International Forum

News and Stories from rest of the World
Wanaukumbi. Watanzania waingia Gaza na misaada wakigawa chakula pamoja na maji ya kunywa kwa raia wa Palestina.
22 Reactions
112 Replies
3K Views
Kwa miaka mafanikio ya Teodoro "Teodorin" Nguema Obiang Mangue yaliwiana na mafanikio ya nchi yake Equatorial Guinea, kama ilivyopanda na kuboreka kama mzalishaji mkubwa wa mafuta katika Kusini...
12 Reactions
43 Replies
5K Views
Kumekuchaaa Aliyekuwa Waziri wa ulinzi wa Israel Yoav Gallant amepingana waziwazi na Waziri Mkuu Benjamin Netanyau Anasema kuwa hakuna uhalali wowote majeshi ya Israel kuendelea kuwepo Gaza...
3 Reactions
10 Replies
934 Views
Habari zenu wanajamvi. Mko vizuri? Kama unafuatilia jukwaa hili basi bila shaka utakuwa unafahamu mengi kuhusu mbio za uchaguzi zinazoendelea Marekani. Ni Trump Vs Kamala. Hii hata watoto wa...
4 Reactions
33 Replies
1K Views
Trump's Economic Agenda for the Next Four Years: What to Expect With Donald Trump's presidential victory, many are wondering what his economic policies will look like for the next four years...
0 Reactions
1 Replies
199 Views
Uchaguzi wa Marekani umetoa majibu kwamba raisi ajaye ni Donald Trump akiwa raisi wa 47 wa nchi hiyo lakini pia akirudi kutawala taifa hilo kubwa duniani kwa ushindi wa kishindo. Donald Trump...
3 Reactions
7 Replies
592 Views
Mbona karibia viongozi wote wa chama cha Democrats wamekimbilia kumuunga mkono Kamala Harris ambaye ni mtu wa mrengo kushoto wa mbali kabisa na mwenye nakisi kubwa katika CV yake panapo masuala...
10 Reactions
24 Replies
1K Views
Maonesho ya 7 ya Kimataifa ya Uagizaji bidhaa ya China (CIIE) yanafanyika mjini Shanghai, na kuzishirikisha nchi za Afrika. Kwenye maonesho hayo, Tanzania imekuwa mgeni wa heshima kwa mara ya...
1 Reactions
0 Replies
303 Views
Barua Ya Kabla ya yote Jasusi anawaomba radhi kwa ubashiri wake kwamba Kamala Harris angeshinda urais wa Marekani kwenda fyongo. Waungwana wakikosea huomba msamaha badala ya kukimbilia kutoa...
0 Reactions
6 Replies
421 Views
Well, wananchi wameamua. Uchaguzi umefanyika huku wananchi wakiwa na full knowledge ya mashitaka yote ya kizushi dhidi ya Donald Trump. Ni wazi kuwa wapiga kura walio wengi hawakuona tatizo...
1 Reactions
6 Replies
326 Views
Kaposti kupitia ukurasa wake wa X. Zelensky "I appreciate President Trump’s commitment to the 'peace through strength' approach in global affairs. This is exactly the principle that can...
8 Reactions
26 Replies
1K Views
Yesu aliwahi kusema huwezi kupigana vita kabla hujajua nguvu ya upande unaopigana nao. Mfalme mwenye wanajeshi 10K akigudua mpinzani wake qnao 20K atatafuta qmaninaye kqbla vita haijamuathili...
9 Reactions
61 Replies
2K Views
Habari wana jf . Kama mnafuatilia mgogoro wa iran vs Israel.Hii hapa habari mpya --- Tel Aviv: In a major possible escalation amid the ongoing war between Israel and Iran, the Iranian army is...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Kama wapinzani wake wangekuwa wanamwamini Mungu, wangeachana na mpango wao wa hila wa kutafuta kumkwamisha Trump kushinda kiti cha Urais mwezi Novemba mwaka huu, 2024. Hawatafanikiwa katika hilo...
9 Reactions
45 Replies
1K Views
Hii ni kwa mujibu wa Max Burns-The Hill. Ni opinion yake…Naomba watakaochangia mada hii, wasome kwanza hiyo article. Na wafanye kujibu accordingly. Kwangu binafsi, ninaamini kuwa ushindi wa...
5 Reactions
38 Replies
1K Views
Wanajeshi anaopinga uamuzi wa kumfukuza Gallant waziri wa Ulinzi kimewakasirisha na kuungana na wapinzani katika maandamano ya kumpinga Netanyahu hii imetokea leo Israel. Zaidi Tazama hapa...
7 Reactions
43 Replies
2K Views
Trump wins the U.S. Presidency by 277 electoral votes presently.But what does this mean for his adversaries. November 06, 2024 Donald J. Trump has wo re-election to the United States...
4 Reactions
9 Replies
764 Views
Kumekuchaaa! Ndege vita hatari ziko njiani kwenda Mashariki ya kati na tayari zimekatiza anga ya Jordan Iran kuishambulia Israel kutokea Iraq. ======== The United States is continuing to send...
3 Reactions
11 Replies
732 Views
Wamarekani walionekana kumkubali sana mwanamama Kamala Haris. Ila lilipofika suala la kupiga kura ya urais, wakatafakari mara ya pili. Kuwa Mwanamke aongoze nchi? Inawezekana? Hapo ndipo wakatulia...
5 Reactions
23 Replies
649 Views
Mambo yameshaanza kupamba moto kwenye mpambano mpya wa Trump vs Harris. Ambaye ameanza kuongelea utofauti mkubwa kati yao…amesema maneno hayo hapo chini… Kama wengi wenu mnajua, kabla...
7 Reactions
149 Replies
5K Views
Back
Top Bottom