International Forum

News and Stories from rest of the World
[emoji298]️Kwanini Wayahudi wanawachukia Wakristo Kiasi hiki?Marufuku misalaba makaburini. Israel asilimia zaidi ya asilimia 18% ni waislam, lakini wakristo ni asilimia 1.9% tu waliwapunguza kwa...
10 Reactions
132 Replies
18K Views
Alipewa hifadhi miaka 30 Italy uzunguni, ghafla kaingiwa na ile mizuka yao na kuanza kuhubiri ugaidi wa kiislamu kwamba waislamu wote waanze vita dhidi ya wasiaomini kwenye hiyo dini. Swali la...
16 Reactions
50 Replies
2K Views
Kwa wale wa wisdom mnafahamu kuwa kuna hizi zinazotengenezwa zipo nyuma ya nani? kuna uwezekano raisi wa marekani kuwa mwanamke na si trump. kumbukeni. --- Did The Simpsons hint at Kamala Harris...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Mods tafadhalni msiunge uzi huu popote, bunge la Marekani ni mhimili tofauti na uraisi Kuna mabunge mawili marekani, Bunge dogo ni Baraza la wawakilishi na Bunge kuu ni Seneti. Tayar Senate na...
2 Reactions
8 Replies
555 Views
Wanaukumbi. Wanajeshi wa Israel wanabeba maiti zao kwa kuvizia huku wakilia kwa uchungu baada ya kupigwa na Hezbollah kwenye mipaka ya Lebanon. Cha kushangaza wao wanauwa watoto na wanawake Gaza...
14 Reactions
170 Replies
5K Views
Uwanja wa siasa nchini Marekani umezidi kuchangamka na hii ni baada ya mgombea wa chama cha Republican, Donald Trump, hivi karibuni kusema kuwa hata kama humpendi yeye kama yeye ni muhimu sana...
5 Reactions
35 Replies
2K Views
Aisee hawa jamaa ni level nyingine kabisa Jamaa wana hili kombora linaitwa Khorramshahr Hili kombora wanadai linapiga kilometa 2000 ila ukweli na taarifa zilizopo ni kuwa hili linatembea...
17 Reactions
52 Replies
2K Views
Ndio, lile n taifa la vibopa bwana. Sio wazee wa tshirt na vitenge mixer kubebwa kwny vichanja kwenda kuunga mkono juhudi. Yani USA Mchakato wa raisi huamuliwa na vibopa 538 tuu, na bunge la...
8 Reactions
64 Replies
2K Views
Inawezekanaje kwa miaka zaidi ya 200 Marekani kubwa hivyo yenye wapiga kura takribani milioni 150 na maelfu ya wagombea uchaguzi unafanyika bila wagombea kukamatwa na polisi au mikutano ya siasa...
10 Reactions
45 Replies
1K Views
Marekani inatarajia kufanya uchaguzi wa Rais, Tar 5 Novemba. Kukiwa na wagombea sita wa kiti hicho ambapo wagombea nane, ambapo wagombea wawili kati ya hao ni wasio na vyama vya siasa. Mbali na...
5 Reactions
38 Replies
2K Views
Wadau hamjamboni nyote? Mamilioni ya dola za kimarekani Kwa magaidi wakiachia huru mateka wa Israel. Taarifa zaidi hapo chini kwa kimombo: ========== An Israeli official confirms a Channel 12...
1 Reactions
8 Replies
540 Views
Ni hivi karibuni tu dunia imetoka kuadhimisha siku ya Tiba Asilia, ambapo mchango wa matibabu haya ya jadi kwa sasa umekuwa ukisaidia sana katika sekta ya afya. Kwa karne nyingi, maarifa ya...
0 Reactions
0 Replies
165 Views
As they say, "Power dreams of more Power" Ayatollah na Islamic regime yake ikifanikiwa kumpiga Israel sio tuu kwamba itaji-establish kama moja kati ya nchi za kuogopeka Middle East na duniani...
9 Reactions
196 Replies
3K Views
Siongezi neno.sipunguzi. sisi waislamu wa Buza kwa Mpalange tutatoa neno. FaizaFoxy na Ritz tusiache hili jambo bila kulitolea ufafanuzi.
14 Reactions
206 Replies
5K Views
Waasi wa Houthi wa nchini Yemen wamesema kwamba wamerusha makombora kulenga mji wa Riyadh,nchini Saudi Arabia. Saudi Arabia imefanikiwa kutungua makombora hayo mawili aina ya ballistiki...
3 Reactions
97 Replies
11K Views
Report by; Titu Datta Gupta & Sharier Khan The costly power from Adani’s 1,600MW coal power plant in India is one of the many reasons why Bangladeshis are paying significantly higher rates to use...
0 Reactions
2 Replies
469 Views
Mtandao wa Twitter/X ndio jukwaa maarufu zaidi na pendwa la kimtandao kwa miaka mingi ya hivi karibuni katika kutoa taarifa za mambo ya siasa, katika uchaguzi huu wa Marekani unaondelea wadau wa...
1 Reactions
4 Replies
245 Views
Meli ya Kivita ya Israel imepita Suez Canal ikiwa na bendera ya Misri na Israel kitendo kilichowachefua baadhi ya Wamisri. ======= A small group of protestors gathered on the steps of the...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Inasikitisha sana kwa kile kinachoendelea kwenye Bara la Afrika. Huku wananchi wanawachagua( kama kweli wanachaguliwa kwa kura) wakiamini wataenda maofsini kufanya kazi na kukuza uchumi, utawala...
3 Reactions
12 Replies
615 Views
Niaje waungwana Baada ya Israel, Marekani, Uingereza na washirika wao wengine kujipanga kwa zaidi ya mwezi mmoja na kitu ili kufanya shambulizi la kuiangamiza Iran kushindwa. Sasa tumeona wenyewe...
32 Reactions
160 Replies
5K Views
Back
Top Bottom