imeripotiwa kuwa takribani watu 15 wamefariki na wengine 58 wamejeruhiwa baada ya Treni mbili za abiria kugongana katika Wilaya ya Brahmnbaria Mashariki mwa Bangladesh Jumanne hii.
inaelezwa kuwa...
Kwa sababu za kimaslahi tu kwa kutumia askari wao hatari kabisa hapa duniani GRU,ALPHA na VYMPEL, walizivamia ,nchi nying kibabe tu ili kulinda maslahi yao.
Hawa jamaa kwa ukorofi wao walidiriki...
Mexico City: Serikali nchini Mexico imeliomba shirika la FBI kushiriki katika uchunguzi wa shambulio ambalo liliwauwa raia 09 wa Marekani na Mexico.
Wizara ya Mambo ya nje nchini Mexico ilitoa...
Limejitokeza wimbi la wanajeshi na polisi sehemu mbalimbali duniani kuunga mkono maandamano na harakati za wananchi kuwaondoa viongozi dhalimu, madikteta na mafedhuli.
Zamani ( nahata sasa) wengi...
Shirika la Uchapishaji la Uganda (UPPC) limeburuzwa katika Mahakama Kuu huko Kampala kwa tuhuma za kushindwa kutangaza na kuchapisha Sheria ya Utekelezaji wa Haki za Binadamu (2019).
Katika...
SpaceX launched 60 Starlink satellites as part of mission to bring internet to the world
SpaceX launched 60 more satellites Monday as part of CEO Elon Musk's "Starlink" mission to bring...
November 7, 2019
New York City
Mamlaka za jiji la New York wapo katika utekelezaji wa kuwahamisha watu wasio na makazi wanaolala katika mabaraza ya mitaa ya jiji hilo maarufu katika bara la...
Reuters Staff
CAIRO/GAZA (Reuters) - The Palestinian militant group Islamic Jihad said Israel targeted the house of one of its officials in the Syrian capital on Tuesday, killing one of his sons...
Paris, Ufaransa.
Kwa mujibu wa Tafiti zilizofanywa na jarida la mitindo la Zalando jiji la Paris ndio jiji la kifahari zaidi duniani kwa mwaka 2017, likichukua nafasi ya jiji la London ambayo...
Mzuka!
Siku zote kikulacho ki nguoni mwako.
Inasadikika aliyevujisha siri alipo gaidi boss wa ISIS Abubakar Al Baghdad alikuwa mtu wake wa karibu.
Jamaa huyo ambaye ni mwarabu wa sunni huenda...
habari ya leo, poleni na majukumu na pilikapilika za kutwa,
Nishaona baadhi ya maswali mbalimbali hapa jf watu tukiulizana juu ya taifa la Israel kwamba je ndio hao walipo hapo sasa Israel? Au sio...
Habari toka vyanzo tofauti ni kuwa Iran imetungua drone nyingine ambayo illingia kwenye Anga lake.
Marekani kwa upande wake imesema haijapoteza Drone yake yoyote.
Iran imesema imechukua mabaki...
Makeshia 30 wa Mamlaka ya Taifa ya Usimamizi wa Bararbara nchini Zimbabwe (Zinara) wametimuliwa kazi kwa wizi.
Hili limekuja baada ya mamlaka kugundua udanganyifu katika mageti ya kulipia...
Ikiwa Namibia inaelekea katika Uchaguzi Mkuu tarehe 27 Novemba mwaka huu, vyama vya upinzani nchini humo vimeeleza dhamira ya kuipunguza nguvu na wingi wa uwakilishi wa chama cha SWAPO bungeni...
Chama cha Kisoshalisti cha Waziri mkuu, Pedro Sanchez kimeshinda katika uchaguzi mkuu wa kitaifa wa Hispania jana.
Katika uchaguzi huo wa pili katika muda wa chini ya miezi saba, chama hicho cha...
Polisi wa Afrika Kusini wamewakamata wahamiaji haramu 300 mjini Johannesburg. Polisi wamesema kikosi mseto kiliwakamata wahamiaji hao kwenye jengo lenye ghorofa 21 lililovamiwa katika eneo la...
Duduzane Zuma, mtoto wa Rais wa zamani, Jacob Zuma ameshitakiwa kwa makosa ya rushwa katika Mahakama ya biashara mjini Johannesburg.
Duduzane Zuma(34) anadaiwa kuwa sehemu ya waliojaribu...
Heshima kwenu wakongwe..!
Nilishawahi kuangalia series fulani ya Wamarekani, kwenye hiyo series kuna askari mmoja ambaye alikuwa ni Pilot wa ndege zisizokuwa na rubani ndani yake (Drones), kuna...
Mwanamke mmoja wa Limpopo, Afrika Kusini apelekwa mahakamani, kushitakiwa kesi ya mauaji ya mtoto wake mwenye umri wa miaka kumi n moja (11)
Nhabiseng Mokwana, 28 anadaiwa kumlisha mtoto wake uji...
Panya wamekua tishio katika Jiji la Paris, kuharibu ofisi za umma na nyaraka muhimu.
Kupqmbana na hali hiyo serikali ya Ufaransa imeamua kuajiri paka ili kupambana na genge la panya waharibifu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.