Nimeona kuna movements za ku boycott / kugomea bidhaa zenye uhusiano na Israel, nimepata wazo nije kuwasapoti wadau kwenye huu mgomo kwa kuwashauri muweke mkazo zaidi kukaa mbali kwenye simu na...
Shambulio la Iran dhidi ya Israel hapo majuzi lilikuwa la kushangaza. Usikose. Shambulio linalokuja la Israel dhidi ya Iran litakuwa mshangao mkubwa kwa ulimwengu pia.
Baraza la mawaziri la...
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema uhusiano kati ya nchi yake na Marekani baada ya uchaguzi wa rais wa Marekani utategemea mtazamo wa nchi hiyo, huku akiyapongeza maoni ya Donald Trump kuhusu...
Nchi wanachama rasmi wa BRICS (Full BRICS Members)
1. 🇧🇷 Brazil
2. 🇷🇺 Russia
3. 🇮🇳 India
4. 🇨🇳 China
5. 🇿🇦 South Africa
6. 🇦🇪 UAE
7. 🇮🇷 Iran
8. 🇪🇬 Egypt
9. 🇪🇹 Ethiopia
Nchi maswahiba rasmi wa...
Viongozi wa Mataifa makubwa Duniani wakutana Nchini urusi katika mji wa Kazan.
BRICKS ilianzishwa kwa lengo la kuvunja mnyororo wa kinyonyaji wa nchi za magharibi zikiongozwa na USA.
Malengo ni...
Maafisa wawili wa Iran waliuawa katika mashambulizi ya Israel dhidi ya Iran; wote wawili walikuwa askari wa jeshi la Iran, sio Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC).
Tofauti na IRGC...
They manipulate both sides to create false hope. To them, it’s just a chessboard♟️
♟️ In chess, white and black pieces are bitter enemies, but those who move the pieces are usually good friends...
Waziri wa Ulinzi wa Israel Yoav Gallant aliionya Iran kuwa "ikiwa Jamhuri ya Kiislamu inataka kuidhuru Israel, huenda ikaathirika sawa na Gaza au Beirut." Kwa upande mwingine, kamanda wa Jeshi la...
Wanaukumbi.
Maisha ya kawaida yanaendelea katika Eneo Maalum la Kiuchumi la Bandari ya Imam Khomeini huko Khuzestan huku Israel ikidai mashambulizi dhidi ya malengo ya jeshi la Iran...
Angalia Spana hizi kutoka team Trump aka MAGA, kwenda Kwa mpinzani wake ambaye ni Makamu wa Rais Kwa Sasa katika Uongozi(sio utawala maana huu upo Shit countries tu).
Ingekuwa bongo angetakiwa...
The U.S. deploys at least ten Air Refueling Strato-Tankers to the Middle East.Preparations for Israel Iran attack perhaps?
Hal Turner World October 25, 2024
The United States Air Force has...
Huwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa...
Nchi ya China ndiyo inayoongoza Kwa wananchi wake kwa ulaji wa nguruwe duniani.
Inakadiriwa wananchi wa China hula wastani wa kilo 70 za kitimoto kwa mwaka.
Nchi namba mbili ni Belarusia...
Wadau hamjamboni nyote?
Mjisomee wenyewe hapo chini kwa kimombo:
Gallant at IAF base: After we strike in Iran, world will understand all our training
By Emanuel Fabian Follow
and Agencies...
Kawaida ya watu wenye roho mbaya,wauaji,makatili na wenye ushetani. Huwa wakimaliza kula wengine wanarudi hadi kwao.
Uturuki ni Taifa la Kiislamu. Imagine linashambuliwa. Huko Ulaya ambako kuna...
wapalestina wanalia njaa, chakula chote cha misaada kinaenda kwenye magodauni ya Hamas kwajili yao na familia zao, wapalestina wa kawaida huuziwa kwa bei ya juu mno.
Palestina kuna njaa...
Russia kwa nini isiitumie BRICS kuipinga Israel na kutumia nguvu ya kijeshi waliyonayo kuiunga mkono ama Hezbollah au Hamas dhidi ya Israel?
Maana Marekani na baadhi ya nchi za Ulaya na washirika...
Huwezi kuona kwenye vyombo vya habari vya Magharibi kwa kweli
magaidi wa kizayuni wanaendelea kubamizwa kidogo kidogo huko Lebanon na kupewa hasara kubwa sana ya vifaa vya kijeshi na Maisha ya...
he #US defence secretary said he had not seen evidence of a cash- and gold-filled Hezbollah bunker underneath a hospital in Beirut, as claimed by the Israeli military this week.
.
“We have not...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.