International Forum

News and Stories from rest of the World
Wafanyakazi wawili wanaodaiwa kutumiwa na Saudi Arabia kuichunguza Marekani, wameshtakiwa wakishutumiwa kuwasaidia Maafisa wa Saudi Arabia kupata taarifa binafsi za watumiaji wa Mtandao huo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wanahabari wanne wanaofanya kazi katika vyombo vya habari vya kibinafsi nchini Burundi wameshtakiwa kwa madai ya kuhujumu usalama wa taifa, baada ya kuangazia shambulio la waasi katika mji wa...
1 Reactions
1 Replies
828 Views
Beijing, China. Mmoja wa waandamanaji anayeipinga Serikali, amemchoma kisu na kumjeruhi mbunge wa Hong Kong. Mbunge huyo anayeiunga mkono serikali ya Beijing, alikuwa akifanya kampeni ya uchaguzi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Shambulio la kushtukiza lililolenga msafara wa wafanyakazi wa mgodi wa Canada nchini Burkina Faso, limesababisha vifo vya watu 37, hili likiwa shambulio baya zaidi kuwahi kutekelezwa katika...
0 Reactions
1 Replies
975 Views
Hebu fikiri leo hii unakuwa Rais au Waziri wa mambo ya nje wa Tanzania, unategemea kufanya kikao kikubwa sana na kiongozi wa taifa jingine: Ni vitu gani vya muhumu utaviwekea kipaumbele wakati wa...
7 Reactions
64 Replies
6K Views
https://www.timesofisrael.com/as-iran-expands-enrichment-netanyahu-vows-it-will-never-have-nukes/
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mwanamke aliyefukuzwa kazi baada ya picha yake kusambaa akionekana akimuonesha 'kidole cha kati' Rais Trump amechaguliwa kuongoza ofisi ya Umma huko Virginia Juli Briskman aliyeonesha ishara hiyo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Rais wa Rwanda Paul Kagame azungumzia mgogoro wa nchi yake na Uganda. Rais wa Rwanda Paul Kagame ameelezea kuwa chimbuko la mgogoro baina ya nchi yake na nchi ya Uganda ni la tangu miaka 20...
3 Reactions
44 Replies
10K Views
Kanisa katoliki limeanza uchunguzi kubaini chanzo na sababu za masista wake wawili kupata ujauzito baada ya kutembelea Africa ambap walikuja kwa kazi ya kimisionari.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Rais wa Marekani Donald Trump kaamisha makazi yake kutoka New York na kwenda kukaa jimbo la Florida kwa madai ya kubana matumizi ya tozo la makazi akidai NY tozo ni kubwa sana bora ahamie Florida...
0 Reactions
43 Replies
6K Views
Mahakama ya Katiba imechukua hatua hiyo katika historia ya mfumo wa Mahakama ili kuendana na hali ya hewa ambapo inaelezwa nchini hjmo kuna joto kali wakati huu Kwa mujibu wa Mamlaka ya Hali ya...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Watu wenye silaha wamewafyatulia risasi Walinzi katika Kituo kimoja cha ukaguzi cha barabarani na kuwaua Wafanyakazi 15 wa kujitolea na kujeruhi wengine watano Kwa mujibu wa Kanali wa Jeshi...
0 Reactions
0 Replies
941 Views
Marekani imesema inaweka vikwazo kwa raia tisa waliopo karibu na Kiongozi Mkuu wa Iran ambao wanaukaribu na kiongozi mkuu wa nchi hiyo Ali Khamenei. Wizara ya Fedha ya Marekani imesema watu tisa...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Rais Donald Trump, amethibitisha kuwa Abu Bakr al Baghdad aliyejiua yeye mwenyewe, amesema kuwa amekufa kama Mtu muoga na kama Mbwa Amejiua kwa mabomu aliyokuwa ameyavaa mwilini mwake. Washirika...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Wanahabari Wanawake 2 wamelalamikia kitendo hicho walichofanyiwa na Mkurugenzi wa Habari wa Jeshi la Sudan Kusini, Malaak Ayuen Tukio hilo limetokea katika Mkutano wa Jeshi na Wanahabari...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
RIPOTI: ‘GADDAFI ALIUAWA KIMAKOSA’ Raia wa Libya sasa hivi wanaishi maisha ya tabu ukilinganisha na kipindi cha utawala wa Kanali Gaddafi. LONDON: Ripoti ya Kamati ya Bunge Uingereza imekosoa...
19 Reactions
138 Replies
14K Views
Bosi huyo Steve Easterbrook amefukuzwa kazi baada ya bodi ya wakurugenzi kujiridhisha kuwa amekuwa kwenye mahusiano (ya ridhaa) na mfanyakazi wake wa kike. Bodi imeeleza kuwa bosi huyo alikiuka...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Polisi imetumia mabomu ya machozi kuwatawanya Waandishi wa Habari wapatao 50 waliokuwa wanaandamana kuelekea Makao Mkuu ya Polisi Jijini Kampala kuwasilisha kero zao juu ya ukatili wa Polisi dhidi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
 MOGADISHU,SOMALIA UMOJA wa Mataifa (UN) umetuma misaada ya dharura nchini Somalia kufuatia mvua kubwa ambazo zimenyesha katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo na kusababisha mafuriko. Misaada...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Taarifa ya Wizara ya Hazina ya Marekani inasema deni la ndani limeongezeka hadi kufikia dola trilioni 23 ambapo ukiligawanya kwa idadi ya watu milioni 328 kwa wastani kila mwananchi anadaiwa dola...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Back
Top Bottom