International Forum

News and Stories from rest of the World
Ni kitu kimeshitusha wengi baada ya India kukataa uturiki kujiunga ndani ya brics, kwa sababu uturuki na Pakistan ni kitu kimoja. Hata hivyo Pakistan nayo iliomba kujiunga ila India ilikataa...
4 Reactions
16 Replies
957 Views
Nimetembelea baadhi ya miji hapa Africa. Miji Hali ya hewa ni kawaida. Kuna kipindi kunakuwa na joto lakini sio wakati wote Ila jiji la Dar es salaam linashangaza sana. Kwanini kuna joto la...
10 Reactions
62 Replies
3K Views
Jeshi la Israel 🇮🇱 lilituma zaidi ya ndege 100 kwenye anga la Iran 🇮🇷 na kushambulia kambi za jeshi zaidi ya 20 ,huku Iran ikijitahidi kutumia mifumo yake ya ulinzi wa anga kupunguza madhara...
6 Reactions
147 Replies
4K Views
Bishop David Oyedepo Kanisa la Winners Church ni moja ya makanisa makubwa sana Ulinwenguni likiwa na matawi dunia nzima ikiwemo Tanzania na Makao makuu yake Yake yako Lagos Nigeria likiwa...
6 Reactions
42 Replies
1K Views
Mwanaume mmoja amefariki kutokana na majeraha aliyoyapata baada ya gari la mizigo kugonga kituo cha basi karibu na Makutano ya Glilot asubuhi ya leo, Hospitali ya Ichilov jijini Tel Aviv...
1 Reactions
2 Replies
300 Views
Wakristo, Waislamu na Uyahudi wanaamini Isaka na Ishmael walikuwa watoto wawili wa Ibrahim. Mjadala uliobaki ni yupi alikuwa mwana wa ahadi au alitaka kutolewa kafara, Tukiacha hayo kuna hili...
3 Reactions
40 Replies
958 Views
Baada ya jana kuchapika bao 4-0 pale pale Bernabeu. Hivi hapa ndio vipigo vikubwa alivyowahi pokea Real Madrid dhidi ya FC Barcelona kwenye El Clasico
3 Reactions
15 Replies
882 Views
Wadau hamjamboni nyote? Kikao cha Waziri Mkuu Benjamin Netanyau na wakuu wa vyombo vya ulinzi na Usalama yaani IDF, shin bet na mossad kilichoketi muda mfupi uliopita kimeamua kufanya shambulizi...
10 Reactions
98 Replies
5K Views
Kiukweli kuna mambo nimeona nimejifunza kitu na kama taifa tunapaswa kujifunza kitu Kwanza, hili shambulizi limetokea kama Suprise tofauti na lile la mwezi April ambalo Israel walijiandaa vya...
26 Reactions
82 Replies
4K Views
Anga la Iran na viwanja vya ndege vimefungwa baada ya Israel kushambulia Iran
4 Reactions
24 Replies
926 Views
Huku Africa tukiwa bize kubishana kupeleka maji vijijini wenzetu Iran wanaanza kuzalisha ndege hatari za kivita za SU-30 na SU-35 [emoji298]️BREAKING Iran has received a licence from Russia to...
13 Reactions
42 Replies
2K Views
Huku unamkuta Ritz na kimsboy na Webabu wanazomea.... "Hilooooooo sijaumia wala nini" aliyegongwa hawezi kukaa vizuri,hawezi kutembea vizuri. Unawatizama unasema "hiiiiiiii" israel walikuwa...
10 Reactions
18 Replies
930 Views
Karibia nusu ya Wamarekani wanamsapoti na wangependa awe Rais wao mtu anayehusudu madikteta kuanzia Xi, Putin, Kiduku hadi Hitler!
1 Reactions
41 Replies
949 Views
Kiongozi wa kundi la Hamas Yahya Sinwar, ameuawa na Israel. Duru za habari zinatabanaisha Sinwar aliuawa mapema usiku wa leo huko Gaza. --- Senior U.S. Officials, including President Joe...
14 Reactions
850 Replies
33K Views
Rais wa Urusi, Vladimir Putin, wakati yupo kwenye mkutano mkuu wa BRICS uliofanyika Kazan aliwashangaza washiriki kwa kugawa sampuli za noti mpya za Benki ya BRICS, ishara inayodaiwa kuwa mwisho...
24 Reactions
158 Replies
7K Views
Takriban Mahujaji 323 kutoka Misri wamekufa wakati wa Hijja ya Waislamu huko Mecca, Saudi Arabia, ambapo karibu wote walikufa kutokana na magonjwa yanayohusiana na joto, wanadiplomasia wawili wa...
10 Reactions
131 Replies
8K Views
Wanaukumbi. Vyombo vya habari vya Israeli: 🇱🇧🇮🇱 Helikopta ya 10 ya kijeshi ilitua katika Hospitali ya Sheba-Tel Hashomer, ikiwa na wanajeshi na maafisa waliokufa na waliojeruhiwa katika...
19 Reactions
249 Replies
8K Views
This is followed by what was claimed by the jews yester night that they bombed Iran while the fact is all missiles were destroyed by air defense system. Now, Iran is going to retaliate back and...
3 Reactions
90 Replies
2K Views
Hii ni story iliyotokea enzi hizoo kabla ya Kristo, kipindi hicho superpower ni Muajemi na Mgiriki uhasama mkubwa baina yao ulileta vita vingi. Na Katika vita vyao, kuna kisa kimoja nishee nanyi...
0 Reactions
13 Replies
764 Views
Tayari Israel inaitandika Iran inalipua maeneo nyeti https://www.youtube.com/live/GggsAxvY4Q0?si=sKjzE7_DpA2gYIxe --- At least one person was killed in a fire at the small Pars Petro Shushtar...
7 Reactions
70 Replies
3K Views
Back
Top Bottom