup inaonyesha Trump anakubalika kwa asilimia 49 huku akiwa na asilimia 48 zinazomkataa
Kura hii ya maoni inampa nafasi kubwa Trump kuweza kutetea kiti cha Urais nchini...
Ni majonzi na simanzi kwa kifo cha mwanaharakati KIZITO nchini Rwanda kwa wapenzi wa mziki na ndugu na jamaa.
Kitendo cha kuutangazia umma wa raia wa Rwanda na dunia kuwa mtuhumiwa alijinyonga...
Naona Washington ikizidi kuongeza idadi ya wanajeshi si wakiri tu kuwa wanajeshi wao zaidi ya 80 waliteketezwa na makombora hatari ya iran?zaidi soma hiyo[emoji1313]
Marekani yaongeza tena idadi...
Shirika la CETC na baraza la afya la China(NHC) wamezindua mobile App inayo-detect kama UMEKARIBIANA na mtu aliyeambukizwa coronavirus.inamfahamisha mtumiaji kama amegusana na mtu aliyeambukizwa...
Meja Jenerali Jaafari: Vitisho vya Netanyahu kwa Iran ni kituko na dhihaka
Jan 17, 2019 02:47 UTC
Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) amesema kuwa kitendo cha...
Wakati Kenya ikitumiia mabilioni ya shilingi kununua sumu ya kupulizia nzige na kukodi ndege kadhaa, wenzetu China wana wazo lingine kabisa, wao wameamua kuajiri bata laki moja na kuwapeleka eneo...
Mtaalamu wa Sayansi aliyegundua mfumo maarufu wa 'Cut-Copy-Paste' ambao unatumiwa na maelfu ya watu duniani kote amefariki dunia. Lawrence "Larry" Tesler alikuwa na miaka 74. Chanzo cha kifo chake...
Habari wanaJF
Dhima yangu Nataka tuanzishe Uzi imara utakaokuwa unatoa habari,Makala kuhusu kinachoendelea katika nchi hizo NNE na washirika wake.
Mwanzo wa matatizo,uchambuzi wa masuala ya...
Saudia yaitaka Ujerumani iendelee kurundika silaha nchini humo
Feb 18, 2020 08:08 UTC
[https://media]
Utawala wa Aal-Saud ambao unaendelea kumwaga damu za Wayemen umeiomba Ujerumani iondoe...
Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir na Mpinzani wake Riek Machar wamekubaliana kuunda serikali ya muungano kufikia siku ya Jumamosi kama walivyokubaliana.
Hatua hiyo inafuatia mkutano uliofanyika...
Roger Stone, aliyekuwa mshauri wa Rais wa Marekani, Donald Trump wakati wa kampeni za uchaguzi ambaye jina lake lilitajwa wakati wa kesi ya Urusi amehukumiwa kifungo cha miaka 3 na miezi 4...
MAPENZI yanachukua sehemu kubwa katika maisha ya binadamu na katika kuyaenzi kumekuwa na mambo mengi yanayofanywa na wapenzi ili kudumisha penzi.
Kwa nchi zetu za Afrika, mara nyingi suala la...
Katika mashtaka mapya dhidi ya raia wa Russia yaliyofunguliwa Ijumaa na mwendesha mashtaka maalum, raia 12 wa Russia ambao ni maafisa usalama wa jeshi wameshutumiwa kuingilia kati uchaguzi wa...
Waziri wa nchi za kigeni wa Marekani Mike Pompeo anasema makubaliano ya siku saba ya kusitisha uhasama baina ya Marekani na Taliban yataanza kutekelezwa usiku wa leo ingawa hajasema yataanza muda...
February 21, 2020
WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo, ameishambulia China kwa kutoa mikopo na kuziwekea nchi maskini mzigo mkubwa wa madeni.
Serikali ya Rais Donald Trump wa...
Roger Stone, aliyekuwa mshauri wa Rais wa Marekani, Donald Trump wakati wa kampeni za uchaguzi ambaye jina lake lilitajwa wakati wa kesi ya Urusi amehukumiwa kifungo cha miaka 3 na miezi 4...
Rwanda imepinga shinikizo kutoka kwa mashirika ya kutetea haki za binadamu ya kutaka uchunguzi huru kufanywa kuhusu kifo cha msanii maarufu wa muziki wa kiinjili Kizito Mihigo, ambaye alipatikana...
Seneta wa Marekani aituhumu China kuwa ndio imeunda virusi vya Corona
Feb 17, 2020 11:42 UTC
[https://media]
Seneta mmoja wa Marekani amesema kuwa virusi vya Corona ni silaha ya kibaolojia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.