International Forum

News and Stories from rest of the World
Rais wa zamani wa Brazil Luiz Inacio Lula da Silva, ambaye anazuiliwa jela kwa zaidi ya mwaka mmoja na nusu kwa makosa ya rushwa, hivi karibuni anaweza kuachiliwa huru baada ya uamuzi wa Mahakama...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Ukiangalia miji yote yenye population kubwa ya African Americas ina uhalifu Mkubwa sana. Mfano mji kama Washington DC ambao una federal security headquarters zote kwenye metropolitan yake, lakini...
6 Reactions
81 Replies
8K Views
NOVEMBA 9, 2019 Raisi wa Rwanda Paul Kagame amejibu shutuma kuwa amekuwa akiwapeleleza wapinzani wake kupitia simu zao, amesema teknolojia inayohitajika kufanya hivyo ni ghali sana. Akizungumza...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa ripoti ya Taasisi ya Independent High Commission for Human Rights of Iraq(IHCHR) iliyotolewa jana, takriban watu 301 wameuawa na wengine 15,000 wamejeruhiwa tangu kuanza kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Vyama vitatu vya siasa nchini Uingereza vimetangaza makubaliano ya kushirikiana ili kupata wanachama zaidi katika bunge ambao wanaunga mkono Uingereza kubakia katika Umoja wa Ulaya. Vyama hivyo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Waziri Mkuu wa Iraq amesema kuwa wale wote wanaoshambulia, kuteka nyara au kukamata nje ya kinyume cha sheria watakabiliwa na mashitaka. Waziri huyo anaongeza kuwa, uwepo wa Vyama vya Siasa ni...
0 Reactions
0 Replies
966 Views
Alisema: huwezi kuwa na Demokrasia na ukashinda kwa zaidi ya 90+ huku mpinzani wako umemfunga, hakuna uhuru wa habari, hakuna uhuru wa vyama kukutana, kufanya mikutano, uhuruwa kukosoa serikali...
24 Reactions
45 Replies
4K Views
Kiongozi wa zamani wa waasi wa Congo amehukimiwa kifungo cha miaka 30 jela la Mahakama ya Kimataifa ya jinai kwa makosa ya uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya binadamu . Waoiiganaji waliomtii...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nchi ya Burkina Faso imeanza maombolezo ya siku 3 ya kitaifa, baada ya kuuawa kwa raia 38 katika shambulio la kushtukiza lililotekelezwa na wanajihadi wa kiislamu kaskazini mwa nchi hiyo...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
The fascinating outcome of democracy in some selected countries depict that countries with more democracy tend to want less of it. Conversely, countries with less want more of it. See the...
0 Reactions
1 Replies
652 Views
Mlipuko uliotokea ardhini katika machimbo ya madini huko Teutschenthal katikati ya nchi hiyo, umejeruhi watu wawili na kusababisha wengine 30 kukwama ardhini Uokoaji unaendelea huku ikielezwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jaji wa jimbo la New York ameamuru Rais Donald Trump azirudishe dola milioni mbili alizozichukua kwa matumizi yanayotajwa na mahakama kuwa ni kinyume cha sheria. Fedha hizo ni kutoka mfuko wa...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Polisi nchini Nigeria imewaokoa watu 259 kutoka katika kituo kisichokubalika kisheria kilichopo ndani ya msikiti katika mji wa Ibadan, uliopo katika jimbo la kusini magharibi mwa nchi hiyo la Oyo...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Meya wa mji mmoja mdogo amevamiwa na waandamanaji wa upinzani ambapo alitembezwa mitaani bila viatu huku akiwa amepakwa rangi nyekundu na kisha kukatwa nywele kwa lazima. Meya huyo, Patricia Arce...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Ikiwa ni miezi takribani mitano imesalia kabla ya nchi ya Burundi kufanya uchaguzi wake mkuu, kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini humo cha CNL, Agathon Rwasa amelalamikia kuhusu kile...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Shirika la Ndege la Ujerumani Lufthansa limefuta karibu safari 1,300 hapo kesho na Ijumaa kwa sababu ya mgomo uliopangwa na chama kinachowawakilisha wahudumu wa ndege nchini Ujerumani. Chama...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Huduma za intaneti katika mji mkuu Baghdad na sehemu kubwa ya nchi ya Iraq imekatwa kufuatia machafuko ndani ya nchi hiyo yanayotokana na maandamano ya kuipinga Serikali Taarifa zinasema kiwango...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mkataba ulitiwa saini mbele ya wakuu kutoka nchi za Saudi Arabia Mohammed ben Salman (katikati), Falme za Kirabu, Mohammed ben Zayed (kushoto) na Rais wa Yemeni Abd Rabbo Mansour Hadi (d) Jumanne...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Watu 13 wamefariki dunia kufuatia vurugu za mapigano zilizotokea katika chuo kikuu cha Kogi katika eneo la Ayingba nchini Nigeria. Kwa mujibu wa habari kutoka katika vyanzo vya nchi hio, mapigano...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Madaktari katika hospitali za Serikali wamefukuzwa kutokana na utovu wa nidhamu kwa kukiuka amri ya Mahakama ya kuwataka kurudi kazini baada ya kugoma kwa miezi miwili wakitaka maboresho katika...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom