Mwandishi wa habari maarufu wa Libya amekamtwa na kuwekwa kizuizini na chombo cha kijasusi ambacho kinatajwa kuwa na uhusiano na serikali inayoungwa mkono na jumuiya ya kimataifa.
Chombo hicho...
Wizara ya mambo ya nchi za nje ya India imesema mabaharia wake 20 wametekwa wakati meli yao ya mafuta ikiwa katika eneo la bahari la Afrika Magharibi.
Katika siku za hivi karibuni eneo hilo la...
Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson leo hii anatarajiwa kuelezea mipango yake, ya namna gani atatekeleza ahadi zake za kufanikisha kujiondoa katika Umoja wa Ulaya haraka na kupanua wigo wa...
Viongozi na wawakilishi wa ngazi ya juu kutoka karibu mataifa 20 yenye idadi kubwa ya waislamu duniani wanakusanyika leo mjini Kuala Lumpur, Malaysia, kujadili masuala yanayowatia misukosuko...
Mchakato wa Kumuondoa Rais Trump Madarakani Unaendelea Kwa Kasi.
Mchakato huo utapitia hatua tatu Muhimu
Kamati Za Bunge ( Uchunguzi na kuandaa hati ya Mashtaka)
Baraza la Wawakilishi(Kupiga Kura)...
Waendesha mashtaka katika mji mkuu wa Bolivia wametoa hati ya kukamatwa Rais wa zamani Evo Morales, kwa tuhuma za uchochezi na ugaidi.
Waziri wa Mambo ya Ndani Arturo Murillo hivi karibuni...
ACCORDING TO INTERNATIONAL LAW THE NEW BRIDGE IN THE KERCH STRAIT BELONGS TO UKRAINE AND SO DOSE CRIMEA !!!
AND WHEN KIEV KICKS OUT THE MOSCOW SCUM, FROM UKRAINIAN CRIMEA AND SEVASTOPOL !!!!
WE...
Profesa nguli wa siasa Marekani ambaye ametabiri kwa usahihi ushindi wa marais wote wa marekani toka mwaka 1984; na ambaye pia alitabiri ushindi wa Trump, profesa Litchman amekuja na utabiri wake...
President Trump leo amekuwa na siku mbaya kabisa, amekuwa kama mfungwa anayetegemea hukumu ya kifo leo.
Na mimi nasema ATAJIJU
Sent using Jamii Forums mobile app
A nine-year-old Belgian boy who was on track to become the world's youngest university graduate has terminated his studies at the Dutch university of Eindhoven following a dispute over his...
Najua wengi mmemmiss sana bwana Osama bin Laden,
Mbali zaidi amekufa bila watu kuwahi kusikia hata sauti yake ,
Katika mahojiano yake alitoa sababu kuu nne
1. Marekani imeset standard zake...
The Irkut corporation and Air Tanzania will study the possibility of supply short and medium-range aircraft MS-21 to Tanzania, according to a memorandum of understanding signed by the companies on...
Ujerumani yaziajiri kampuni za Rafael pamoja na Atos ili kuunda "Uwanja wa Vita wa Kioo"
Kampuni ya uzalishaji wa mifumo ya kijeshi ya Rafael (Rafael Advanced Defense Systems) ya Israel...
Wachimbaji kumi na watatu wameokolewa baada ya kukwama chini ya vifusi kwa zaidi ya masaa 80 katika mgodi mmoja katika mkoa wa Sichuan kusini magharibi mwa China, viongozi wa eneo hilo walisema...
Waandamanaji walikusanyika mjini New York, Marekani hapo jana kwa lengo la kushinikiza kushitakiwa na kuondolewa madarakani rais Donald Trump.
Mkusanyiko huo unafanyika katika kipindi kifupi...
Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa anatarajiwa kusafiri kwenda Niger kwa ajili ya kumbukumbu ya heshma kwa wanajeshi 71 ambao waliuwawa kwa shambilizi la wenye itikadi kali, mapema mwezi huu. Macron...
Katika takribani miaka sita iliyopita Umoja wa Mataifa na makundi mengine ya misaada ya kiutu, umefanikiwa kuvuka mpaka kuingia Syria kutokea Uturuki, Iraq na Jordan, ikiwa ni maeneo manne ambayo...
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linatarajiwa kuzingatia kuongeza vikwazo zaidi dhidi ya Sudan Kusini kama serikali ya taifa hilo haijatekeleza makubaliano ya amani na upande wa upinzani...
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Jenerali Antonio Guterres jana ameyataka mataifa kuongeza jitihada zao za kuwalinda wakimbizi katika maeneo tofauti ya ulimwengu, katika kipindi hiki ambacho idadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.